Type _____ Ford Ranger
Year_______ 2016
Color ______ Orange
Engine TDCi 3.5
Cc 3200
65M
0626010537 Only WhatsApp
unaruhusiwa kuja kuikagua na mafundi wako iko Kigamboni
kituo cha watoto yatima cha kurasini nlienda bwana kufika pale kuanzia treatment nliyopewa getini hadi ndani nlitaka kulia 😂😂💔Mpaka nikasema ni kweli nimekuja kutoa sadaka ila hii hela bora ningewapa watu wengine wenye uhitaji kama wagonjwa hospitalini
Zamani Malaya walijificha kwenye kuuza bar sasa hivi wauza bar wengi ni singo Maza wanatafuta matumizi ya watoto na malaya wamejificha kwenye saluni na umama ntilie wanauza chakula na chakula pia baadhi Yao lakini😐🤥💔
Kama kuna situation ngumu kwa mwanadamu basi hii ya kuamka asubuhi Huna pa kwenda ni mbaya zaidi Mungu awafungulie milango ya baraka wote wanaopitia hii hali
Kuna watu ni majasiri nyie Kuna mwana aliuza gari congo Yan akauza lori la watu akatimkia sauzi 😹💔 mwana akafaiti uko akatoboa bhana siku moja boss alishangaa anaambiwa tuma dereva boda nimekununulia chombo mpya naomba unisamehe sana Sasa hivi nae ana vyuma vyake 7
Mwaka Jana kuna mdada nlikutana nae sokoni alikuwa na mtoto mgongoni anaonekana kakata Tamaa kuna kitu nlikuwa nanunua Ile nakikagua na muuzaji ananipiga sound za hapa na pale nae akadakia akasema ni kizuri Sana japo Hajawahi kitumia
Kuna kipindi nlikuwa sina kazi kiasi wapangaji wenzangu wote walinikariri mie jobless alafu ndo muda wote nipo home sinaga pa kwenda ukiachilia mbali hata nikiamua kwenda sehemu nauli sina wao wana kazi 😪sa kulikuwa na group la wapangaji yaan kila anaenunua Umeme anatupia humo
Unapata mwanaume anakuhonga pesa nyingi unadhani anakupenda Sana kumbe mwenzio anatoa kafara ya ngono na anachukua nyota yako utajiri wake uongezeke kaeni kitaalamu 🤡😣😣
Hawa madereva malori ni Malaya sana 😂💔 ladies kama una bwana Ako anaendesha hizo gari mkumbushe tu atumie Kinga asikuue maana hauko peke Ako mko kama mia
Kama mwenyezi Mungu akiniuliza ni zawadi gani nataka kwenye maisha Yangu nitamuomba anioneshe Mama Yangu hata Kwa picha Tu nione alikuwaje na anafananaje😣🤡🥲
Leo nimekumbuka mwaka 2017 Kuna rafiki angu mmoja alikuwa na matatzo baba mtoto kamkimbia nlimsaidia nkampangia chumba nkamtafutia kazi pale kwetu alivofika akaanza kutembea na boss wangu akanisiginia mpaka nikafukuzwa kazi Mimi pale kitengo changu akakaa yeye 😂💔
Kama haka unakachukua kwanza bila kiwataarifu hata wazazi wake unakafungia ghetto nguo unaloweka unakapa Night dress zako unakaanzishia Lishe viazi vya kuponda na unakanyonyesha tu maziwa kakitoka hapo kana mwili 😵😵😵
Mniombee sana mwenzenu naumwa nimepoteza fahamu jana na Leo bila sababu nimeenda hospital hawaoni ugonjwa pia🙏🙏Hali hiyo ukinitokea napoteza uwezo wa kuona kinafata kizungu zungu then shwaa naisha kama dk 2 ndo nazinduka💔💔
Ukizaliwa wa kwanza kwenu na bahati mbaya familia isiwe na uwezo jiandae kuwa daraja la ndugu zako kuvukia pambana sana 😂💔 japo Kuna muda inauma ila hakuna namna
Hakuna mademu wanaojiona wameyapatia maisha Kama hawa wanaouza simu kwenye Yale maduka ya kariakoo😂😂😂💔vinajionaga Kama vinauza ticket za kwenda mbinguni yan
Just imagine kupata choo ngumu inavoumizaga sana Yan ka choo tu unatamani utie vijiti utoe afu Kuna mtu eneo lile lile anapitishiwa mashine ya inchi 6 🙌😂
Mnapataga wapi nguvu za kuzungumzia matatzo yenu mkiwa mnaongea na simu kwenye daladala?😂😂🙌Yan unakuta mtu anafunguka mpaka abiria wote wanageuka kumwangalia🙌💔
Yesu alikuwa na mitume 12 kwenye picha Ile iliyopigwa kidunia wakati anafanya karamu yake ya mwisho walionekana mitume 13 mmoja akiwa mwanamke je huyo mwanamke alikuwa Nani??
Jana nimekutana na masanja sehemu moja hivi zile Spana nazompiga twita nlishindwa kumpiga live Yan 😂😂💔 nikawa namwangalia Kwa mbali Tu keyboard ina nguvu kuliko uhalisia🚮
Dear my followers ningechukua nafasi hii kuwambia Sina mahusiao na Eddo Kila kitu kilikuwa drama za kusaka followers humu na tunashukuru tumewapata Kila kitu kimeisha msinitag sehemu yeyote kunihusisha na hayo mambo we don't even know each other 😂💔
Mwenye Ramani ya vyumba vitatu kimoja masta jiko,dinning room, sebule, public toilet na kastoo ka mchongo anipe tafadhali Ramani zinauzwa bei Kali kuliko Hela ya msingi wa nyumba 😂😂😂🔥💔
Nimepata funzo Moja Kwa ndugu yangu wa karibu alichukua mwanamke kijijini kuoa Kwa madai ya wanawake wa mjini hawajatulia alitaka mtu ambae Hana ekisipozha ili amhudumie Kwa Kila kitu hataki msomi sawa tukampa Baraka zetu kaenda kijijini kuoa mwanamke mzuri tu 👇
Kuna mshikaji wangu aliwahi kunywa sumu kisa demu wake kachukuliwa na tajiri mmoja baadae wakamuwahi na kumpeleka hospital akapona kumbe iliacha madhara Tumboni hiyo sumu sasa figo zinafeli Yuko anahangaika kujitibia kashatumia gharama nying Sana had kafilisika😒😒🤡