Inawezekana kweli mimi si mtu bora kwako, ila naamini ipo siku utalisikia jina langu utatabasamu na kusema "alikuwa wa tofaut Sana '😊😊
Good morning 😘😘😍
Kuna wale marafiki zetu wale ambao hawachoki kutucheki, kutujukis hali hata kama sisi hatuwatafuti mungu awabariki Sana na awaweke Sana
Good morning 🥰😍
Daud alifanikiwa sababu alijua nguvu zake zinatoka kwa bwana, usiangalie ukubwa wa ukuta uliopo mbele Bali mtazame mungu atakusaindia
Good morning my family Twitter 😘😘😍
Hakuna dhaifu asiekuwa a faida, usimdharau mtu wala kujiona wewe ndo mkamilifu maisha yanabadilika kwa kasi Sana tuhedhimiane na tupendane
Good morning my family Twitter 🥰😍🥰
Mambo yakiwa shwari watu wengi hawaonagi umuhimu wa maombi, mambo yakingeuka kidogo huaza kuomba na kufunga, wakat wa unazama siyo wakat wa kujifunza kuongelea
Good morning 😘😍
Namuomba Allah atuondoshee shida, dhiki na maradhi atujalie heri Baraka zitawale katika maisha yetu, atujalie upendo, furaha na mashikamano Kati yetu 🙏🙏
Good morning 🥰😍
Usiongope, usikate tamaa, usiku wa tabu utapita na Asubuhi itafika hakuna matatizo yanayoisha milele mungu anakuona na atakufikisha salama
Good morning 🥰😍😘
Hakuna aliyeumbwa na roho mbaya au chuki n maisha ndio yanatusumbua na kutupandikiza chuki. Omba sana upewe moyo wa kuridhika ili upunguze choyo a usichukue watu hovyo
Good morning 😍😍🥰
Hauwez kurund nyuma na kubadilisha yakiyotea mwanzo, Lakin unaweza kuanzia hapo ulipo na kubadilisha yatakayotokea mwisho
Good morning my family Twitter 🥰😘😘
Usimdharau maisha ya yoyote kwa sababu Kuna wanaoishi kumtengemea. Unayemuona Hana maana kwako Kuna watu wa namuona ndiye wa thamani Zaid kwao. Heshimu uhai kwa asiye kuhusu ujue anawahusu wengne
Good morning 😍😘
Kuna baadhi ya maneno utayasikia kwa watu kuhusu wewe unatakiwa kuyapuuzia na Kuyacha yapite kwa maana Kuna wakat wataongea vibaya ili kukupoteza kwenye njia na kukutia hofu ya kushindwa na kukata tamaa
Good morning 😘😍😘😘
Kuna watu unaweza kuwafanyia ubaya ukahisi kwamba umewazuia wasiendelee mbele kumbe kadri unavowafanyia mabaya ndio unazid kuwapa nguvu ya kupambana jifunze kuwa tendea watu mema hujui kesho n Nani atakusaindia ukipata tatizo
Good morning 😘😍
Hakuna mwanamke mjinga katika dunia hii, Bali Kuna wanawake wavumilivu tu ila usiombe uvumilivu ufike mwisho utamba poooooooo🤭🤭
Good morning my dear🥰🥰😘
Kuna siku utaamka na huzuni, pia Kuna siku utaamka na furaha lakini Kuna siku hautaamka kabisa hivyo maisha n Yale Yale usijione mpya katika ulimwengu wa Zamani
Good morning 😍😘
Wakat ambao unapitia maumivu ya kuumizwa na unayempenda, Kuna huyu usiyempenda au usiyemjua kuwa anakupenda, naye anapitia wakati mgumu akiwaza ni lini atakupata kila anapokuona
Good morning my family Twitter 🥰🥰😍
Wakati mwingne ukiambiwa ubaya wa mtu tafuta na wema wake, siku zote hakunanga mzinga unao beba nyuki tu, bila asali ndan yake
Good morning my family Twitter 😘😍
Maisha n mafupi Sana so ishi na wanaojali thamani ya uwepo wako na usipoteze mda kwa mtu yeyote asiye na muda na wewe
Good morning my family Twitter 😍😘
Dunia inakelele nyingi Sana, usiamini katika hizo kelele zao Bali amini katika uwezo wako, Nia yako, na malengo yako utafauku
Good morning my family Twitter 😍😘
Yahangaikie mahusiano ambao yanakufanya ulale usingiz vizur, ila Yale yanayojunyima usingiz usihangaike nayo usije ukabaki kulaumu mtu
Good morning 😍😘😍
Maumivu ni sehemu ya safari ya maisha inaweza kuwa ngumu Sasa lakini kumbuka kwamba kila uchungu unakuza maumivu na Hekima usikate tamaa
Good morning 😍😘