๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡ Profile Banner
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡ Profile
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡

@Darrenne_

Followers
4,206
Following
1,485
Media
135
Statuses
21,351

โ€ข||โ€ข๐™น๐šŸ๐šœ๐š ๐šŒ๐š˜๐š˜๐š•...โ€ข||โ€ข๐• ๐š๐š˜๐š› ๐™ต๐šž๐š—โ€ข||โ€ข๐š‚๐š๐šŠ๐šข ๐™ณ๐šŠ๐š—๐š๐šŽ๐š›๐š˜๐šž๐šœ๐Ÿ’€โ˜ ๏ธโ€ข||โ€ขGGMU โค๏ธ

Exile
Joined May 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
22 days
Wakiona wameshindwa kukubeba ufala wanaanza kusema uko na kichwa ngumu
20
151
434
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
11 days
Nikiwaonyesha vile mtawithdraw hizo coins ziko kwa games nyi hucheza mtanilipa
69
146
328
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
9 days
Dem ako na sura ya thao lakini makelele ni za coins
56
132
252
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
17 days
Unashanga mbona sikuizi huokoti pesa kumbe uliziokota kwa CRE zikaisha๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚
17
95
232
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
10 days
Kuna fresher ameniuliza mtu akichoka kutembea akiwa na airforce anafinya wapi ndio afly
70
123
205
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
9 days
Ukilala na mtu wako for the first time unakuanga very keen kupumua usianze kuguruma kama kisiagi
53
113
191
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
19 days
Najua mnashangaa mbona sinunui gari kumbe nangoja number plate zifike KEG nishike yangu ya black
17
91
184
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
18 days
Hii ndio ile weather ilifanya yesu akasema aoshwe tu miguu
17
85
162
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
23 days
Karibu nianze kufuta tattoos kumbe ni mtoto wa jirani anapuliza tatumbeta
19
67
157
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
9 days
Nikiwa class 4 nilkua nakunywa stoney mbele ya watu ndio wanione gangster but deep down nilkua naumia
52
94
152
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Ama usiku ni shortform ya usikule ndo maana usiku hakunanga lunchtime
17
71
141
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
18 days
Nimeita msee wa NYS mjeshi akanipea number ya manzi yake
20
70
142
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
8 days
Nikianza kuwauzia kahawa church mtanunua ama nifikirie biz ingine
44
89
144
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
9 days
Kama bado we shout 'hello' ukireceive call you still have a long way to go
30
63
132
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
20 days
Kuskuma nyama kando ya sahani ndio ukule ya mwisho looks illegal but it ain't
18
72
131
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Hustler fund hawaamini niliwaosha๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
12
52
122
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
21 days
Yani marashi hukua product ya ngwai ndo maana huitwa puff-ume
16
70
119
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
18 days
Kuna screen protector ya tv ama huyu anataka kuniosha
17
72
118
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Ukipiga Meno picha tunaeza sema ni Tooth pics๐Ÿ˜‚๐Ÿค”
14
59
108
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
10 months
0
0
103
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Foreman anashanga mbona umefika mapema kumbe umehepa landlord ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
8
54
105
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Pastor amesema Gol-gotha nikasema Gotha tena wakaanza kunikemea kwani ni mbaya๐Ÿค”
9
47
100
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Pesa ya kununua bhangi nko nayo lakini ya maua hakuna๐Ÿ˜‚
8
62
98
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
23 days
Unashanga mbona unapata watoto kichwa ngumu kumbe ulinyonga wale wazuri๐Ÿ˜‚
9
58
98
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
12 days
Kumbe kuanguka kutoka kwa bed ndio mnaita ku-fall asleep ๐Ÿ˜‚
16
53
95
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
10 months
0
0
86
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
16 days
Vile unahype starlink mtu haezi jua ni wewe ulishindwa kulipa okoa
10
53
94
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Msichana mrembo lakini anaita blender "jug ya kuunda supu ya matunda"๐Ÿ˜‚๐Ÿ’€
8
30
89
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Kuna mkale hapa ananiuliza nani aliimba "chi pag na jath"๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’€
5
39
84
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Crushie Typing............ Crushie Typing............ Crushie Typing............ Nisaidie 20 ya kulipa choo
16
63
84
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
20 days
Unataka jersey ama chapo?๐Ÿ’€ Me:I want a collabo
13
51
87
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Unaambia dem tu vizuri "come dm"alafu gaidi inakuambia tuma fare๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜‚
7
45
86
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
10 months
0
0
80
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Kitambo nilkua nafikiria Moses alipewa ten commandments akiwa Nai kumbe Sinai๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’€
9
49
79
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
11 days
Tangu nigundue ukiingia kwa mat jioni kama light za blue ziko on alafu ulipe na rwabe fake unarudishiwa change yako roho safi naona mkianza kupaste niweke za kabej
34
58
80
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
18 days
Safaricom nao hawatambui wale wa humble background wanapunguza tu reverse call limit
11
50
78
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Huyu ameanguka nayo akaland kwa kokoto na glass zimepasuka๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚
6
46
75
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
21 days
Her:Babe umeamkaje? Me:Nmefungua tu macho nikaona mwangaza,,,๐Ÿ˜‚๐Ÿ’€
18
52
77
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Ukihesabu fake friends wako mi unihesabu alafu uweke times 5
8
42
72
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Mtu ameshinda bet nne kutoka 2011 haezi tambua mambo na heartbreak hata kidogo
6
43
73
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
9 months
0
0
70
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
12 days
Hakunaga combination mbaya kama ya ushamba,umaskini,ujinga na kua sura mbaya
10
42
75
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Si ati wanakataa kuvaa skirts Kwa ubaya wengine miguu ni za washambulizi
3
32
69
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
14 days
Sielewi vile "Ee Mungu nguvu yetu" inakua 'O God of all creation'
9
49
74
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
20 days
Huyo msichana umeogopa tuko na yeye anasema yoghurt ni thick akaongeza maji
7
49
73
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Hawa watu bado wananusa makwapa ndo waamue kama wataoga ndo wanafanya Kenya hatuezi move on ๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
4
34
67
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Ule mwenye alichukua farasi alishindwa kusimamisha sai ako Zimbabwe๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
5
29
66
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
14 days
Huwa mnanunua samaki imekufa 250 ama huyu anataka kuniosha
10
44
68
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Matching outfit labda tupatane tu kamiti
5
45
66
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Nyinyi mkipelekana out na manzi zenu sisi ugly niggas ni kuskiza Vybez Kartel adi siku iishe
3
37
64
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
25 days
Unacreate account huku na majina zako zote kwani unadhani wanapeana loan
8
39
67
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Unashanga mbona hupendi uji kumbe imejaa kwa akili๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
5
39
62
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Gen Z wanavaa kanzu ya waislamu na necklace ya Catholic ๐Ÿ˜‚
10
38
65
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Ukivaa slippers ya left kwa mguu ya right tunaeza sema iko on the right leg๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
5
30
62
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
19 days
Kuna aunty yako anangoja uomoke,,akufe ndio waseme ulimtoa kafara
11
42
65
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
18 days
Unaingia exam room na leakage ukienda kutoa unapata ni ile receipt ya supermarket ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
10
43
64
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
21 days
Rich pals nao hata hawajui nini imefanyika na reverse call๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
4
32
65
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
16 days
Kitambo nilkua nadhani izo number ziko kwa jersey za wachezaji ni number ya bibi ako nao,dark days those
11
36
62
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
25 days
Nikiwa class one nikipatana na msee anavuta bhangi nilkua naacha kupumua ๐Ÿ˜‚
6
34
64
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Kuwa fan wa chelsea ni ngumu unakaa tu ukijua ni wiki mbili tu alafu mpigwe๐Ÿ˜‚
6
33
63
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Mtu anipee namba ya Size 8๐Ÿ˜‚๐Ÿ’€
3
34
62
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Ushawai kua njaa alafu msee anakuchekesha
4
38
60
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Kama huezi kaa 59 minutes bila kupumua mi huezi niambia kitu
9
41
60
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
19 days
Mtoto wa mlevi ni mlevi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
11
42
63
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Mungu niepushe na wasichana hawajui kupika chapati
1
36
61
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
19 days
Unaibia mtu simu tao unapata ameeka mamako wallpaper ๐Ÿฅฒ๐Ÿ˜‚
8
36
61
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Kuna msee ameingia mat na imejaa akaambia conductor hakuna kiti alafu akijibiwa 'ata Ruto alisimama ndo apewe kiti'๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
7
40
60
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
10 months
Watu 10 pekee wanifikishe 100 niwaweke za divai
6
12
54
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Kanisa siendi ata mix ya Gospel sitaki naanguka nayo tu adi jioni
1
43
61
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Mi nae kama nishai kukosea usinisamehe unanisamehea kwani we ni Yesu we ni cut off bana
1
33
55
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Sasa dem anafungua soda na meno mnapelekana wapi
3
35
59
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
17 days
Kumbe ukisha piga caretaker kila mtu kwa ploti anakuogopa
13
42
61
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
22 days
Unapost meme saa sita usiku unaskia mashetani kwa mabati zikicheka
8
36
61
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
26 days
Kumbe candle ikimelt inaeza kua mafuta ya kujibaka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
11
35
60
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Unaringa na daktari huwa anakushika na gloves kama takataka๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
4
25
60
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Ukiachana na dem mluhya avoid morning calls ju utajipata uko patanisho
5
24
56
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
17 days
What a man can do a woman can do better si upige picha bila t-shirts tuone
8
38
60
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
10 months
0
0
56
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Adi nikaacha shule nikue mjinga kama yeye lakini wapi
6
31
59
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Siamini nainama breakfast na ni juzi tu nimekunywa pombe ya 16500๐Ÿฅฒ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚
6
26
59
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Nko na manzi yako na anasema favourite food yake ni chickenpox na spaghetti ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
7
23
54
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
25 days
Unaniita fake friend kumbe mi si rafiki yako๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
7
33
58
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Hawa watu wako na kipara wanajuanga aje mwisho wa uso wakinawa asubuhi
6
33
57
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
26 days
Unalamba sim 2 unatoka na lipstick ya yellow ๐Ÿฅฒ๐Ÿ˜‚
6
22
58
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
7 months
@omwambaKE Connecting
0
0
52
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
17 days
Tumebaki tu wawili wenye tukiamka asubuhi hatuendi kususu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
9
36
55
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
24 days
Aah hii ni saa ngapi nimechoka kupumua๐Ÿ˜ก๐Ÿ˜‚
7
33
55
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Kesho nataka niende jehenamu nianze kupasua kuni๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’€
5
35
53
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Morio wangu amepigia manzi yake akamwambia alikua anataka kuskia sauti yake dem akaamuliza kama ye ni producer jamaa inaclick na hasira Bana๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’€
2
27
50
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Mbona nawatumia message mtume pesa ninunulie watoto wenu calculator na hamrespond๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜‚
5
28
49
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Nimeopen up kwa therapist akanishow we endelea tu kunywa pombe๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜ฅ๐Ÿ˜‚
1
26
48
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Anaringa na kidole yake ndogo ya mguu haina makucha๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
5
35
49
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
1 month
Kila mtu aweke kitu anafanya kando aniombe๐Ÿฅฒ๐Ÿ˜‚
5
40
50
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Achana na heartbreak ushawai donate damu ukiwa highschool alafu uskie soda na mkate imeisha ๐Ÿฅน๐Ÿฅฒ๐Ÿ˜‚
7
35
49
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
3 months
Hakuna kitu hubamba dem mfupi kama kuambiwa 'Your Highness '
4
30
47
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
25 days
Unakula oranges mingi adi mwili inajua ina-chungwa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
11
38
49
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Unashanga mbona madem wakikuyu wanakupenda kumbe kichwa iko na shape ya waru
3
26
47
@Darrenne_
๐ƒ๐”๐‘๐’๐‡
2 months
Unaenda ku-Anguka nayo unaleteleza unaangukia mtu wa wenyewe
5
27
46