Rastafarian culture Profile Banner
Rastafarian culture Profile
Rastafarian culture

@Ireneigora

Followers
93,860
Following
4,269
Media
6,012
Statuses
173,970

Take it Easy I didn't mean to hurt you 🧎🤥

Tanzania
Joined July 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@Ireneigora
Rastafarian culture
8 days
Type _____ Ford Ranger Year_______ 2016 Color ______ Orange Engine TDCi 3.5 Cc 3200 65M 0626010537 Only WhatsApp unaruhusiwa kuja kuikagua na mafundi wako iko Kigamboni
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
9
68
121
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
🥳🥳🥳huyu jamaa Hana mpinzani kwenye maji
Tweet media one
339
69
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
16 days
Happy birthday to me 😂💝
Tweet media one
399
205
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
11 months
Namtafuta huyu mwamba hakika ana Jeans zake nyingi kwangu T shirt na mashati atakayochagua yeye nitampa Bure 🌹🌹🌹🥰Rt imfikie yeye au kwa anaemjua
Tweet media one
81
261
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kupanga meno hivi ni sh ngap?
Tweet media one
208
88
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
9 months
Video ya homeboy hiyo hapo kwenye comments kama hujaiona 😆😆👇
Tweet media one
111
54
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 month
Congo sio kongowe😂We ukikutana na EBV simamisha nikupe msosi niko full
Tweet media one
148
137
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kwahyo chege chigunda kaona wanaotoa connection wanafaidi kaamua nayeye atoe😭😭
125
74
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kuna Hawa😂😂😂😂😂💔
Tweet media one
211
104
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Tiyari nishajipanga kwenye howo langu kutokea mkoa wa baridi niwatakie usiku mwema followers wangu 😂😂🛌🛌
Tweet media one
180
75
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
6 days
kituo cha watoto yatima cha kurasini nlienda bwana kufika pale kuanzia treatment nliyopewa getini hadi ndani nlitaka kulia 😂😂💔Mpaka nikasema ni kweli nimekuja kutoa sadaka ila hii hela bora ningewapa watu wengine wenye uhitaji kama wagonjwa hospitalini
136
133
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
9 months
Inaitwaje hii movie na nini kiliwapata hawa 🥲🥲🥲
Tweet media one
141
73
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Hakuna kitu kinaniuma kama naenda kuomba kazi naulizwa eti mbona we mtoto💔💔Mi sio mtoto ndio umbo langu😭😭😭
Tweet media one
130
50
2K
@Ireneigora
Rastafarian culture
11 months
Nani anaedit hizi picha ?
Tweet media one
79
68
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Hatujakuzoea hivi kaka toa kitu Jiji limepoa sana 🎧🎧🎧😂
Tweet media one
32
33
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 months
Ila Yanga 🖤🩶🤍💚💛
Tweet media one
146
104
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Zamani Malaya walijificha kwenye kuuza bar sasa hivi wauza bar wengi ni singo Maza wanatafuta matumizi ya watoto na malaya wamejificha kwenye saluni na umama ntilie wanauza chakula na chakula pia baadhi Yao lakini😐🤥💔
172
108
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 month
Kama kuna situation ngumu kwa mwanadamu basi hii ya kuamka asubuhi Huna pa kwenda ni mbaya zaidi Mungu awafungulie milango ya baraka wote wanaopitia hii hali
80
232
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
6 days
Ulipo ndo ghetto lako lilipo aliyepaki pembeni ndo jirani 😂😂 #Truckdriverslife
Tweet media one
87
88
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Mi huyu nikiwa twita nabishana na matajiri wakubwa na wanasiasa😹😹😹💔👇
Tweet media one
81
61
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 months
Hawa malaya nao wamekuja kunigongea wakijua dereva ni mwanaume tuko tunaangaliana hapa 😂😂😂💔
100
64
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kuna watu ni majasiri nyie Kuna mwana aliuza gari congo Yan akauza lori la watu akatimkia sauzi 😹💔 mwana akafaiti uko akatoboa bhana siku moja boss alishangaa anaambiwa tuma dereva boda nimekununulia chombo mpya naomba unisamehe sana Sasa hivi nae ana vyuma vyake 7
118
58
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Tafuta ela usije ambiwa na ndugu zako ukasimamie nyumba zao zinazojegwa🤥💔🤡
112
154
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
5 months
Tumepata bonge moja la ajali hapa Isuna nashukuru nimetoka hai
Tweet media one
309
94
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kumekucha Sasa tuanze kuruka na Shaffie Dauda na Prisca kishamba watuelezee ni wapi wanapataga habari zao 😀😀💔
77
76
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
10 months
Nimesikiliza Interview ya huyu jamaa itoshe kusema usirudi kwa Ex wako hasa kama we ndo ulimkosea 🙂🙂🥲
Tweet media one
41
58
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Hakuna kitu kinauma Kama kumpenda mtu na kuwa na hisia nae Sana afu ye Hana nguvu za kiume😣🤥💔
163
79
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Haka kajini huwa kananichekesha Sana 😂💔
Tweet media one
155
53
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Mwaka Jana kuna mdada nlikutana nae sokoni alikuwa na mtoto mgongoni anaonekana kakata Tamaa kuna kitu nlikuwa nanunua Ile nakikagua na muuzaji ananipiga sound za hapa na pale nae akadakia akasema ni kizuri Sana japo Hajawahi kitumia
172
96
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Zaeni na wanaume wenye akili😏😏ona la kwangu🚮💔
Tweet media one
155
64
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Jamaa ana lidude bhana😣😂😂🙌
116
40
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
8 months
Hii ikijengwa na serikali itatumia sh ngap?
Tweet media one
288
71
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
10 months
Sema hii picha inazungumza mengi sana 🙂
Tweet media one
28
56
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kuna huyu dada shanga imefunguka kwenye daladala mzigo wote chini watu woyoo mi kimya nimeinama Kama sijaona kitu😩🤡
116
66
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Mange amesema Nini kuhusu huyu jamaa?!!!
Tweet media one
83
43
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Tafuta msukuma wako mmoja tulia nae hawana mambo mengi wakipenda🥳🥳🥳
146
96
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
10 months
Hayuko sahihi muda wote ila ukimzingatia Ana madini sana I appreciate 🥰
Tweet media one
35
98
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Hawa wanafunzi wa chuo wanajua kuvaa utupu uhasibu ikifika mida kama hii😃😃🙌
55
42
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 month
Kuna kipindi nlikuwa sina kazi kiasi wapangaji wenzangu wote walinikariri mie jobless alafu ndo muda wote nipo home sinaga pa kwenda ukiachilia mbali hata nikiamua kwenda sehemu nauli sina wao wana kazi 😪sa kulikuwa na group la wapangaji yaan kila anaenunua Umeme anatupia humo
106
196
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Ooooh my😆😆🧸nshapelekwa Dubai na mimama kula bata
Tweet media one
83
52
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Sema lijamaa lilikuwa linampenda sana mke wake sijui ndo alilifundisha mahaba 😹😹😹🙌Kila siku I love you
Tweet media one
66
50
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Hapa natembea Kwa tahadhali Chelsea wakiniona nimeisha 😂😂
Tweet media one
113
87
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
8 months
Kwanini watu wanamchukia huyu dada?
Tweet media one
126
28
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Huyu jamaa navomtumiaga usiku nkitaka kulala natakiwa nimlipe aisee sauti yake inanibembeleza sana 😂😂💔
Tweet media one
58
25
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
10 months
Hatimae nimemaliza nyumba yangu asanteni kwa dua zenu 🙂🙂
Tweet media one
123
58
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Unapata mwanaume anakuhonga pesa nyingi unadhani anakupenda Sana kumbe mwenzio anatoa kafara ya ngono na anachukua nyota yako utajiri wake uongezeke kaeni kitaalamu 🤡😣😣
94
74
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Nimeenda makumbusho Kuna pisi Kali itoshe kusema my wangu ananivumilia sana 🙌😂😂😂🚮
58
42
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Wanaume wenye malengo makubwa na maisha hawanaga bahati ya kupata wanawake wenye akili 🥲😹
100
127
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Hawa madereva malori ni Malaya sana 😂💔 ladies kama una bwana Ako anaendesha hizo gari mkumbushe tu atumie Kinga asikuue maana hauko peke Ako mko kama mia
103
51
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kuna mtu ameenda kuomba odds serikalini?? 😂😂💔
Tweet media one
175
62
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
4 months
Hivi kumbe hii ya kununua Luku kwenye simu inaweza toa location ya kuonesha uko wapi? Kivipi yaan mtu anielezee kistaarabu 🤔🤔
65
82
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kama mwenyezi Mungu akiniuliza ni zawadi gani nataka kwenye maisha Yangu nitamuomba anioneshe Mama Yangu hata Kwa picha Tu nione alikuwaje na anafananaje😣🤡🥲
188
88
994
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Leo nimekumbuka mwaka 2017 Kuna rafiki angu mmoja alikuwa na matatzo baba mtoto kamkimbia nlimsaidia nkampangia chumba nkamtafutia kazi pale kwetu alivofika akaanza kutembea na boss wangu akanisiginia mpaka nikafukuzwa kazi Mimi pale kitengo changu akakaa yeye 😂💔
136
91
990
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kwan diamond anawafanya nini wasanii na wafanyakazi wanaotoka kwake mbona wanajaa upepo wa chuki kubwa namna hiyo🤥💔?
63
55
980
@Ireneigora
Rastafarian culture
10 months
Kumamae yule jamaa wa vifurushi nitapeli msithubutu
204
86
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Natafuta mtu wa kushare nae Kodi ya nyumba Yan tuishi wote jinsia yoyote awe dar🙏😭😂naona peke angu siwezi Tena
149
51
1K
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Nimegonga😩😩
102
35
987
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Kuendesha gari la serikali sharti uwe na cheti Cha form 4 ila kuwa mbunge cheti kinaanzia la Saba 🤕🤕🤕
Tweet media one
55
77
973
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Sio mdaka mishale Tu anaweza kumdaka mpaka Mgunda 😂💔💛💚💛
Tweet media one
82
68
961
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kwahyo bwana Ako ana miliki Alphad na Noah na una amini Hana familia? 😂😂😂😂
61
57
967
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Huyu Kila akifunga lawama wanapewa makipa kuwa ni wabovu 😂💔
Tweet media one
40
46
954
@Ireneigora
Rastafarian culture
3 months
Kama haka unakachukua kwanza bila kiwataarifu hata wazazi wake unakafungia ghetto nguo unaloweka unakapa Night dress zako unakaanzishia Lishe viazi vya kuponda na unakanyonyesha tu maziwa kakitoka hapo kana mwili 😵😵😵
Tweet media one
190
69
973
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Mniombee sana mwenzenu naumwa nimepoteza fahamu jana na Leo bila sababu nimeenda hospital hawaoni ugonjwa pia🙏🙏Hali hiyo ukinitokea napoteza uwezo wa kuona kinafata kizungu zungu then shwaa naisha kama dk 2 ndo nazinduka💔💔
343
92
954
@Ireneigora
Rastafarian culture
10 months
Utasikia eti yan bro we maisha hayajakutesa kama mimi nlikuwa nalala chini yaan chini😆😆😆😆
Tweet media one
58
71
956
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Ukizaliwa wa kwanza kwenu na bahati mbaya familia isiwe na uwezo jiandae kuwa daraja la ndugu zako kuvukia pambana sana 😂💔 japo Kuna muda inauma ila hakuna namna
72
134
947
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 months
Kuna mtu kamwambia Mange kimambi eti ana tako dogo kama mshahara wa walimu😋🥲😂
107
93
960
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Hakuna mademu wanaojiona wameyapatia maisha Kama hawa wanaouza simu kwenye Yale maduka ya kariakoo😂😂😂💔vinajionaga Kama vinauza ticket za kwenda mbinguni yan
95
66
922
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Just imagine kupata choo ngumu inavoumizaga sana Yan ka choo tu unatamani utie vijiti utoe afu Kuna mtu eneo lile lile anapitishiwa mashine ya inchi 6 🙌😂
101
50
926
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Marafiki zetu wakifungua biashara be like "God did"😎😎 Wakitoka hapo Sasa wakaenda Kwa god mwenyewe👇
Tweet media one
117
57
936
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Nimepita chocho moja hapa River naskia demu anasema eti 😣Maliza haraka hii ni Qm sio uwanja wa mazoezi😃😃🤡
60
42
920
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Mnapataga wapi nguvu za kuzungumzia matatzo yenu mkiwa mnaongea na simu kwenye daladala?😂😂🙌Yan unakuta mtu anafunguka mpaka abiria wote wanageuka kumwangalia🙌💔
90
62
933
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Leo isingekuwa Kula faini lunch ingenipita hivi hivi 😂💔🚮
Tweet media one
107
33
925
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Jana Tunda limeliwa😂😂😂🔥fear women
Tweet media one
64
26
918
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Ushawahi kumhug Baba ako na kupiga nae selfie?🥳🥳
88
79
911
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kwa furaha mliyonipa Leo ntafollow Kila mtu atakae weka handle 😂🤡
290
108
913
@Ireneigora
Rastafarian culture
11 months
Siku hizi Umalaya umehamia kwenye "tunafanya usafi majumbani"🤪🤣
57
50
931
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Hawa wadada wa south Africa na Naija manyonyo makubwa wanayapata wapi🥳😂😂
63
40
912
@Ireneigora
Rastafarian culture
19 days
Niko Serena Hotel Lunch nimetumia laki 3 hapa
Tweet media one
119
72
933
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Yesu alikuwa na mitume 12 kwenye picha Ile iliyopigwa kidunia wakati anafanya karamu yake ya mwisho walionekana mitume 13 mmoja akiwa mwanamke je huyo mwanamke alikuwa Nani??
158
63
894
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Jana nimekutana na masanja sehemu moja hivi zile Spana nazompiga twita nlishindwa kumpiga live Yan 😂😂💔 nikawa namwangalia Kwa mbali Tu keyboard ina nguvu kuliko uhalisia🚮
53
76
881
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
😹😹😹
Tweet media one
77
53
881
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Dear my followers ningechukua nafasi hii kuwambia Sina mahusiao na Eddo Kila kitu kilikuwa drama za kusaka followers humu na tunashukuru tumewapata Kila kitu kimeisha msinitag sehemu yeyote kunihusisha na hayo mambo we don't even know each other 😂💔
158
48
891
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
🤮😭😭😂
Tweet media one
151
74
881
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Mwenye Ramani ya vyumba vitatu kimoja masta jiko,dinning room, sebule, public toilet na kastoo ka mchongo anipe tafadhali Ramani zinauzwa bei Kali kuliko Hela ya msingi wa nyumba 😂😂😂🔥💔
107
56
888
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Sumu inatumaliza madereva congo sulphur inatuua taratibu tu watu tumekimbia kazi madereva wanakufa madhara nilishaanza kuyapata pia💔💔💔
118
68
882
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
😏😏aisee
Tweet media one
114
53
851
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Mafinga 🌹🌹Sao Hills 9.12.2022
Tweet media one
112
70
872
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Fyucha hazband unaona hiyo spana inayokosekana hapo kazi iliyoenda kufanya? Bhas nami ntakuwa nakufanyia hivo 😂💔
Tweet media one
85
51
852
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Unamuonesha mtu picha ya my wako kwenye simu anaangalia kisha anasema hongera sio mbaya sana 😂😂💔
62
70
849
@Ireneigora
Rastafarian culture
10 months
Chino akichekeshwa na Marioo kidogo 🙂😆😆👇
Tweet media one
82
49
883
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Nani anisomeshe nikimaliza chuo anioe?😋😋😂
133
63
851
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Unaweza kumwambiaje mtu kuwa unanuka kikwapa bila kumfanya ajiskie vibaya au unaweza kumsaidiaje bila kumuudhi?💔💔
139
57
854
@Ireneigora
Rastafarian culture
1 year
Nimepata funzo Moja Kwa ndugu yangu wa karibu alichukua mwanamke kijijini kuoa Kwa madai ya wanawake wa mjini hawajatulia alitaka mtu ambae Hana ekisipozha ili amhudumie Kwa Kila kitu hataki msomi sawa tukampa Baraka zetu kaenda kijijini kuoa mwanamke mzuri tu 👇
127
82
860
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Nimeota nimerudiana na advencha😺😭yaan mwili wote unauma Kila Kona nadhani ntakuwa nilijinyonga usingizini kuliko kuwa nae tena 😂💔
64
65
846
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Watoto wa nje ya ndoa Wana akili Sana kuliko waliozaliwa kwenye ndoa😩😂😂kubali kataa fanya uchunguzi
129
61
852
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Hivi nikweli majini ukaa baharini? Nani anaejua kiundani zaidi😣
75
44
842
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Mkimaliza kuwavutisha shisha wapeni bhas na ela za kusafisha Meno😂😂💔khaa mtaani mademu wote wamekuwa Kama shumileta
52
54
847
@Ireneigora
Rastafarian culture
2 years
Kuna mshikaji wangu aliwahi kunywa sumu kisa demu wake kachukuliwa na tajiri mmoja baadae wakamuwahi na kumpeleka hospital akapona kumbe iliacha madhara Tumboni hiyo sumu sasa figo zinafeli Yuko anahangaika kujitibia kashatumia gharama nying Sana had kafilisika😒😒🤡
123
78
841
@Ireneigora
Rastafarian culture
7 months
Hizi za hivi zinavuja pia?
Tweet media one
58
79
861