Dazzy Elly Profile
Dazzy Elly

@AsajileDaniel

Followers
1,866
Following
3,808
Media
4
Statuses
63,188

Hustling is my favorite game.

Mbeya, Tanzania
Joined December 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Kwenye haya maisha,rasilimali ya kwanza ni watu. Ukiishi vizuri na watu inasaidia kwenye mambo mengi sana. Watu tunatofautiana,ishi nao kwa akili tu. Blessed sunday friends. Gm.
29
25
71
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Kinachotusumbua Tanzania ni ubinafsi na roho ya kukosa huruma,hivyo vitu huanzia nyumbani. Watoto wakikosa upendo nyumbani wakiwa watoto madhara yake ndio hayo wakiwa wakubwa na wakipata uongozi. Ukosefu wa upendo ni janga la vizazi vingi,tokomeza chuki,weka malezi bora. Gm fam.
32
19
65
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Kula vizuri na kupumzika vizuri hakutoshi kulinda afya yako.Afya ya mtu hutegemea zaidi amani yake ya moyo na utulivu wa kichwa chake. Epuka watu toxic,epuka mazingira hatarishi.Unaweza ukajiona unaweza kuvumilia lkn madhara huja kuonekana baadae sana,Tujilinde. Gm God's people
26
23
58
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
5 months
Kwa sasa bidhaa adimu kitaa ni uaminifu. Watu hawajali chochote saizi,ni hatari sana.
5
16
60
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Kwenye vitabu vya dini shetani ni kiumbe kinachotisha kwa matendo na muonekano pia,kiuhalisia mashetani yanaishi miongoni mwetu kbs. Mtu timamu kbs hawezi fanya ukatili kisa kupishana mitizamo. Inasikitisha sana na yunajivunia amani. Hatupo salama kbs. May God bless us. GM.
28
24
57
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Uaminifu umekua bidhaa adimu saizi. Ukipata mtu muaminifu,mpe heshima yake mana hiyo ni lulu,hazipatikani hovyo huku kitaa. Maisha yamevuruga mfumo wa akili za watu,mpaka wake za watu siku hizi wanaziuza hadharani tu. Wanaume tutafute hela,wengi wanasukumwa na shida. GM fam.
24
22
54
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
26 days
Vita ngumu ya mwanaume na ambayo ni ngumu kuishinda pia,ni vita ya matamanio. Ukishinda hiyo basi umeshinda vita ya uchumi na afya njema. Good morning fam. May God bless our sunday.
30
26
56
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
5 months
Maisha ni yako,unaruhusiwa kuchagua chochote kinachokupa furaha na amani. Maoni ya watu si kitu kwako. Ishi uonavyo sawa. Kisichokudhuru ni halali yako.
3
17
50
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Kitu kinachoumiza zaidi ni pale ambapo unanaumizwa na mambo ambayo huna uwezo wa kuyakabili zaidi ya kuumia tu. Mara nyingi tunaumizwa na maamuzi ya serikali ila huwa hatuna uwezo wa kupinga wala kukimbia matatizo. Blessed day to us all.
15
23
43
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
15 days
Unaamua kuchunguza simu ya mwenzi wako. Mbinu nzuri nenda kasome chatting za yule rafiki yake sana,mule ndio mna kila kitu,sasa wewe unahangaika kutafuta mhusika moja kwa moja,ila kanuni ni ile ile,usimchunguze usiyetaka kumuacha. Jidai kipofu tu. Good morning fam.
29
22
53
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Maisha hayana kanuni wala sheria,unaweza ukafanya anachofanya mwenzio yeye akafanikiwa halafu wewe ukafeli. Chagua njia yako unayoimudu vizuri upambane nayo utatoboa. Blessed day to us all.
19
14
46
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Hata kama kitu ni kizuri kiasi gani,kama kinakunyima furaha achana nacho. Furaha ni gharama kubwa,haihusiani na uzuri wa kitu wala mtu bali kujaza amani moyoni. Good morning my friends.
21
17
46
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Kuna ule mtindo wa kupangiana maisha,mara simu fulani za wamama,mara gari fulani vile. Mnawapa wakati mgumu wenye akili nyepesi na mnafanya promo bila malipo. Kila mtu aishi maisha yake kwa uwezo wake. Maisha ni viwango na vipaumbele. Good morning fam. Have a nice day ahead.
25
24
49
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Ni mara chache sana hutokea kupata rafiki wa utotoni mpk ukubwami. Kawaida marafiki huja na kwenda kulingana na umri na mazingira pia,ndoto tofauti na mafanikio tofauti. Usijisikie vibaya kupoteza mawasiliano na marafiki,ni kawaida kbs. Live your life. Good morning my friends.
21
24
49
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Wanaume nao ni wajanja sana,wanalewa na mademu bar lakini wanakuja kuoa wasioijua hata ladha ya pombe. Na cha ajabu wanawake wengi wanafundishwa pombe na wapenzi wao. Hiyo inaitwa akili kumkichwa. Dada hawaoi walevi, we ulewe na ye alewe,nani atalea watoto? Good morning fam.
25
17
48
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Ukiona huwaelewi watu fulani basi tambua hilo sio kundi lako,katafute kundi lako ili kulinda amani yako. Mvuta bangi anakushangaa we kwanini huvuti,na we unamshangaa kwanini anavuta? Ni ngumu kubadili watu bali ni rahisi kutafuta wale wanaoendana na we. Gm family.
19
19
44
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Ni vile tuna shida nyingi ila uchunguzi ni muhim sana kabla hujajiweka sehem yoyote. Unapata kazi sehem ambayo utakaa miaka mingi,ni muhim kuchunguza mazingira na watu,hivyo ni vitu vitavyokuathiri moja kwa moja iwe hasi au kiuchanya.Umasikini mbaya sana,hautupi options. GM fam
34
18
47
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
13 days
Kuna kaswali kadogo ila ni muhim sana kwenye mahusiano,pale mwanzoni ni muhim kumuuliza mtu kitu gani huwa anatamani kufanya kwenye mapenzi. Wapo hutamani kufanya vitu vya ajabu ambavyo ungejua mapema usingekua nae or otherwise. Uliza ujue uelekeo wako. Good morning fam.
34
20
48
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Ni vile tu nyakati hizi kila kitu kinataka pesa ila kitu cha kwanza cha thamani cha kumpa umpendae ni muda wako,muda ukishatumika huwezi kuurudisha, mnakua mmetengeneza kumbukumbu tu. Hustle hard but don't forget your loved ones. Good morning fam. Blessed new week to us all.
26
26
47
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
5 months
Kuna watu wanaongeza thamani yako ukiwa nao,na kuna watu wanakuharibu kbs ukiwa nao. Chagua kwa umakini,hatuishi mara mbili.
7
13
42
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Epuka maisha ya kufuata mkumbo,simamia imani yako sahihi. Hasa mwanaume,kinachokutambulisha ni msimamo wako katika masuala yanayokuhusu. Kumbuka we ni kichwa na kiongozi,utaongoza vipi familia yako wakati wewe mwenyewe huwezi jiongoza? Kila kitu kina gharama yake. Jielewe Gm fam
15
18
45
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Imagine unapata mtu ambaye anakufanya uamini katika wewe mwenyewe,anakuonesha ubora ulio ndani yako. That's more than a blessing. Hasa wanaume,tunahitaji sana watu wa kututia nguvu na kutufanya tusikate tamaa. Inapunguza maumivu ya kazi ngumu tunazofanya. Good morning friends.
33
18
43
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Kuna mitihani mingine Mungu anakupa ili uthibitishie wengine kuwa hili linawezekana pia,mara nyingi vizingiti vikitumika vizuri hukurusha mbele kiatua,muhim ni kupambana na kutokata tamaa,Mungu yupo pamoja nasi kila wakati. Good morning my friends.
25
21
43
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
16 days
Dunia imebadilika sasa hivi. Kuna dada anasema yeye hawezi olewa na kuna mwingine yeye anasema hawezi kuzaa. Na kwa wanaume ipo hivyo,kuna mtu hajapanga kuoa kabisa. Sasa ifike muda tuache maswali ya ajabu,kwamba oooh utaoa/utaolewa/utazaa lini? Kila mtu na mtazamo wake. Gm fam.
33
18
45
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Ukitaka kufanikiwa bila shida kubwa basi katafutie maisha mbali na kwenu. Chuki na uadui hutoka kwa watu wanaokujua vzr,asiyekujua hawezi kukuchukia kisa mafanikio yako. Good morning friends
19
17
41
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Ukiachwa/mkiachana,watu hupenda kusema ntapata bora zaidi yako. Kinyume chake wengi huharibikiwa baada ya pale kisa desperation,unatamani kuziba pengo haraka,unaangukia takataka,mpk uje upate mtu bora ushaburuzwa vya kutosha. Keep calm, good things takes time. Good morning fam.
28
20
40
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
29 days
Kitaa upendo umekua adimu sana,inafika sehemu ukimjali mtu kidogo anahisi unampenda. Kuna tofauti kubwa kati ya kumjali mtu na kumpenda, ni kweli anayekupenda lazima akujali ila sio lazima kila anayekujali awe anakupenda. Ni uamuzi wako sasa,maisha ni yako. Good morning fam.
25
17
43
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Acha kuonea wivu watu. Acha kuwachukia watu bila sababu. Hao watu unaoona wamekuzidi,ukipata nafasi ya kukaa karibu nao utagundua nao wana vitu vinavyowatesa sana tu. Usipoteze muda kuwawazia wengine wakati yako yapo na hujayatatua.Tuombeane wepesi tu,kila mtu ana yake. Gm fam.
22
12
37
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Mwanaume huwa anapata wakati mgumu sana anapojua kuwa mwanamke aliye nae ana ubora sana na anastahili kuwa na mtu bora zaidi kuliko yeye. If she deserves better,be the better person,if you can't then let her go. Chose wise. Good morning my friends.
27
21
42
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
5 months
Binadamu anaweza akakuchukia mpk kufikia hatua ya kukuroga kisa tu unapambana na unafanikiwa kwenye maisha yako,inashangaza ila ndio uhalisia ulivyo. Uadui mwingine haiji kwa kuchokoza watu,huja na mafanikio yako. Put your faith on God.
11
15
35
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
17 days
Kuna political games zinachezwa hapa,watu wanafanya kuonesha udhaifu wa mkuu wa kaya,mwisho wa siku wananchi ndio wahanga namba moja. Tuko kwenye kipindi kigumu sana. Kitaa mambo yamesimama kbs. Mungu atupe nguvu ya kuvuka hapa. Good morning fam.
25
14
42
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Kuna umuhim wa kujitathmini na kuangalia nyendo na matendo yako,sio lazima ukosolewe au usifiwe na watu. Mtu wa kwanza ni we mwenyewe na halmashauri ya kichwa chako,wengine ni ziada tu. Mungu katupa uwezo wa kujiongoza wenyewe. Good morning friends.
22
18
38
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Hawa wazazi vijana wanachangia sana kuwaweka watoto wao ktk hali hatarishi.Mzazi anaanza mvalisha mtoto vinguo vya ajabu ajabu ety kisa fashion. Kuna shida gani kumsitiri mwanao? Unakaribisha matamanio mapema na huna uwezo wa kumlinda. Kuzaa ni rahisi ila malezi ni magumu mno Gm
22
22
42
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Kuna kitu kinaitwa "self doubt",kimetukwamisha watu wengi sana. Mungu alisema ameumba kila kitu tukitawale,ndoto ni yako je unashindwa nini kuitawala na kuifanya iwe kitu halisi? Jiamini kuwa unaweza,we ni zaidi ya ujionavyo. Kuna nguvu ndani yako ambayo bado hujaitumia. GM fam.
17
13
38
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Kukosoa siku zote huwa ni rahisi kuliko kufanya. Huwa wanakosoa hata wale wasioweza kufanya unachofanya. Maisha ni yako na upatacho ni chako,hakiwahusu wengine,ukiona unafanya sawa basi endelea kufanya,binadamu hawajawahi ishiwa maneno. Good always bless the hustlers. GM.
17
16
35
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
If you don't fit in someone's life,don't force it. There is always a place for you somewhere,a place which you will feel like home. Everybody deserve love. Good morning my friends.
22
11
36
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Careful who you love. You create your world,you make what it exists. You control the variables,who to come,who to go and who to stay. Furaha inatafutwa,ni shida tu ndio huja zenyewe,Linda furaha yako kwa nguvu zote.Asiyefaa kwenye mfumo wako mweke kando.Ishi utakavyo in a +ve way
12
15
36
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
14 days
Usimtumie mtu kumsahau mtu mwingine. Na wengi ndio huwa tunafanya hivyo,tunashindwa kuhimili maumivu tunatafuta msaada wa kukupitisha kipindi husika,ni ubinafsi mana huyo unaemtumia nae ana moyo kama we. Tuombe Mungu atukutanishe na watu sahihi. Mambo ni mengi. Good morning fam
28
22
42
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Shida zikizidi basi watu huanza kuongea lugha moja. Maisha yamekua magumu sana kitaa,naona taratibu tunaanza kuelewana. May God bless your weekend. Gm family.
20
9
37
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Maisha yamekaa hivyo,kuhangaikia kitu toka unapozaliwa na matumaini ndio huwa yanatupa moyo wa kuendelea mbele. Ukikata tu tamaa na mchezo ndio umeishia hapo. Hata kwenye uchumi hatua ni zile zile,kama hukukata tamaa kujifunza kutembea basi na huku ni kupambana tu. GM buddy.
16
13
37
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
10 days
Mtoto anayefeli shule ndio anaenda kuwa askari,mwanajeshi, waalimu na manesi. Yani sekta nyeti ndio zinataka watu waliofanya vibaya shule? Akili ndogo iongoze kubwa. Matokeo yake nadhani wote tunayaona. Kuna umuhim wa mabadiliko ili kwenda uelekeo sahihi. Good morning fam.
31
17
41
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Anayekujali bila sababu na kukupenda bila matarajio. Huyo ndio mwenye moyo wa kipekee kwako,huwezi jutia kuwa nae kamwe. May we have a wonderful day. Gm fam.
22
17
39
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
18 days
Tatizo la saikolojia katika nchi yetu linakua kubwa siku baada ya siku,na hatuoni umuhim wa kuwa na wataalamu wa kuwasaidia watu hata kama madhara yanaonekana moja kwa moja. Ni muhim kuwa na mtu sahihi wa kumueleza magumu unayopitia,kuongea ni dawa. Good morning fam. Nice week.
18
11
39
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Maisha ni malengo na mipango. Vitu hivi vikifeli,wengi huvirekebisha kufikia uwezo wao badala ya kurekebisha hatua/mbinu za kufikia hiyo mipango na malengo waliyojiwekea. The bigger the plans,the higher the commitment. Dream big. Good morning my friends.
18
15
35
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
22 days
Uzuri Mungu alituficha mawazo ya watu wengine, unaweza ukawa unaishi na mtu wa mtu mwingine bila kujua na ukawa na amani kbs. Moyo wa mtu ni kichaka,na ni afya kutojua zaidi kuhusu mwenza wako ili ulinde furaha yako na afya yako pia. Good morning my friends. Enjoy your day.
20
14
38
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Mafaniko yana mambo mengi sana. Unaweza ukajituma na bado usitoboe. Wengi waliofanikiwa wanadhihaki mno watu ambao bado wanajitafuta,Mungu humbariki kila anayejituma kwa wakati wake. As long as we are still breathing, we got another chance to change our lives. Good morning fan.
18
11
38
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Enjoy while it lasts. Mtu akikufaa maishani mwako basi jitahidi kumpa thamani yake na umuweke wazi ili ajue thamani yake kwako, inasaidia kwenye afya ya akili na afya ya uhusiano wenu pia. Mwenye akili hulinda vitu vyake vya thamani. GM.
22
16
34
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Kuna tofauti kubwa kati ya kuwa mwema na kujifanya mwema. Mmoja ni asili yake, mwingine anaigiza maisha,yani unafiki unahusika. Kuwa makini na watu wako wa karibu. Good morning fam. Enjoy your day.
22
21
37
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
6 months
Uhalisia wa maisha umetufundisha kuwa undugu unajengwa,akufaae ndio ndugu yako. Damu ishapoteza maana siku hizi. Tunaishi vizuri na watu baki kuliko ndugu wa damu.
4
18
36
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
5 months
Ukianza kuona mambo uliyozoea kuyafaya yanaonekana ni ujinga,ujue ndio unakua hivyo. Ukubwa huwa haupigi hodi,Bali huja ukiambatana na majukumu yake. Utu uzima hupimwa kwa kuyakabili majukumu yako. Mola awe nasi katika mapambano yetu ya kila siku.
6
14
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
28 days
Malezi ni kitu cha ajabu sana na ndio maana watu husema maisha ni fumbo. Mtoto anaweza akalelewa kwenye mazingira mazuri na malezi bora,akaja kuwa na tabia chafu balaa. Na kuna mwingine akapata malezi mabovu,akaja kuwa bonge la mtu. Usidharau watu,hawatabiriki kabisa. Gm fam.
22
12
37
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Tushazoea kuishi katika unafiki kiasi kwamba muongea ukweli anachukiwa. Kuambiwa ukweli ni msaada na upendo,sio uadui. Dawa ya kidonda ni chungu ila ndio inaponya hivyo. Good morning fam.
25
20
36
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
12 days
Watoto wa 2000 wanasemwa sana hasa kwa tabia zao za ajabu,mi naomba kutofautiana kdg. Hiyo ni product,ina maana kuna kizazi(1980s) kimeharibu hicho kizazi hicho. Mfano 1 tu unaanzaje kumruhusu binti akili haijakomaa ajipangie na hana kipato chochote? Tafakari Good morning fam.
27
9
38
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Success is the chain reaction,it takes strength (body and mind) to secure the links. It takes discipline to keep the links otherwise all you have worked out will be in vein. Good morning my friends.
18
16
32
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Uzuri ni kuwa asilimia kubwa ya wanawake, ukimhudumia vizuri na ukaonesha unampenda huwa wanatulia tuli. Waliumbwa kuridhika hao. Ukiona wako hatulii basi ujue hilo ni paka pori,huwezi lifuga hata ulipe chakula gani,achana nalo litakuua. Good morning fam. Enjoy the weekend.
22
16
36
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
9 days
Mapenzi yanaweza kukuuzia furaha kuu ukahisi dunia yote yako au mapenzi yanaweza kukuuzia ukichaa ukaichukia dunia nzima. Hilo sio suala la umakini au weledi wa mtu,ni bahati tu. Kote yahitajika utulivu wa akili. Tunza bahati yako au ukimbie ukichaa. Good morning my friends.
22
18
39
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
27 days
No matter how much you think you love somebody, don't go all the way in. Leave your way out. People takes pure love as a weakness instead of strength, limit yourself on how far you can go. Self-love first,others gonna follow. You are worth it, you deserve happiness. Gm fam.
26
14
36
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
11 days
Kila mmoja ana siri zake,kuchagua kutofuatilia siri za mtu na kumchunguza ni heshima kubwa kwa mtu anaejielewa. Hapa sizungumzii siri zinazoendelea,ni yale yaliyopita tu ambayo hayakuathiri wewe wa sasa. Wengi tupo kwenye vifungo ambavyo ukikumbuka hata we unakosa raha. Gm fam.
28
14
36
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Maisha ni mzunguko,unapokua mdogo unakua huru kusema lolote kwa wazazi wako,nao wanapambana upate kilicho bora. Wanapozeeka huwa ni zamu yako kuhakikisha wanapata furaha kupitia wewe. Usijisahaulishe hilo,maisha ni mafupi. Jitahidi kuwathamini ingali wapo hai. Gm fam.
24
14
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
9 days
Unaposaliti,hata ue makini vipi basi kuna ile siku Mungu anampa chaguo mwenza wako la kuendelea kubaki au kwenda zake. Ni ile siku ambayo ukweli unajulikana,inakua kama ni bahati mbaya ila ni mipango ya Mungu tu. Ile huwa ni nje ya uwezo wa muhusika. Gm fam.
22
16
37
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
20 days
Moja ya baraka iliyo wazi ni kukutana na watu sahihi,kuna watu ni baraka tosha kabisa ukikutana nao,unaona kabisa kuna kitu positive kimeongezeka kwenye maisha yako,ni haba ila wapo. Na mara nyingi baraka za Mungu hubebwa na watu wake aliowachagua,ishi vzr na watu. Good morning
23
12
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Jinsi unavyoishi maisha yako kwenye jamii, ndio meseji unayowapa watu. Wakuchukulie vipi na waishi vipi na wewe. Iwe wanaokupenda au wanaokuchukia,wote wanaanzia kwenye unavyoishi. Ishi vizuri kwa ajili yako mwenyewe,kila mtu ana viwango vyake. Good morning fam.
23
20
34
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Inaleta raha sana kama kile unachotoa kinaendana na kile unachopokea. Maisha huwa rahisi sana, upendo ni kutoa na kupokea. Good morning my friends. May today be beautiful.
23
15
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Unapomuomba Mungu ambacho huna basi usisahau kushukuru kwa vile ulivyo navyo. Kila mtu aliye hai ana kitu cha kushukuru,uhai ni zawadi tosha mana ni ishara kuwa una nafasi ya kutimiza ndoto zako. Good morning my friends. Enjoy your day.
24
15
34
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Aliye madarakani ana faids moja kubwa,aongoze vizuri ili ajihakikishie nafasi yake msimu ujao. Tatizo la Africa ni kuwa kinyume,akiwa kiongozi anajisahau,mwisho wa siku anatumia nguvu kuhaki madarakani. Vinatuumiza zaidi vilivyo nje ya uwezo wetu. Good morning my friends.
23
9
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
3
0
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Sio kila changamoto zinakomaza watu na kuwafanya imara,kuna zingine nyingi huwa zinaondoka na watu wengi tu. Omba Mungu akupe moyo imara na akili iliyotulia nyakati zote. Good morning friends
17
12
31
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Katika maisha,kushindwa ni sehem ya mchezo pia. Huwezi shinda kila mechi. Huwa inashangaza sana pale watu wazima kabisa waliokua kwenye uhusiano wanaachana kwa kugombana na kudhalilishana. Usifanye utachojutia. That means you were not fit for each other from the beginning Gm fam
17
14
30
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
1 month
Kuna mambo ukifanya wakati wa ujana ni ujanja,umri ukisogea kdg tu yanakuhukumu bila huruma. Jamii bado haielewi suala la tattoo na vipini,ukiweza usifanye kbs. Kuna dada huku kitaa kajinyonga kisa kakataliwa siku ya harusi na ndugu wa mume,kisa tu tattoo. Good morning family.
22
15
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Love is all about sacrifices. Furaha na amani ya mwenzi wako ni jukumu lako wewe. Huwa ni rahisi huyo mwenza akitambua thamani ya hilo pendo lako,bila hivyo ni maumivu tu. May we have a wonderful weekend. GM.
18
20
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
5 months
Umewahi sikia maneno wanayokuongelea watu huko nje? Binadamu wana mambo ya ajabu sana,mtu yupo huru kabisa kukuongelea kwa watu vitu ambavyo hata we huvijui na wala huna. Nadhani ndio ugonjwa wa akili ulivyo. Ni vyema kama kila mtu akatulia na mambo yake.
13
5
27
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
24 days
Hekima na busara ya mtu hupimwa zaidi pale anapofikia malengo yake. Jinsi anavyowafanya na kuwajibu wale ambao hawana madhara kwake. Pesa huonesha tabia halisi ya mtu,kwa kuwa pale huwa hana cha kupoteza. So don't judge a person before he has reached his goals. Good morning fam
18
15
33
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
23 days
Kwenye kupambania mafanikio, kuna nguzo za nje za kukusapoti ambazo ni marafiki. Chagua marafiki wanaokufanya uende mbele,hiyo ni kwa faida yako na ya kizazi chako kijacho. Usijisikie vibaya kuacha urafiki wa hasara. Maisha yapo kasi sana kupoteza na watu wasio sahihi. Gm fam
19
15
32
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
21 days
Natamani elimu ya fedha na kodi viingizwe kwenye mitaala yetu,yawe ni masomo ya lazima. Mtu anamaliza chuo,hajui jinsi ya kutengeneza pesa kupitia elimu yake,akijitahidi kwa mbinde anakuja kandamizwa na kodi. Lengo ni kukuza uchumi,kwanini tuviziane? GM fam Ijumaa khareem
22
15
32
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Jinsi unavyojipenda mwenyewe ndio unavyotoa somo kwa watu wakupende kiasi gani,na heshima ndio hivyo hivyo.Huwezi heshimika bila kujiheshimu. Kumbe taswira yote umeibeba mwenyewe. Self-care,selflove and self-respect,is not being selfish mainly it's how you define yourself.
8
18
29
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Ukipata mtu anafurahia mafanikio yako basi mthamini na mtunze zaidi ya ndugu wa damu,huku kitaa watu wana roho mbaya sana,wako tayari kufanya lolote ili kukuzuia usiende mbele. Good morning my friends. Enjoy your day.
14
15
29
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Yule mtu ambaye unamuona ukiwa peke yako,matendo na maamuzi yako,huyo ndio we halisi sasa,achana na huyu unaekuwa mbele za watu wengi. Wengi hujali sana maoni ya watu mpaka wanaishia kuishi maisha yasiyo na uhalisia. Ishi kama we,huwezi ridhisha kila mtu. Gm my friends.
8
6
27
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
21 days
Mungu alimuumba mwanamke toka kwenye ubavu wa mwanaume. Ni asili ya mwanamke kuona yupo salama akiwa chini viwango kuliko mtu wake. Hata umpende vipi mwanamke wako,usimfanye awe bora zaidi yako,atakuacha aende kwa mtu bora zaidi yako ambako ye atakua chini kdg. Nature. Gm fam.
16
10
29
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Elimu ni nzuri kwa binadamu ila mfumo wa elimu yetu uliwekwa ili kuwawezesha wazungu waweze kututawala pasipo kutumia nguvu,kutudumaza kifikra zaidi. Ukiona unaringa kisa elimu yako basi jua fika lengo la mkoloni limetimia. Good morning friends
15
14
27
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Never fight the battles you can't handle. Sio kila changamoto itakujenga,kuna nyingine zinaweza kukuua au kukudhoofisha. Kuna muda kukimbia ni njia sahihi ya kushinda. Jipime kwanza ndio upigane vita. Maisha ni kuchagua,kuwa makini tu. Gm my friends. May God bless our day.
18
12
25
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Nje ya mipaka uliyoiweka ndio kuna mafanikio yako, jitahidi kuvuka kwa nguvu zako zote. Ukiweza kuota basi unaweza kutimiza,ondoa ile hali ya kile mi siwezi,kuna nguvu ndani yako ya kufanya makuu ila ni we tu hujaamua kuitumia,uoga wako ndio kufeli kwako. Blessed sunday fam GM.
14
7
29
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Binadamu Hujui umemkosea nini na hujui anataka nini kwako,unakuta tu ni adui yako. Hiyo ni vita ngumu sana. Tusiache kusali.
7
11
29
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Good morning fam. Enjoy your weekend. Siku zote kinachoonekana mbele za watu ni ile final product. Process nzima ya mafanikio huwa haizingatiwi zaidi ya mhusika mwenyewe. Na ukifanikiwa tu basi kila mtu ataongea lake. Keep your private life private, don't tempt the devils.
12
12
27
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
4 months
Ukiangalia kwa makini,kila chenye faida kina ugumu kukifanya. Chagua magumu yako kadhaa,yafanye kwa ufasaha tu,maisha yatajipa vizuri tu. Amani ya Bwana iwe nasi daima. Enjoy your day.
14
6
23
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
6 months
Maua huwa hayajihudumii. Linatengenezewa vizuri,linamwagiliwa na kuangaliwa vizuri matawi yake. Sasa watu wanapenda zaidi maua ambayo tayari yanavutia wakisahau kuwa nyuma ya kila ua kuna mtunzaji kalifanya vile.
6
11
25
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Siku hizi mambo yamebadilika sana,wanawake hawajui majukumu ya kike na hawaoni aibu kuonekana hawajui.Kuna vitu ni ujinga kupitiliza. Kuolewa sio lazima ila kujua majukumu yako ni lazima,hiyo ni kwa ajili yako binafsi,haimuhusu mtu mwingine. Haijalishi huolewi wala huzai. Gm fam
21
10
23
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Ngazi yoyote unayopanda katika maisha basi ujue kuna changamoto mpya. Hatupambani kukimbia matatizo,Bali kuishi nafuu huku tukikabiliana nayo. Changamoto huchangansha akili. Every level you climb, you will meet a new devil. Good morning my friends. Enjoy your weekend.
24
7
28
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Umri ndio hubadili mitazamo yetu ya maisha,ukiwa na miaka ya ujana 16+ unaona mapenzi ndio muhim zaidi ktk mahusiano na unakua sahihi kabisa kwa wakati huo.Ukifika umri fulani hivi juu kdg 27+ unagundua heshima,usalama na utii ni muhim zaidi klk mapenzi. Time decides all. Gm fam
22
5
27
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Mahusiano mengine yanapoanza watu huficha tabia halisi na huishi wasivyo kabisa,baada ya muda unaanza sikia malalamiko oooh mpenzi wangu kabadilika.Sasa huyo unaemlalamikia ndio mpenzi wako halisi,yule wa mwanzo alikua fake ili apewe nafasi. Uamuzi ni wako sasa. Good morning fam
12
8
24
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Kipimo cha kwanza cha ukomavu na afya yako ya akili ni yake mapokeo yako unapokorofishwa/unapodharauliwa/unapodhihakiwa. Jiangalie hapo na utajiweka kundi utalojiona. Good morning and blessed week to us all.
12
11
22
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
2 months
Shida ni mifumo ya kikoloni ambayo inaleta udumavu wa akili. Shuleni mwenye alama za juu ndio bora,aliyefeli anapewa adhabu,hapo chuki mioyoni na ushindani wa kijinga. TRA wanaangalia kuvunja rekodi kukusanya Kodi,sio kusaidia urahisi wa biashara,Kodi ilipike kwa hiari. Gm fam.
19
10
26
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
25 days
Mwanaume kuwa makini sana na mabadiliko ya vitu vidogo vidogo sana toka kwa mwenzi wako,usipuuzie vitu vidogo mana wanawake huwa hawabadiliki wenyewe,ukiona mabadiliko jua kuna external force ambayo we huijui. Kama ni wako na unampenda, ni muhim kumlinda. Good morning fam.
16
11
26
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Tumezaliwa kwenye shida,tumekulia shida mpaka inafika mahala tukiona mtu anafanikiwa hasa wa karibu huwa tuna chuki nae badala ya kufurahia. Chuki na ugomvi wa ngozi nyeusi mara zote huanzia kwenye mafanikio,watu wanapenda kuona wote tukiteseka.Roho za kimasikini ni mbaya. GM fam
19
10
24
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
3 months
Chochote tunachokifanya tumejifunza kutoka kwa wengine. Baada ya kupata akili ya kujitambua,kuna umuhim mkubwa wa kuchagua nani awe karibu katika maisha yako. Ulimwengu ni darasa guru,mitaa ndio inayotujenga. Akili kumkichwa,uchukue kipi na uache kipi. Good morning friends.
19
8
23
@AsajileDaniel
Dazzy Elly
8 days
Unapotafuta maisha basi usisahau kuishi na usisahau kuwafundisha wanao wakiwa wadogo kupenda,kujali pamoja na matumizi ya pesa. Tumeona wengi pesa zao wenyewe lkn zimekuja kuwapoteza au kuangamiza familia zao wenyewe. Pesa ni muhim sana ila malezi ya wanao ni muhim zaidi Gm fam.
17
12
33