BettingArena Profile Banner
BettingArena Profile
BettingArena

@BetingArena

Followers
40,261
Following
295
Media
2,689
Statuses
47,201

Your Home of Betting

Tanzania
Joined September 2020
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@BetingArena
BettingArena
14 hours
Bet of the day Paripesa 9D4V3 Kick off 19:00 Link ya kujisajili paripesa👇 App paripesa👇 Promocode jaza BERENA KUWEKA NA KUTOA PESA MITANDAO YOTE HALOTEL, VODA, TIGO NA AIRTEL RT✅️
Tweet media one
@BetingArena
BettingArena
7 days
3 za mapema tumelipwa paripesa💰 Naandaa bet of the day deposit kabisa hauna account 👇 Link ya kujisajili paripesa👇 App paripesa👇 Promocode jaza BERENA RT✅️ KUWEKA/ KUTOA PESA MITANDAO YOTE HALOTEL, VODA, TIGO NA AIRTEL
Tweet media one
1
18
24
2
22
28
@BetingArena
BettingArena
3 years
Hapa kuna COCO na KOKO👇👇
Tweet media one
Tweet media two
260
49
2K
@BetingArena
BettingArena
4 years
Hivi ni nn kirefu cha RB unayoomba pale polisi
162
18
1K
@BetingArena
BettingArena
2 years
Nipo hapa benk naweka mipunga kutoka kwa kanji ghafla katokea mzungu peku mmiliki wa shule pale MOROGORO 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Tweet media one
159
22
935
@BetingArena
BettingArena
4 years
Kama unaijua Tanzania vema Nambie hapa ni wap?📌📌📌
Tweet media one
224
17
732
@BetingArena
BettingArena
3 years
Pichani ni JAMES(POCHO)NA MAMA YAKE mwaka 1992, Leo tarehe 9/6/2021 umetimia MWAKA mmoja Toka nikupoteze MUNGU WANGU wa Wa duniani, haikika haikua na haitakua rahisi bila wewe, Pumzika Salama MAMA mwanao wa PEKEE Bado napambana na ulimwengu + WALIMWENGU. NAKUKUMBUKA💞
Tweet media one
133
51
658
@BetingArena
BettingArena
4 years
Maandalizi ya kumpokea TUNDU ANTIPASI LISU @kigogo2014 @fatma_karume @MariaSTsehai @RealHauleGluck
14
71
636
@BetingArena
BettingArena
4 years
Kati ya wafuatao ni yupi anapaswa Kulipwa mshahara mkubwa na Waajili? 1.Mwalimu 2.Daktari 3.Jeshi 5.Taja mwingine
233
12
612
@BetingArena
BettingArena
4 years
Kati ya :- 1.Gunia la pumba ya nguruwe na 2.Nikki wa pilli Unachagua kipi? Mimi kwakweli ni Gunia la pumba🤣🤣🤣🤣🤣🤣
126
20
615
@BetingArena
BettingArena
2 years
Kama uko na picha yeyote ya MAN UTD comment hapa👇👇👇👇👇👇
Tweet media one
75
7
473
@BetingArena
BettingArena
10 months
Imeisha iyo.....✊️
Tweet media one
Tweet media two
83
56
437
@BetingArena
BettingArena
4 years
Hali halisi iliopo hapa moshi Saivi ni 07:11
Tweet media one
40
5
356
@BetingArena
BettingArena
3 years
Kuna kama ODDS 5 nahitaji likes kama 30 hivi niziweke hapa🔥🔥🔥
11
5
317
@BetingArena
BettingArena
4 years
Nyumba za kupanga raha sana Unakuta huna radio lakini burudani ya mziki kama kawa 🤣🤣🤣🤣
10
17
275
@BetingArena
BettingArena
4 years
Zoom extra @JacquilineHenr7 Kwani my unavaa no ngapi?🤦‍♂️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
61
4
258
@BetingArena
BettingArena
2 years
Mtu alielewa chakali anabebwa namna hii!? Hapa walichemka But mziki mzuri✊️
Tweet media one
65
7
271
@BetingArena
BettingArena
4 years
Mi nilikua nashangaa mwanamke gani anashobo na mpira kiasi kile Kumbe ni BAKARI 😁😁😁😁🙌🙌🙌
31
0
229
@BetingArena
BettingArena
4 years
Zoom extra🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
54
7
234
@BetingArena
BettingArena
2 years
Naomba mzidishe maombi wakuu hali sio shwari kwangu, homa imenikamata🙏
43
13
233
@BetingArena
BettingArena
4 years
Natamani sana kumpa siri zangu zote mke wangu lakini nikikumbuka kilichomkuta bro samsoni kwa bidada delila nachoka kabisaa.🥱🥱🥱🥱🙏
5
7
221
@BetingArena
BettingArena
4 years
Jana majira ya saa tano kamili Usiku nimempoteza mdogo Wangu kipenzi kwa jina Alfa Kwa ajali ya bodaa e mwenye Enzi mpokeee na Kumsamehe Dhambi zake zote tukiamini ipo Siku tutajumuika nae Bwana alitoa bwana ametwaa Jina la bwana litukuzwe, Ameen #IwllmisyouBro 😭
76
6
206
@BetingArena
BettingArena
4 years
Mangi wa kichaga anavojidai kauzu unaweza kuta ana kasura laini kama zack🤣🤣🤣🤣
5
2
197
@BetingArena
BettingArena
4 years
Ma legend wanavijua hivi viatu Wale join december mkae kwa kutulia😁😁😁😁😁
Tweet media one
42
1
198
@BetingArena
BettingArena
2 years
Wazazi wanamuita MARTIN Twitter mnamuita BALOZI Mimi namuita Tin Akiwa pamoja na @MangiWakwanza Tukiwa tumekaa dukani alipokua akifanya kazi TIN, Walinishawishi mnamo mwaka 2020 kujiunga na mtandao wa twitter. HAKIKA TUMEPOTEZA MTU MWEMA SANA #RIPBALOZI
Tweet media one
12
14
186
@BetingArena
BettingArena
3 years
Jamaa alinitesa sana, maana ilikua lazima niibe chupa za soda na bia niuze nikaangalie movie zake😂😂🙌🙌
Tweet media one
31
8
175
@BetingArena
BettingArena
4 years
Kwa nyonyo hii kwi ni 23yrs old😁😁😁🙌🙌🙌🙌🙌
Tweet media one
Tweet media two
43
2
166
@BetingArena
BettingArena
3 years
Pochoo77 NGAREMAAAA kazaliwa leo😂🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
58
17
168
@BetingArena
BettingArena
4 years
Mnaojiita mabloo twitter endeleeni Na ubloo lakini mtazeeka tu, na sisi Join september acha tuvumilie ipo Siku tutakua mabloo ama nini wanangu wa chininya 10k Followers ✊✊✊✊
32
3
161
@BetingArena
BettingArena
3 years
Family over everything💞
Tweet media one
14
3
164
@BetingArena
BettingArena
3 years
Nasemaaaaa wapwaaaaaaa Shushaaaaa handleeeeee zenu hapaaaaaaa chiniiii👇👇👇📌
Tweet media one
74
11
151
@BetingArena
BettingArena
4 years
Wahehe wote mbinguni🤣
25
3
142
@BetingArena
BettingArena
4 years
Kazaliwa Pocho walio KILIMANJARI STAY TUNED SOON NTAWAPA CODE MJE MCHAFUE MEZA✊✊✊✊❤
Tweet media one
43
0
149
@BetingArena
BettingArena
4 years
Hili suala la YANGA kushinda kigoli kimojakimoja ni lakulijadili tuweke unazi pembeni
8
3
150
@BetingArena
BettingArena
3 years
Hivi ile kampeni ya kumtoa Dimond BET imefikia wap🤭🤭🤭🤭
17
3
141
@BetingArena
BettingArena
2 years
Weka notification on, Saa saba kamili mchana nasgusha ODDS 5 ✊️✊️
12
11
152
@BetingArena
BettingArena
11 months
Kwa yeyote mwenye uwezo wa kusaidia hili, mwanetu NGASA aweze patiwa matibabu ya haraka... mungu awabariki sana...🙏🤝
Tweet media one
8
65
143
@BetingArena
BettingArena
4 years
Unaifananisha 1M na fito hii Yenye kisigino kama lungu la @kipepe123
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
29
2
139
@BetingArena
BettingArena
3 years
Screenshot tuone home wallpaper yako, yangu👇👇
Tweet media one
115
5
142
@BetingArena
BettingArena
11 months
Ni ngumu kuamini but hakuna namna, mchizi wetu NGASSA mungu akupatie UZIMA WA MILELE AMINA...🙏
Tweet media one
@BetingArena
BettingArena
11 months
Kwa yeyote mwenye uwezo wa kusaidia hili, mwanetu NGASA aweze patiwa matibabu ya haraka... mungu awabariki sana...🙏🤝
Tweet media one
8
65
143
37
19
146
@BetingArena
BettingArena
3 years
Hii ni kwa WANAUME na sio WAKIUME, Weka picha ya JASHO LAKO MIMI👇👇🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
26
6
141
@BetingArena
BettingArena
2 years
Saa saba kamili nashusha ODDS 4 Ambazi nina asilimia 90 (90%) tunakula pesa👊
8
14
148
@BetingArena
BettingArena
2 years
Baada ya kutupia ODDS 33+ Nipo naandaa ODDS 5 NAKUOMBA ANDAAA 20K jioni tupate 100k huku tukizisubiri ODDS 33+ ✊️ Usisahau Ku like Ku retweet Ili na followers wako wapate ✅️
6
22
148
@BetingArena
BettingArena
4 years
Nipo na shilingi 6000 Nataka kununua body spray Naomba kujua ipi itanifaa ya Kiume kwa bei hii🙏🙏🙏🙏
44
2
126
@BetingArena
BettingArena
4 years
Nyi ges ya rukwa inaweza hudumia dunia nzima kwa miaka ishirini😳😳😁😁😁😁😁😁😁
14
0
131
@BetingArena
BettingArena
3 years
Maana halisi ya black and white
Tweet media one
9
1
120
@BetingArena
BettingArena
3 years
Back tu SUA🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
20
5
128
@BetingArena
BettingArena
3 years
Kula vizuri, pumzisha mwili👊🏾
Tweet media one
25
4
129
@BetingArena
BettingArena
4 years
Najua zipo nyingi ila nipe sifa moja ya madereva wa magari Makubwa unayoijua wewe
Tweet media one
26
0
129
@BetingArena
BettingArena
2 years
Wakuu naona wana wanaulizia sana group la watsapp, vip tulijnde?
31
8
130
@BetingArena
BettingArena
2 years
Wale wa ODDS 5 AND LESS NYOOSHENI MINOKO JUUUU🙌
31
8
127
@BetingArena
BettingArena
2 years
Habari?! Rafiki🙏 Leo ndio ile siku MWANANGU (PRECIOUS) anenda kufanyiwa UPASUAJI mdogo wa TUMBO kuondoa uvimbe uliopo katika utumbo✊️ Maombi yenu ni ya muhimu sana MWANANGU ATIKE SALAMA KATIKA CHUMBA KILE🙏 Katika siku ya leo sitakua online mara kwa mara, ASANTENI🙏✊️
29
17
135
@BetingArena
BettingArena
3 years
Naiona biashara ya DAGAA Ikinawili huku biashara ya SABUNI ikidorora, usiniulize Kwa nn 😆😆😆😆😆😆😆😆😆
Tweet media one
23
0
123
@BetingArena
BettingArena
4 years
Ila wazee esther anayakata jaman sikuwahi kujua🤦‍♂️🤦‍♂️🤦‍♂️
17
4
121
@BetingArena
BettingArena
3 years
Chapa handle yako hapa tuipe followers kabla watu hawajaenda kazini
45
5
121
@BetingArena
BettingArena
4 years
Cavani ndani 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥📌
Tweet media one
7
1
122
@BetingArena
BettingArena
1 year
Hey!.. WanaSUASO leo wameanza mitihani yao ya UE BUT kijana wenu .. @Pochoo777 naanza rasmi mitihani yangu ya semista ya 6 mnamo JUMA TANO...... naamini katika maombi yenu......... hasa wanangu wa UWEKEZAJI.... ni ngumu kuwataja wote but maombi yenu ni MUHIMU MNO....🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Tweet media one
41
10
127
@BetingArena
BettingArena
3 years
VPN IS BACK🤣🤣🤣🤣
17
1
114
@BetingArena
BettingArena
1 year
Upo wap mdau Jux ft kwavo Kiba ft marioo
Tweet media one
Tweet media two
29
5
127
@BetingArena
BettingArena
4 years
Kati ya wachezaji bora kuwahi kutokea Barani afrika, je nani alikua bora sana Mimi:SAMUEL ETO'O FILS
Tweet media one
22
1
120
@BetingArena
BettingArena
4 years
Hawa wakina laizer wamempa nn mungu🤣🤣🤣
Tweet media one
11
7
124
@BetingArena
BettingArena
3 years
Swali ni moja tu UNATAKA FOLLOWERS? kama ndio Shusha handle hapa Retweet hii tweet Like hii tweet 👊👊
41
16
114
@BetingArena
BettingArena
3 years
Nini maana ya DNA
17
3
113
@BetingArena
BettingArena
1 year
Amini, usiamini kesho naenda kushinda 1M
20
14
126
@BetingArena
BettingArena
2 years
Presentation session🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tweet media one
16
1
126
@BetingArena
BettingArena
1 year
Mungi aendelee kutupigania japo kuna wana wanatukatisha TAMAA, leo nimejua kwa kiasi gani JAMII INATHAMINI MVHANGO WANGU🫡 Alow @AmanWillz njoo uchukue MAUA YAKO🫡✊️
Tweet media one
22
14
121
@BetingArena
BettingArena
3 years
11.2k account inauzwa Dm wazi
14
2
105
@BetingArena
BettingArena
4 years
Nataman kujua matokeo ya jimbo Alilokua analiongoza zitto na Professor jay
7
2
115
@BetingArena
BettingArena
3 years
Kuna kama ODDS 5.12 mnasemaje wana?
20
1
107
@BetingArena
BettingArena
3 years
Anaitwa Chid benz aka CHUMAAAAAA Nitajiae ngoma yake moja unayoikubali mpaka basii Mimi naikubali DAR STAND UP🔥🔥🔥
Tweet media one
22
9
112
@BetingArena
BettingArena
4 years
Ukiwakuta mitandaoni utasiki Wanaume wote ni mbwa na tena Wanaume hameni nyumbani
Tweet media one
19
0
112
@BetingArena
BettingArena
4 years
Unakuta lijamaa linaombwa pesa alafu halitumi ya kutolea unajua ni uboya sana huo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
3
2
107
@BetingArena
BettingArena
4 years
Mlio na wazazi(walio hai) wapendeni sana kwa maana hakuna mbadala wa mzazi, Tuliopoteza wazazi tuwaombee huko walipo tukiamini ya kwamba wapo salama na siku moja tutajumuika nao pamoja RIP Mama na Baba🙏🙏🙏🙏
8
8
115
@BetingArena
BettingArena
2 years
Wakati tukisubiri odds 5 hadi 10 Mkononi nina ODDS 24+ Naomba niwasogezee Unaweza Ku-edit Ku-achana nazo Ku- zibetia✊️
10
11
115
@BetingArena
BettingArena
4 years
Muda wa kazi💪💪💪
Tweet media one
16
1
105
@BetingArena
BettingArena
4 years
Road back to SUA🙏📌
Tweet media one
13
0
107
@BetingArena
BettingArena
4 years
Goodmorning Africa Goodmorning Tanzania Time to wakeup@✊
8
1
100
@BetingArena
BettingArena
4 years
Inaitwa SIGARA BWEGE we unaijua kwa jina gani?🤷‍♂️🤷‍♂️🤷‍♂️
Tweet media one
40
1
105
@BetingArena
BettingArena
4 years
Hawa jamaa ukiwaaangalia tu unacheka heshima kwao🙌🙌🙌😁
Tweet media one
8
1
108
@BetingArena
BettingArena
3 years
Tuongeze followers kidogo Kama vip chapa handle 👇👇👇👇👇👇👇👇👇
40
6
97
@BetingArena
BettingArena
3 years
Good morning twitter family👏
11
1
100
@BetingArena
BettingArena
3 years
Chapaaaaa handle
Tweet media one
32
4
99
@BetingArena
BettingArena
4 years
Nimekoma 😁😁😁🙌🙌🙌🙌🙌
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
11
1
104
@BetingArena
BettingArena
1 year
Samhani kwa nyote mliofata mikeka niliopost naona leo sio siku njema kwetu🫡
25
6
109
@BetingArena
BettingArena
2 years
Kuna ODDS 18+ kama mpo tayari kuzipokea MONIKO JUU✊
13
5
109
@BetingArena
BettingArena
2 years
Hatimae kijana katoka salama na tayari kashazinduka🙏✊️ Asanteni sana kwa maombi yenu, sina cha kuwalipa zaidi ya ODDS (JOKES). MBARIKIWE SANA🙏✊️
10
6
112
@BetingArena
BettingArena
4 years
Tatizo la kijana @Officialsantan8 liwe fundisho kwa sisi kama wanadamu Inaonekana tukipata followers hata Kusoma DM inakua kazi na yawezekana Kusoma za watu fulani na zingine huna Muda nazo,ukiangalia kijana alishawahi Zama DM lakini hakujibiwa, all in all kujiua sio suluhu 🙏🙏
18
2
102
@BetingArena
BettingArena
3 years
Muda ni sasa wa kuongeza followers Shusha hanlde yako hapa👇👇👇 Like Retweet
35
7
91
@BetingArena
BettingArena
4 years
Nikiwa kama msimamizi mkuu Wa kituo A nimeona ni namna gan Itakua vigum kuitoa Ccm madarakan. Kikubwa ni kwamba vijana wengi wanaoshinda wakipaza Sauti katika mitandao na vijiwe Kuhusu mabadiliko hawakupiga kura zao jana. Ijulikane katika hili Hakuna miujiza zaid ya kupiga kura.
15
7
107
@BetingArena
BettingArena
4 years
Pochoo mmoja na watoto wazuri wawili
Tweet media one
14
3
97
@BetingArena
BettingArena
3 years
Unaweza kuta nateska na vidada hapa duniani kumbe mke wangu Bado hajazaliwa🤣🤣🤣🤣🤣
7
2
99
@BetingArena
BettingArena
4 years
Muda wa kazi muwe na twitter njema kuhusu man u na liverfool ntawaona saa sita mchana asante🙏🙏🙏🙏🙏
4
2
102
@BetingArena
BettingArena
2 years
Time for PIG PRODUCTION✊️
Tweet media one
15
2
106
@BetingArena
BettingArena
4 years
Asante mungu nimefika salama. Morogoro standup
Tweet media one
10
0
98
@BetingArena
BettingArena
2 years
Wale mnao subiri zile ODDS 5 hadi 10 Wekeni notification on, saa saba kamili nitazipost💸🙏✊️
10
10
104
@BetingArena
BettingArena
2 years
Natafuta 500k So inabidi 5ODDS zihusike ama nini?
18
6
101
@BetingArena
BettingArena
4 years
Hivi kuna supu tamu zaidi ya supu ya kichwa cha mbuzi😜
6
3
99
@BetingArena
BettingArena
4 years
Moja ya sababu naichukia gym ya Kibongo😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Tweet media one
21
0
90
@BetingArena
BettingArena
3 years
Hivi lipi parody bora kuwahi kutokea
11
2
93
@BetingArena
BettingArena
3 years
Sio kila wakiume ni MWANAUME
11
1
89