Daktari Wa Jamii💊💉 Profile Banner
Daktari Wa Jamii💊💉 Profile
Daktari Wa Jamii💊💉

@FJinyami

Followers
13,527
Following
981
Media
478
Statuses
15,904

Clinical Social Worker || Health Advocate || Researcher||

Health and Medical
Joined November 2019
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
1 year
MWANAUME ZINGATIA HAYA 1.Usinyonye uchi wa mwanamke. 2.Kunywa maji mengi. 3.Usinywe soda. 4.Usile vyakula vyenye sukari nyingi. 5.Kula angalau yai 1 kwa siku. 6.Fanya mazoezi ya kutembea. 7. Wekeza kwenye afya yako.
106
182
1K
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
1 year
MWANAUME ZINGATIA HAYA -Usivute sigara. -Punguza pombe. -Acha punyeto/kujichua. -Usitumie dawa za kuongeza nguvu za kiume. -Acha phonography. -Usinyonye uchi. -Kula lishe sahihi. -Fanya mazoezi.
140
172
1K
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Mapenzi ni usenge kweli, nimeachwa tena😁😁
85
6
604
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Msaada tutani ivi kirefu cha "MC" ni nini?? Nasoma comments 👇
120
7
556
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
0
0
384
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
1 year
MWANAUME ZINGATIA HAYA 1. Vaa kondomu wakati wote. 2. Acha kujichua. 3. Acha kuvuta sigara na unywaji wa pombe. 4. Acha kunyonya uchi (ngono ya mdomo). 5. Kunywa maji mengi. 6. Kula vyakula vyenye afya. 7. Fanya ngono kwa kiasi. 8. Dhibiti msongo wa mawazo. Asante
60
76
415
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
1 year
HII NDIYO LIST YA DAWA BORA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME - Mazoezi. - Chakula cha asili. - Matunda na mbogamboga. - Kupumzika/usingizi wa kutosha. -Mwanga wa jua/kuanika korodani. -Kula vizuri na kwa wakati. -Kunywa maji mengi. -Kujiamini/ishinde hofu.
40
69
376
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Nasikia Wasukuma Ndio Waliogundua Uji,Lengo Lao Lilikuwa Ni Kutengeneza Juice ya Mahindi😂😂😂
21
14
313
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
1 year
Mwanaume ukiamka asubuhi hakikisha uume wako umesimama na korodani zako ziko salama. Kama uume wako hausimami hakikisha unapata angalau vipande viwili vya tikiti maji pamoja na ndizi mbili kila siku jioni.
20
27
287
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
3 years
Wife materials wamelala tayari, majambazi yapo online😁
15
4
185
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Nimeamka na sioni ata missed call, iko siku mtanitafuta tu🤔
13
1
180
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
1 year
0
0
162
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Tusichelewe kusamehe, wakati mwingne ukichelewa kusamehe, unapoteza kila unachopenda. Good morning fam ❤
10
12
158
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Delete na ujiheshimu.
28
4
147
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Sio kila mkaka handsome ana wanawake wengi mfano mimi sina hata mmoja😁
13
3
141
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
1 year
MWANAUME KAMA UUME WAKO HAUSIMAMI ASUBUHI ZINGATIA HAYA; •Badili mtindo wa maisha •Punguza msongo wa mawazo •Acha kupiga punyeto •Kula lishe sahihi •Fanya mazoezi angalau dakika 30 kwa siku Usisahau kula vipande viwili vya tikiti maji pamoja na ndizi kila siku.
9
35
160
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
3 years
Alikiba ft Rude boy 🎵 Salute🔥
6
6
136
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
0
0
132
@FJinyami
Daktari Wa Jamii💊💉
4 years
Wenye hukomenti kwa post zangu mtakula round mbili kwa harusi yangu I promise you guys😁😁
17
1
119