Benson Rayson Profile Banner
Benson Rayson Profile
Benson Rayson

@BensonRusizi_

Followers
36,526
Following
739
Media
0
Statuses
92,578

Researcher & Economist.

United Republic of Tanzania
Joined December 2018
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@BensonRusizi_
Benson Rayson
4 days
Wakati mwingine jifunze na penda kutembea kwenye mvua kwasababu hakuna hata mmoja atakae ona maumivu na machozi yako.
0
2
10
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Hakuna Neno la kiswahili lenye herufi tatu zaidi ya "YAI" kama lipo litaje... 👇
346
58
777
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Jina gani zuri la kumsave mchepuko ili mpenzi wako asijue...?
163
43
676
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
App gani nzuri ya kumtrack mpenzi wako ujue kama anakucheat msaada please.. 💔😭
171
45
655
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Cheti Cha kifo kina msaada gani kwa Marehemu..?
89
19
577
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanaume mwenye lengo la kumchezea Mwanamke huwa anamjali Sana kuliko Mwanaume anaye mpenda huyo Mwanamke.
37
56
573
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke akikuomba hela au kukuelezea matatizo yake usimuone mdangaji bali amekuheshimu na kukuamini.
63
66
548
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Dalili nyingine ya umasikini ni kugeuza nguo wakati wa kuanika.
40
41
559
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Hivi yule "Mabala The Farmer" alikuwa analima mashamba ya wapi vile...? 🤔
64
56
544
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ukiomba Baraka ikachelewa omba Uvumilivu,Ukiipata shukuru na uitumie kwa Busara na Hekima,Linda Majivuno Mpe Mungu Utukufu kwani ndiye anaye Bariki na Kuinua.
32
89
531
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Cheti cha kifo kina msaada gani kwa Marehemu..? 🤔
86
31
523
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke ambaye hajawahi kusex anaitwa "Bikra" Mwanaume ataitwa nani.?
175
22
511
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke mnyenyekevu ni pumziko la kudumu kwa Mwanaume mpambanaji.
35
82
514
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanaume akiwa hajaoa anaitwa Bachelor, je Mwanamke anaitwaje..? 😀
155
41
496
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanaume epuka kuzaa na Mwanamke ambaye hauna Malengo ya Kumuoa/Kuishi nae.
33
47
504
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kufanya sex Kwa kutumia condom ni dhahiri kuwa unayefanya naye sio mtu sahihi au haumpendi.😎
67
26
491
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Nguvu ya Mwanaume ya kupambana ipo nyuma ya Mwanamke asiyekata tamaa.
22
62
498
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Tajiri akiumwa masikini atalipa hela kwenda kumuona/kumjulia hali,Masikini akiumwa atasubiri apone na kwenda kumwambia Tajiri kuwa alikua anaumwa.
34
67
493
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Dereve wa treni wanajifunziaga wapi..🤔,maana hakuna driving school zao.😀
73
29
498
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Muheshimu sana Mwanamke anaye thamini Attention yako kuliko pesa zako ni wachache sana duniani.
30
52
495
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ukiwa single afu rafiki yako akawa anaongea na simu na mpenzi wake mara kwa mara unajiona kama yatima.. 💔😭
55
54
482
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ukitaka kuona meseji za mpenzi wako, Chukua simu yake ingia whatsApp piga QR code, utakua unaona kila SMS yake😀
60
37
464
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kutumia kondomu ni ishara kuwa unafanya Sex na mtu ambaye sio sahihi.
73
52
452
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Hivi yule "Hawa the Bus driver" alikuwa anaendesha mabasi ya kwenda wapi.. 🤔
86
43
436
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Chagua series 1 kali ya Muda Wote mpaka sasa kati ya Hizi...😀👇 1.The breaking Bads. 2.24 Hours. 3. Sex/Life Education. 4. Money Heist. 6.Squid Games. 6. Game of Thrones. 7. Prison Breaker.
208
61
439
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Why wadada wengi wa kizanzibar wana "Bikra" je, wabara wanakwama wapi..🤔
83
34
419
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Bob Marley aliimba nyimbo nyingi za Amani,Upendo na Umoja cha kusikitisha vijana wengi wanamjua kwa Uvutaji Bangi tu.
27
55
417
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kaka ukipata mwanamke anayekupenda na yatima usimchezee maana wewe ndio tegemezi lake kama Baba mzazi uliyebaki.
57
56
430
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Hakuna Mwanaume anayependa Mwanamke mwenye kelele"Chunga kinywa chako na uwe na mipaka katika maongezi".
41
72
434
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Uongo unapunguza upendo katika mahusiano ila ukweli unakufanya uachwe kabisa.
37
59
414
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Unaandika Uko Single Kwenye CV ila unaenda na Mimba Kwenye Interview..!!!
46
46
400
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Dalili nyingine ya umasikini ni kukaa kimya kwenye vikao vya michango.😀
29
32
386
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ili ufanikiwe, inabidi hamu yako ya kufanikiwa iwe kubwa kuliko hofu yako ya kushindwa.
43
83
376
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ili ufanikiwe kwenye maisha fanya kazi na wanawake na kama unataka kufeli kimaisha endekeza wanawake.
50
76
369
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke usikubali kufanya sex na mwanaume kabla ya ndoa maana ule uji wake una beba mikosi na roho chafu katika maisha.
85
30
358
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Funguo inayo fungua kila kufuli ina thamani sana,kuliko kufuli inayofunguliwa na Kila funguo.
33
62
389
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Unaweza kula kiapo Cha Damu na Mpenzi wako?
74
30
368
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Funga Ndoa na Mtu ataye kufanya umpende Mungu kila Siku.
29
50
365
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Usimdharau Mtu kisa anakupenda na kukujali,Siku moja utagundua umepoteza mwezi kwa kuhesabu Nyota.
42
70
378
@BensonRusizi_
Benson Rayson
2 years
Kuna baadhi ya watu hawastahili Kuwa kwenye maisha yako, haijalishi unawahitaji kiasi gani. Stay Alone.
15
50
380
@BensonRusizi_
Benson Rayson
2 years
Ukiwa kama kijana unaetafuta bado, jitahidi na jifunze kuwa muaminifu pale unapo aminiwa kwenye jambo lolote na sehemu yeyote na mtu yeyote,hiyo ndio nguzo kuu ya kwanza ya mafanikio yako.
22
85
383
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kitu gani ulicho ingia nacho form 1 na ukatoka nacho form 4..? 😂
92
29
352
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke kujua anataka nini ni rahisi sana,Muheshimu,mjali,mtii,mlinde, mthamini,msikilize,muamini na umpe PESA.
60
52
359
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kaka ogopa sana wale wadada ambao hawatoi kelele/miguno wakati wa SEX... 🏃🙌
49
43
352
@BensonRusizi_
Benson Rayson
2 years
Katika Kila familia kuna mtu mmoja ambaye hapaswi kuumwa wala kuishiwa kabisa, japo ni sehemu ya maisha, muombee kwa Mungu na umtie nguvu sana mtu huyo.
8
36
377
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Usijenge urafiki na starehe wakati shida ni rafiki yako.
32
56
353
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ukiachana na "Hello" uwa unapokeaje simu..?
137
32
340
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kuwapunguza baadhi ya watu kwenye maisha yako haimaanishi unawachukia bali unajiheshumu wewe mwenyewe.
28
50
351
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Wanawake wana kiu ya Ndoa kuliko Uvumilivu.
25
39
351
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Wadada mkigundua Uke wenu umelegea uwa mnachukua hatua gani kuurudisha katika hali ya mwanzo..?
41
30
335
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kupambana tunapambana sana lakini ukweli ni kwamba Kila mtu amepangiwa wakati wake wa kufanikiwa.
33
49
348
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Tafuta Kwanza nafasi,ukiipata nafasi onyesha uwezo,uwezo utakujengea jina na jina litakuletea kipato na mafanikio.
21
53
358
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Jifunze kumshukuru Mungu katika kila hatua unayopiga katika Maisha yako.
32
44
350
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Nilianza na Pumzi sasa namiliki kiwanda cha Gas.. 😂
38
44
325
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Nyuma ya Kila mtu aliyefanikiwa Kuna miaka mingi ya kutofanikiwa.
24
49
338
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanaume hakuna Mwanamke atakaye kupenda kwa dhati kama hautomdanganya.
30
34
329
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mama Yako ndio mtu pekee anayeweza kumuangalia Mpenzi wako na kukwambia mtaachana au mtadumu.
36
42
347
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
ili ufanikiwe jenga urafiki na Mwanamke,ili ufirisike Muamini na kumsiliza Mwanamke.
18
43
343
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Usifurahishwe na anguko la mwenzako hakuna aliyekamilika kama hauwezi mnyenyua basi muombee.
26
50
339
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Tanzania ndio nchi pekee ukimuomba namba Mwanamke anakunyima na ukimkaushia anajiona anamikosi.
29
35
329
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kuachana ni sawa,Kuanza upya ni sawa,kuondoka ni sawa,kuwa peke yako nisawa,ambacho siyo sawa ni kukaa ambapo hauthaminiwi na kujaliwa.
28
55
343
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke anapenda Mwanaume anayemjali ila ukimjali sana atakuona Mjinga na Mpumbavu.
48
51
332
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke anajivunia kuwa na "Bikra" je Mwanaume anajivunia kuwa na nini..? 🤦
82
47
319
@BensonRusizi_
Benson Rayson
2 years
Maisha ni uvumilivu na kila kitu kinatokea kwasababu. sali sana na muombe Mungu wakati wako utafika.
14
39
337
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Wazazi wanapaswa kutoa elimu kwa binti zao kuhusiana na vishawishi mbalimbali Wanavyokumbana navyo pamoja na madhara yake na jinsi ya kuviepuka ili waweze kutimiza malengo yao katika masomo na kuishi katika ndoto zao bila kusahau hamasa ya hali halisi ya maisha ukiwa na elimu.
@HakiElimu
HakiElimu
3 years
Tafakari na Shinda Zawadi ⏺️Angalia kwa makini mchoro huu ⏺️Baada ya kutafakari andika ujumbe unaoendana na mada pichani usiozidi jumla ya herufi 280 ⏺️ Washindi watatu watapata zawadi ya vocha za simu zenye thamani ya Tsh.10,000 Jumatano 30 Juni 2021. #OndoaVikwazoAsome
Tweet media one
47
21
125
13
99
314
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
China ina vitu feki,USA ina teknolojia, Japan ina Meli,Russia ina mbinu za kijeshi ,Je Tanzania ina nini..? 😀
139
27
322
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ukipewa 1m usile mchana utakubali...???
64
36
320
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ukiwa hauna mpenzi unaitwa single,je ukiwa naye unaitwa nani...?
94
25
316
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Status mnapost mahandsome lakini mkiwa na shida mnatutafuta sisi..😣🚮
50
55
318
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ili Mwanamke akupende usimuadhibu kwa maneno ila muadhibu kwa ukimya,atakuheshimu na kukuwaza Sana.
18
46
324
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanaume hampi mipango ya maendeleo Mwanamke mzuri ila anampa mipango ya maendeleo Mwanamke mwenye akili.
25
49
320
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Usimwambie kila mtu kila kitu unaweza kuwa unamfundisha adui mbinu za kukuteketeza.
17
40
321
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Tukiwambia tumetokea Maisha magumu wanasema wametokea Maisha magumu zaidi yetu,wakidhania ugumu ni furaha na mashindano.
15
39
314
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kuna umri ukifika lazima tu utakuwa na hela iwe kwa hiyali yako au kulazimiswa.
17
18
327
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kati ya Wewe na Baba yako nani ana mwanamke mzuri/mrembo... 🤔
58
38
314
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ukiridhika nae Kila siku utaona sifa mpya ambazo wengine hawana,usiporidhika nae kila siku utaona wengine wenye sifa ambazo yeye hana.
16
45
323
@BensonRusizi_
Benson Rayson
2 years
Kamwe usishindane na mtu yeyote yule, jitahidi kushindana na wewe jinsi ulivyokua jana yako.
3
43
319
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Urembo wa kweli kwa Mwanamke uhakisiwa kupitia nafsi yake,aibu yake,ukarimu wake na utii wake kwa Mwanaume.
15
39
314
@BensonRusizi_
Benson Rayson
2 years
Wakati mwingine furaha haimaanishi kila kitu upande wako kimekamilika, wakati mwingine umaanisha umeamua kuangalia mbele zaidi ya kutokukamilika kwako.
7
43
325
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Wakati mwingine wakituambia"mambo vipi"tunajibu Safi tu,Maana hata tukiwaambia mbaya hawana habari na sisi.
28
54
310
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Unaweza kufanya "Slave Sex" na mpenzi ambaye unamalengo naye ya maisha.. 🤔
47
36
302
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kuna Dada anareply kila tweet yangu nafikiri it's time to shoot my shoter mniombee.😂
43
39
298
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Wapo waliotukimbia kisa madhaifu yetu, wakaja walio tupenda tukiwa na madhaifu yetu.
40
68
305
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Maisha ni kama chumba cha mtihani usitishike na anayewahi kutoka fanya kwa wakati wako na utatoka kwa wakati wako.
20
65
301
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Unaweza kuwasamehe baadhi ya Watu bila kuwakaribisha tena kwenye Maisha,
13
39
311
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Usitoe ahadi ambayo hauwezi kuitimiza/kuitekeleza unaweza poteza watu wa muhimu waliokuwa wanakuamini.
24
52
297
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kwanini hakunaga Mke wa rahisi anayeonekana na mimba!?
32
15
302
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Doggystyle gizani ni hatati sana wadau.
47
28
292
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
"Babe nizalie siwezi shindwa kulea" ni uongo mkubwa Sana kwenye mahusiano.
22
19
297
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Usiamini sana,Usipende sana,Usitumaini sana na Usitegemee Sana kwasababu Sana inaweza kukuumiza Sana.
9
43
305
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
"Leaving Certificates" unaweza kuombea kazi gani wadau..? 😀
47
31
283
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Tafuta hela uwe unapikia maharage kwenye jiko la Gas .. 😂
36
41
300
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Sumu sio gharama, muheshimu sana mwanamke anayekupikia chakula.
32
46
292
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Kama kupambana ni kipaumbele chako usiwakatishe wanaosoma na Kama kusoma ni kipaumbele chako usiwakatishe wanaopambana,Mtaa ni funzo na kusoma ni funzo,Lengo ni sote kufanikiwa.
34
52
293
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanaume anapenda awe mpenzi wa kwanza kwa Mwanamke na Mwanamke anapenda awe mpenzi wa Mwisho kwa Mwanaume.
45
52
290
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Mwanamke Mrembo ni yule Mwenye hekima na kinywa chake.
31
45
288
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Naombeni mnionyeshe kwenye biblia palipoandikwa Adam na Hawa walikula launch.. 😣
41
27
278
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Girl akifosiwa sex na boy tunasema "Amebakwa" je Boy akifosiwa sex na Girl tunasemaje...?
70
28
275
@BensonRusizi_
Benson Rayson
3 years
Ndugu watakuchukia kwakutowapa pesa,pesa ambazo huna ila wanazo kwenye fikra zao.
12
40
295