Ukiomba Baraka ikachelewa omba Uvumilivu,Ukiipata shukuru na uitumie kwa Busara na Hekima,Linda Majivuno Mpe Mungu Utukufu kwani ndiye anaye Bariki na Kuinua.
Chagua series 1 kali ya Muda Wote mpaka sasa kati ya Hizi...😀👇
1.The breaking Bads.
2.24 Hours.
3. Sex/Life Education.
4. Money Heist.
6.Squid Games.
6. Game of Thrones.
7. Prison Breaker.
Ukiwa kama kijana unaetafuta bado, jitahidi na jifunze kuwa muaminifu pale unapo aminiwa kwenye jambo lolote na sehemu yeyote na mtu yeyote,hiyo ndio nguzo kuu ya kwanza ya mafanikio yako.
Katika Kila familia kuna mtu mmoja ambaye hapaswi kuumwa wala kuishiwa kabisa, japo ni sehemu ya maisha, muombee kwa Mungu na umtie nguvu sana mtu huyo.
Wazazi wanapaswa kutoa elimu kwa binti zao kuhusiana na vishawishi mbalimbali Wanavyokumbana navyo pamoja na madhara yake na jinsi ya kuviepuka ili waweze kutimiza malengo yao katika masomo na kuishi katika ndoto zao bila kusahau hamasa ya hali halisi ya maisha ukiwa na elimu.
Tafakari na Shinda Zawadi
⏺️Angalia kwa makini mchoro huu
⏺️Baada ya kutafakari andika ujumbe unaoendana na mada pichani usiozidi jumla ya herufi 280
⏺️ Washindi watatu watapata zawadi ya vocha za simu zenye thamani ya Tsh.10,000 Jumatano 30 Juni 2021.
#OndoaVikwazoAsome
Wakati mwingine furaha haimaanishi kila kitu upande wako kimekamilika, wakati mwingine umaanisha umeamua kuangalia mbele zaidi ya kutokukamilika kwako.
Kama kupambana ni kipaumbele chako usiwakatishe wanaosoma na Kama kusoma ni kipaumbele chako usiwakatishe wanaopambana,Mtaa ni funzo na kusoma ni funzo,Lengo ni sote kufanikiwa.