R.I.P 😭😭
Kuna gari ya mashabiki wa NAMUNGO ilikuwa ikielekea Dar es salaam kucheki mechi Yao Leo imepata ajali maeneo ya MITEJA kibaoni Kilwa ,watatu hapo hapo wamekwenda 😭😭😭 .
Humu ndani watu ni makatili sana kisa nimejipost jana ndo Kila mtu anani attack,kwamba mi sio mzuri sijui zombie mara nimezeeka na majina kibao ila sawa tu Mungu atawalipizia 😭😭😭😭😭😭