Kuna muda jipe nafasi ya kukumbuka zile dharau, changamoto, kero, maumivu uliyo pitia nyuma...
Kwani zitafanyika kama nguvu ya kukupa;
-Kuinuka tena
-Shauku
-Nia
-Hasira ya ku work hard. 💪🏽
💎Sababu hata anae hitaji kuruka shimo pana laimzima arudi nyuma kukusanya nguvu zaidi✍🏽