Yaani Hamronize Kipindi Anatoka Wasafi Alilia Kwenye Kila Media Akisema Ameonewa Kulipishwa 500M Ili Ku-terminet Mkataba Wake
Leo Msanii Wake Angela Anataka Kuondoka Kondegang Anataka Alipwe BILLION 1 😂, Kwa Kipi Hasa Cha Maana Alichomsaidia Mpaka Atake Hela Zote Hizo 🙆♂️
“Kwa Jinsi Xavi Alivyoibadilisha Barcelona, Na Michael Arteta Pale Arsenal”
“Ndio Jinsi Frank Lampard Alikuwa anataka kukifanya Pale Chelsea Ila Hakupewa Muda wa Kutosha,
Mdau Kutoka DM
Wale wa Pep Guardiola ni kocha bora duniani bado wapo 😅
Kuna Jamaa aliandikaga humu, Hakuna kocha bora duniani kama Guardiola sasa hivi naitafuta hiyo tweet siioni sijui kafuta 😂
Nilitaka nishangae Liverpool afungwe na Astonvilla
Halafu kocha ni Gerrad na Anajua kabisa Liverpool anamfukuzia Man City kwenye mbio za ubingwa
NEVER 😅
Simba waitake game wafunge goli halafu likataliwe haijawahi kutokea hiyo, Yaani Simba taifa iwe ni offside au kwa Penaty watashinda tu
Viongozi wa Yanga kucheza game nje ya uwanja bado sana
Simba Haya Mashindano ni sawa na Ndondo Cup tu
Anayoendeshanga Shaffih Dauda Msitupigie kelele sana 😂
Mnawafunga Vibonde Halafu Mjisifie Mko Vizuri RUDINI KWENYE LIGI TUWAONE 😅
Simba wanarudi kwenye form wakati washapoteza kila Kitu Msimu huu
Hawapo Champions League
NBC Premier League Taji ni la Yanga
FA wanachukua Yanga
Huu Ushindi na Kelele zenu haziwasaidii Chochote Mjipange Next Season tu
Ila tuseme ukweli uongozi wa champions league ulikosea sana kulitoa hili goli la ugenini
Goli la ugenini ndio lilikuwa linaleta raha ya champions league
Mfumo wanaotumia Liverpool, Mpe Mpira Anord Au Robertson tia kros Jota kichwa au mane Goal
Wakikwama Hapo Ndio Basi tena
Hawajui kumsearch Mtu Kama Man City au Chelsea 😂😂
Ok, Jules Kounde to Barcelona Deal Done ✅
Kazi imeshaisha sasa, Tuchel ni wa kulaumiwa kwenye hili na Kounde yupo right 100% kuchangua Barcelona over Chelsea
Waliofuatilia hili saga nafiri mtakuwa mmenielewa
🇺🇸 Todd Boehly
🇺🇸 Clearlake Capital
🇺🇸 Mark Walter
🇨🇭 Hansjorg Wyss
🏴 Jonathan Goldstein
🏴 Daniel Finkelstein
🇺🇸 Barbara Charone
Welcome to
#Chelsea
! 🤝