MWANAUME ZINGATIA HAYA
-Usivute sigara.
-Punguza pombe.
-Acha punyeto/kujichua.
-Usitumie dawa za kuongeza nguvu za kiume.
-Acha phonography.
-Usinyonye uchi.
-Kula lishe sahihi.
-Fanya mazoezi.
HII NDIYO LIST YA DAWA BORA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME
- Mazoezi.
- Chakula cha asili.
- Matunda na mbogamboga.
- Kupumzika/usingizi wa kutosha.
-Mwanga wa jua/kuanika korodani.
-Kula vizuri na kwa wakati.
-Kunywa maji mengi.
-Kujiamini/ishinde hofu.
Mwanaume ukiamka asubuhi hakikisha uume wako umesimama na korodani zako ziko salama.
Kama uume wako hausimami hakikisha unapata angalau vipande viwili vya tikiti maji pamoja na ndizi mbili kila siku jioni.
MWANAUME KAMA UUME WAKO HAUSIMAMI ASUBUHI ZINGATIA HAYA;
•Badili mtindo wa maisha
•Punguza msongo wa mawazo
•Acha kupiga punyeto
•Kula lishe sahihi
•Fanya mazoezi angalau dakika 30 kwa siku
Usisahau kula vipande viwili vya tikiti maji pamoja na ndizi kila siku.