Nail Lady💅🏽 Profile Banner
Nail Lady💅🏽 Profile
Nail Lady💅🏽

@GraceNguo

Followers
15,721
Following
292
Media
468
Statuses
13,358

IR & Diplomacy🧑🏽‍🎓| Entrepreneur 🇹🇿 | Nail artist | Instagram @Elegantnailstz 📞+255621 217921

Tanzania
Joined March 2017
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
I saw my dad crying wen gari ya bomoa lilipokuja without any info kubomoa nyumba yetu aliyotumia miaka 8 kuijenga, Tulikuwa na mwaka 1 toka tuhamie. We were all watching our house going down without knowing tutaenda kulala wapi. A family of 6 at dat time, mama akiwa na kichanga.
@shobanes
Shoba Gatimu
2 years
Lakini kusema tu ukweli, apart from mzazi ku dedi. Mimi huwa sioni kama kuna kitu ingine kwa hii dunia inafaa kufanya ulie as a man.
179
151
621
155
370
2K
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 months
I want this🥹😍
90
454
2K
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
8 months
Nimepata ajali mbaya ya pikipiki.. Nimepasuka uso na nina michubuko .. Niliekuwa nae bado ni unconscious ndo anapelekwa muhimbili. Please pray for me and my friend🥺🙏🏽
493
102
2K
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
M O N D A Y
Tweet media one
153
30
2K
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
Tbt 2017
Tweet media one
93
35
2K
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Niliwahi mpost rafiki yangu wa kike status..,kaka mmoja alipoiona picha yake akasema naomba namba yake, nikawaconnect , wakaoana sasa wana mtoto 😃
99
28
1K
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
5 months
I don't have a new picture but please wish me something today🎂🎉
Tweet media one
146
65
927
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
📍Lindi
Tweet media one
56
12
903
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Hello from Arusha🥰
Tweet media one
71
6
898
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Any thoughts ladies 💁🏽‍♀️ #onasendoffday
299
123
875
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 month
Wimbo gani kutoka Tenzi za Rohoni unaweza kuuimba kwa kichwa?
Tweet media one
195
72
900
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 months
Mama alipita leo ofisini kunisalimu, kabla ya kuondoka akapiga goti kuombea biashara yangu🥹🥹 Sikutaka kumiss hii kumbukumbu ya picha. Thank u God kwa neema hii🤲🏽
Tweet media one
57
53
889
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Dada wa Internship🧟‍♀️
Tweet media one
62
18
856
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Happiest birthday to me 🥰🥰
Tweet media one
92
18
804
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Unpaid Internship is a modern day Slavery.. Pay your Interns
22
128
764
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
8 months
Nimetembeza nguo., nimetembeza urembo., nimeuza juice, Asali, ubuyu, mkaa, kufanya usafi nyumba za watu, nimekaa winga Kariakoo milangoni pa maduka ya watu, Nimefanya Internship sana, kujitolea ndo usiseme.. Mwisho wa siku nipo hapa🫠Najua sijafika but hata sasa Mungu amenisaidia
57
79
781
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Mtafutie mtoto wako kitu cha kufanya akiwa nyumbani either - kufuga km sungura, kuku - Kupanda bustan au maua - Kufuatilia bili/order za vyakula - Kama unaduka nenda nae siku chache afunge hesabu - Kumaintain gari/baiskeli au pikipiki ya home Teach him/her to b responsible😊
27
128
667
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 months
Anatafutwa Nanny (dada wa kulea watoto tu) kazi yake ni mtoto peke yake. But kigezo kikubwa ajue kuendesha gari ili awe anampeleka mtoto shule. Sio lazima uwe na Leseni, ww jua kuendesha after Test leseni utatengenezewa. Mshahara ni 300,000. Chakula na malazi yapo free.
58
86
655
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
I can’t believe ooh God 😭dah
Tweet media one
53
19
617
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
Back to low-cut AGAIN😅
Tweet media one
Tweet media two
36
17
624
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Lake Duluti #Tanzania
Tweet media one
38
9
633
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Last year☺️
Tweet media one
55
17
618
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Haya mambo unaweza dhani unamkomoa Ex wako kumbe unamuaibisha mtoto wako mwenyewe 🥺 anakuja kukua anaona haya mitandaoni, it hurts
Tweet media one
231
32
607
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
5 years
Babe wangu akikutext mblock pleasee😩😩 Ndo ninaye huyohuyo mmoja tu🙏🏽😭
51
28
591
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Which one was ur favorite?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
335
29
595
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 year
Chubby and mature🫠
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
45
27
593
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
Zuchu ana ujasiri wa 10gb
100
45
595
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Hivi watu wanaorushaga viatu kwenye nyaya za umeme wanamaana gani?
Tweet media one
164
20
565
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Sio kila anaekaa Dar anakaa mjini.. Maramba Mawili na Makongo juu ni nje kidogo ya jiji la Dar es salaam😒
66
11
543
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
Dada yenu wa Intern☺️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
38
14
555
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Me in 4 moods💖
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
40
15
530
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
😊
134
126
509
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
My holiday☺️😍
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
39
12
508
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
6 months
Duka lina stika kibao kua ni Saluni ya kucha. Zina picha za kucha na pameandikwa 'Elegant Nails' mlangoni. Then watu wanafungua mlango kuulizia huduma ya Mpesa😒 Nilikuwa nachukulipa poa mpaka jana mteja wangu kwenye stori akaniambia "they don't see your salon, Pray". Nimeogopa
53
40
525
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
13.12.20
Tweet media one
59
3
499
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
T U E S D A Y
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
44
13
480
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
8 months
Gari la Tanesco ndo lilitugonga jana na kukimbia..
41
29
486
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
NOKIA 🔥
Tweet media one
62
21
469
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Happy Sunday☺️
Tweet media one
34
12
464
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Rock City☺️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
19
444
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
Ajira portal ilipoanza we were happy kwamba itamaliza undugu na upendeleo but deep down hamna kitu. Ni waalimu tu ndo wanaweza ku apply sehemu nyingi but sio kozi nyingine.
53
41
455
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
5 years
Nimecheka nusu nife🤣🤣🤣
65
34
428
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 year
@MarekaMalili
Lubasha Jr
1 year
Mtu kastaafu utumishi wa Umma, kiinua mgongo anaenda kununua gari ya 40m ya cc zaidi ya 3000 Saidieni wazee wenu kufanya maamuzi sahihi ya fedha aisee. Maana watakuja kuwasumbua nyie mbeleni.
74
37
613
28
97
437
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Send your man hela ya weekend leo. Muaibishe shetani sisy
31
21
415
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
21 days
Unajua kwa nini wanawake wengi hawareport kesi za Ubakaji? Ni kwa sababu kesi itawageukia na lawama kuwarudia wao. Wataulizwa kwanini ulivaa kimini, kwa nini ulienda hiyo sehemu, Ona sasa wanamjudge yule dada sababu alikuwa na nguvu za kuwamudu wale wote 🚮 Inaumiza sana
Tweet media one
84
102
429
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
I will marry mother nature someday💍☺️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
28
19
416
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 months
Natafuta kazi, working from home au Night shift only Nina Bachelor ya IR and Diplomacy I can be PS preparing your speeches, presentations, meetings etc Au kazi yoyote tu decent ya kuniongezea kipato. E: graceananguo @gmail .com Plz retweet boss wangu anaweza kuwa kwenye TL yako🙏🏽
16
238
418
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 year
☺️😉
18
47
412
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
Some years back nikiwa ……😌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
34
15
407
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
Rain all day+home alone combo☺️
Tweet media one
22
10
398
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Dada yenu wa Internship leo😌 #InnovationWeekTZ
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
15
10
386
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 months
I think these are my fav pics😋
Tweet media one
Tweet media two
41
20
378
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
🤣🤣 sihami Twitter wallah
Tweet media one
Tweet media two
101
26
335
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
11 months
Kigoma raha☺️ Hapa wapi?
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
61
16
344
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Depression is real.. it’s killing me😒
46
4
322
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Jaman maboss nipeni kazi niwafanyie😊Hamtojutia. Part time na tempo Email: gracynguo16 @gmail .com
13
32
332
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Haya maisha bhana.., unaempenda hakupendi, unaemtaka hakutaki yan vurugu vurugu
23
11
314
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Imagine amekula kula kwenye mgahawa wako na amekataa kulipa🤣
Tweet media one
89
12
321
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
Nisipo pambana na biashara, sitatoboa haya maisha.
25
25
332
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
Happy Monday to y’all
Tweet media one
19
10
314
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 months
Tumefikiwa
160
44
323
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 months
Mje saluni jamani sina maisha nawategemea🥹
Tweet media one
Tweet media two
15
18
319
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Mwanza has been so good to me so far🥰🥰
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
11
304
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
Kama nafasi zote za kazi zimeingizwa kwenye system, basi system ituruhusu kuapply kazi zote. Wangapi maofisini wanakazi ambazo hawajasomea chuoni? Wanatrainiwa tu basi. Experience matters. Ajira portal has to change that aisee
24
30
316
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 month
Hivi Tanzania nzima kuna mkate mtamu na mzuri zaidi ya Super loaf?
@Kiganyi_
M A G I R I
1 month
3,300/- from 3,000/- CCM haitaki watu wale mkate.
Tweet media one
92
39
461
156
15
316
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
9 months
Hebu mniache kwanza😅😂 no way😭
31
35
300
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Wazazi kuna ushauri wenu huku
Tweet media one
44
6
286
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Broke girl #Thursday
Tweet media one
26
11
284
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 years
Baby mamas drama😅
67
64
285
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
21 days
Leo nimetolewa kwenye Netflix ya watu after like 6 years of using it freely. I'm hurt😔
18
12
292
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Ni movie gani ambayo mpaka sasa umeiangalia zaidi ya mara mbili na bado haujaichoka???
108
10
271
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Hello from Duruti forest - Arusha
Tweet media one
21
3
275
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 months
Ningekuwa na hiyo nguo niliyoipost aisee ningepiga hela za nchi zote😫Sio kwa hizi Dms
7
0
269
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 months
God wheeeeeeen🥺
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
2 months
I just saw a couple video imeniacha natabasamu mpaka sasa🥹
2
0
25
43
26
271
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 months
Sijui nihame Dar.., mara moja nilishawaza hivi and i wanted kuhamia Dodoma. Now nawaza tena kati ya Dodoma au Morogoro ni wapi pazuri. I want to restart my life😃
80
11
269
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 years
Mume anatakiwa amwombe mkewe ruhusa kabla ya kunyoa ndevu zote...
17
4
249
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 month
Nimegundua nikilipia bill ya dola 5 instagram Ad, Voda Mastercard wanikata almost 5000 inaniumiza sana. Mnaotumia CRDB kulipia, how much wanakata?
13
10
265
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
Em ngoja kwanza nicheke😂 Mimi niliwahi kuanza kujitegemea bhana toka nipo form 5. Sasa wakati nasubiri majibu kwenda chuo nilipata kazi Posta kwa siku napewa elfu 10. This person called me, G nipo Dar kwa siku chache, tuonane. Nikamwambia karibu nipo kwangu. Ilikuwa Jumapili,
@swahilitimes
Swahili Times
10 months
Tweet media one
81
31
531
68
21
261
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 month
On the first date ananiuliza "Hausikii aibu kusafisha miguu ya watu?" Bruh byee😶
36
10
259
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
🙏🏽
Tweet media one
6
31
255
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
5 years
Jamani naombeni kuuliza, kwani hiyo AS ROMA ndo nini?????
Tweet media one
45
3
230
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
5 months
Enzi za ubinti
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
23
15
252
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
6 months
Ningekuwa mkeo ningeshukuru umenunua chakula but kupanga fridge utaniachia tu😩I'm perfectionist yani hapa nateseka kama langu vile😂😂Why nanasi lipo wazi😭
57
7
247
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 months
I met mwalimu wangu mmoja wa sekondari akiuza maji. I saw him first nikajifanya sijamuona but akanifuata kunisalimia. I thought i forgave him but ni kama kanikumbusha yote aliyokuwa ananifanyia akiniita ofisini kwake. I don't know what happened to him to be there. But sio mbaya
23
13
246
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
Juzi niliwapigia @VodacomTanzania nikaona nakaribishwa kama VIP customer. Nikashangaa coz ain't no way😂😂Nikamuuliza mhudumu mimi ni VIP kivipi😂, Akaniambia sababu ninaitumia namba yangu zaidi ya miaka 10 sasa😃 Now kila nikipiga namba 100 sekunde tu wanapokea😎☺️
40
18
245
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
10 months
No way😅
79
47
243
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
4 months
I want to be financially stable, eeh Mungu nisaidie mambo madogo kama kupata hela ya chakula, kodi, nguo na matibabu kusinishinde tena🥹 Shida nilizopitia zinatosha aise, nimeombaomba na kuungaunga sana mpaka kufika hapa🥲
21
35
241
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
3 years
Hawa wenyenyumba watafute kazi nyingine za kufanya sasa, sio kukaa na kusubiri hela ya pango tu😏😒
26
9
226
@GraceNguo
Nail Lady💅🏽
1 month
This lady amenikumbatia kwa muda and said "unanukia vizuri hii perfum yako nimeipenda sana" I was like aww thank u , inaitwa... before sijamaliza she replied "No need to mention, nikija kwako nitaichukua" Moyo umefanya paaa😰 kamwe hatokaribishwa kwangu🙂‍↔️
19
9
235