Nimejumuika na kinara wetu, baba
@RailaOdinga
pamoja na viongozi wengine, katika Wadi ya Tsimba- Golini, eneo bunge la Matuga, kaunti ya Kwale, kwenye mchakato wetu wa kuendeleza mikutano ya hadhara, tukizidi kuhamasisha wananchi umuhimu wa kujisajili ndani ya chama cha ODM.