JOSSY🏳
@Jmbish2
Followers
9K
Following
18K
Media
857
Statuses
11K
@IAMartin_ Mkuu Kidato channe mwaka 2014 walitumia hivoo, ya GPA😂 atqkuwa sahihi shahid hapo.
26
2
233
@AbroadTanzania Mimi nakubar, mlimuokoa, maana bila nyie kufanya makosa angekufa,, mlimuokoa vizur sanaa😂😂.
1
2
155
@SuluhuSamia Hii nasikia ndo hali ya kota za hao polisi waliotumwa kuja kututawanya kesho, ambao walifanya zoez ili kukataza maandamano kinyume na katiba,.Wakumbuke mama wajengee Numba nzuri nawao🙏
6
12
131
@IAMartin_ Af mkuu hii umeionaa😂😂 itoleen hatua hii, askar wetu wanafanya mazoezi kuzuia maandamano, kwa raisi, ila hawafanyi zoezi la kukumata watekaji, na wauaji.
13
9
128
@TuliaAckson Tena nakukumbusha , na huyu mchungaji mbalikiwa mpaka leo mlicho mfanya huko mbeya,, na mtoyo wake inasikitisha kuona na nyie mnasikitia mauaji🙌🙌
4
4
113
@HKigwangalla Shida, nyie watu mnaotusema, sisi tunapotaka tuajiriwe hatuna akili,, mnatuchanganya, wakati na nyie mmeajiriwa,😂😂.Na mnapiga magot ili tuwape kura, tueleweje sasa
12
4
95
@Jambotv_ @MsigwaPeter @SuluhuSamia Alie sikia msigwa kama mwanachama cha democrasia na maendeleo😂😂 mwishoon pale anyooshe mkono😂😂.
13
1
97
@eastafricatv @SuluhuSamia Ungejenga na makumbusho ya wake na waume wa maraisi, ingependeza sanas,, .Mbuga zipomtauza tu, watu tupo tutakuwa tunalipa kodi, wee usijal, mpaka tujinyee,😂😂 endeleen kujijali, sis tutaish kwa neema ya Mungu🙏.
2
0
86
@clementmanang @shomari_omary Shida, mnaleta taarifa, hao watu simnawafahamu,, chukuen sheria mkononi, dah wachomeni hata moto uone kama watarudia.
2
5
82
@MwananchiNews Tupo na nyie pamoja tuna wakubali, na kama mnakata rufaa kupeleka kes mahakamani licha ya mahakama nayo ni yao, mnaweza kutuambia tudonete feza mlipe mawakilii,, .Hamjakosea chochote mmefanya kazi yenu, mnahitaji mjisifie 🙏.
1
3
78
@IAMartin_ @MsigwaPeter CCM walivo washenzii lazima huu msala wamwachie pekeake,,.Atanyoooka
11
5
72
@IAMartin_ Kwakweli mimi ningewaomba na kuwashaur martin, kesi mlizo nazo sahv mzimalize halafu nanyie muish tu kama sisi, coz Mnaumia kwaajir ya watu wasiojitambua, Mungeacha tu tupigwe tuendelee kuwa na hali mbaya mpaka siku tutapopata akili🙏.
5
5
67
@TuliaAckson Ila madam, kweli wee mnyakyusa, zarau kibao na kejer ila haina noma ndo inchi yetu Tanzania inapenda😂😂.
0
2
68
@MsigwaPeter Sasa kuhama sio shida, unahamia wapi kwa masrah gani.Wewe umehama kwa sababu ya kupata chochote lazima tukuambie ukweli huna pakujificha,. Ulithibitisha mwenyewe unatafutwa ununuliwe, mwanzo hawakufika dau sahiv wamefika ndo maana upo CCM.
5
4
61
@ExMayorUbungo Wamempora simu yake ya mkononi na Kumtishia akienda Kuongea popote watasambaza picha zake za uchi. Baada ya Kuachwa porini usiku ule wa Saa Saba ,watekaji wakifikiri wameshamuua tayari.""". ☝️ mh, itakuwa kaandika kwa hasira, ila imeeleweka.
8
1
62
@eastafricatv Ee, hao migambo uchwara wapo sana hasaa huku vijijin wanawapiga watu viboko mno,, an kupo tu hakuna hata sheria za kuwazuia hawaa, tunashuhudia vituko ving.
5
0
53
@Roma_Mkatoliki Sawa , nakubar mkuu hakikisha umemwambia kwa ustaarabu na kila kitu anajua, akumbuke kuna Mungu baada ya maisha haya ahofie Mungu kwa kila kinachoendelea inchin kwake🙏.
1
1
49
@MariaSTsehai Hela zetu hizii,an hata ssm wenyewe wanajiibia😂😂, wangewekeza nguvu kubwa kujenga shule nzuri, kuajir walimu wazur na kujikita katika afya na miundo mbinu,, .Mbna tungewakubar tuu, saa wataleta baisker kwa mazezeta , af wao wanatembelea magar😂😂.
2
4
51
@city_digest @drillerst25 Big up Kenya🔥🔥 god can go to help to remove Ruto. Sisi Tanzania Tupo tu kama misukure inaumiza sanaa, na Tunauliwa af Et drama😭
2
14
52
@eastafricatv @SuluhuSamia Oneni na sikilizen huko katavii, vyoo hata laki5 unajengea watoto.Wao wanajijali wao😂😂 aibu na vichekesh
1
10
51
@YerickoNyerereT @SuluhuSamia Wakati wamempa report mambo yapo shwar, atawasimamishaje kaz inch yake wamemwambia, hakuna mauaji wala utekaji😂😂.Hao sisi ndo tuwasimamishe tarehe23, kivumbi kitimke siku hiyo.
4
5
50
Tuanze na huyu @simply_valor kumfollow .Ukisha mfollow.Af weka handle tukufollow back .Ifwate zam yako nikuombee followers🙏.Tubebane wakuu🔥🔥
49
10
48