#Bongo5Updates
: Wakati niko Misri kwenye tuzo za AFCON, watu wengi walikuwa wakinambia msalimie Samatta, Niliongea na Etoo akanambia amepigiwa simu na rais wa Barcelona wanamtaka mchezaji wa Kitanzania anayeitwa Kelvin John" - DiamondPlatnumz
Staa wa muziki wa Bongo Fleva
@officialalikiba
amezindua radio yake mpya inayoitwa CROWN FM ambayo inapatikana 92.1 Fm.
Alikiba ameeleza sababu za kuzindua Radio kuwa ni njia pekee iliyoinua career yake na watu kumfahamu kupitia Radio.
Mwanangu amekuwa staa shuleni kwao, asipolipa ada mapema anataniwa sana kuwa mama yako staa anashindwa kukulipa ada? inaniumiza sana na huwa najuta kwanini nimejulikana. – Zuwena
Diamond amemsusa Lavalava WCB?? kwanini yupo kimya kwa takribani miezi 10 na haonekani na wasanii wenzake wa WCB hata boss wake?? lini umemuonna Lava lava na Diamond kama ilivyo kwa Zuchu na Mbosso??
“Naomba muendelee kuniombea nisije kuwa na kiburi au jeuri, nitimize wajibu wangu katika kipindi ambacho kimepangwa kikatiba ili kusudi baada ya hapo tuwaachie wengine watimize wajibu wao uliopangwa kikatiba” -JPM
#Bongo5Updates
:
@diamondplatnumz
alivyopata nafasi ya kutumbuiza katika usiku wa utoaji tuzo za machezaji bora wa Afrika zilizofanyika Misri na hivi ndivyo ilivyokuwa
Harmonize aweka rekodi, msanii wa kwanza duniani kufikisha viwers milioni 1.3 ndani ya sekunde 24, akilipita kundi la wasanii kutoka Korean Kusini 'BTS' -
Nahodha na kiungo wa Mshambuliaji wa Mamelodi Sundowns Themba Zwane ataukosa mchezo wa kwanza wa robo fainali ya CAF Champions League dhidi ya Yanga SC, kwa sababu ana kadi tatu (3) za njano.
Kocha wa Mamelodi Sundowns, Rulani Mokwena amethibitisha kuwa beki wa kulia wa Mamelodi, Khuliso Mudau atajiunga na Burnley FC ya Uingereza mwishoni mwa msimu huu tayari Mamelodi wamemsajili Zuko Mdunyelwa kuziba pengo lake.
Namna Alikiba anavyofanya muziki tutaendelea kumuona sana, watakuja wasanii na kupotea ila yeye ataendelea kuwepo kwa sababu ya life style yake – El Mando
#KutokaTwitter
"Kuna wanasiasa wanatoa maamuzi wanajua kabisa yataumiza watu alafu wakishatumbuliwa ndo wanataka kutuaminisha wapo na sisi. Ebu mjifunze kutenda haki au kufanya maamuzi sahihi mkiwa mmekalia hivyo viti. We are not fools" -
@FlavianaMatata
Alikiba afafanu baada ya kuimba wimbo wa UTU mwezi mtukufu wa Ramadhani, watoto yatima waliniomba maana siwezi hatujawahi kuonana ila sikuwa na lengo baya, nimeimba niwafurahishe lakini kama nimekosea kuwafurahisha yatima Mungu atanihukumu
Harmonize akataa tuhuma za kununua viwers, nikifanya mimi nakosea akifanya mwingine yuko sahihi ina maana mimi ndio nina hela kuliko wasanii wote Afrika Mashariki ? -
Taarifa zinaeleza kuwa Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Uholanzi Memphis Depay ndiye aliyelipia dhamani ya Dani Alves.
Depay amelipa kiasi cha dola milioni moja ambazo ni sawa na Tsh bilioni 2.5 zilizokuwa zinahitajika kama dhamana,