@amina_hafidh
🤣🤣🤣🤣Yani bora umesema Da mina,mi nawashangaa sana mademu wa humu yani mtu umetongozwa uko DM,kwani lazima uje utangaze uku? Kama mtu haujampenda kausha ibaki kuwa siri yako! Asa kidemu kinajikuta pisi Kali nini watu wanamjaribu anajiona bonge la keki kumbe kitumbua tu🤣🤣