Unampa mwanaume mara moja tu alafu anaanza madharau na kukuacha aisee . Unawaza au wewe sio mtamu au umekosea wapi. Kumbe ni umalaya wake tu inauma 😥😥😥
Ku screenshot Meseji Dm ,kutoa video na picha za uchi mlizotumiana Dm na kupost kwa sababu ya kutofautiana na mtu ni busara au ushamba wa kupitiliza ??
NATAMANI KIFO
NATAMANI NIPUMZIKE
""Badala ya mimba alinipa maumivu yakudumu moyoni na kuutoa usichana wangu kulipa kisasi cha ugomvi wa wazazi wetu." 😥😥 namwogopa mwanaume kuliko simba
Nimechoka sana 😭
Nachukia maisha yangu, nitaandika kesho ukweli huu **