UZI🧵: SIRI KUMI NA MOJA (11) ZA MAISHA USIZOZIJUA
SIRI YA KWANZA 01:
Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza chakula maana "kikulacho kinguoni kwako." Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!...↓
Nilipitia wakati mgumu zaidi peke yangu huku kila mtu akiamini nilikuwa sawa.
Nikaja kugundua kwamba adui mkubwa wa maisha yetu ni Overthinking yani kuwaza kupita kiasi.
Kama na wewe ni mtu wa kuwaza sana fungua huu uzi nimekuwekea tiba yake ya kisaikolojia.
<Thread/Uzi>
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA.
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao.
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA.
NAMNA YA KUJILINDA HATUPO SALAMA.
1.Usipende kuwasha location ya simu yako kila mara.
2.Usipende kutembea mwenyewe nyakati za usiku.
3.Hakikisha kabla hujalala kuna mtu umempa taarifa au umemtakia usiku mwema na amejua upo wapi.
4.Wakija watu kukukamata hata wakijitamburisha
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA.
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao.
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA.
MWANAUME IKIWA BADO UNAJITAFUTA CHUKUA HIZI SHERIA 10 ILI KUBADILISHA MAISHA YAKO:
1. Acha kukimbiza wanawake, badala yake chakufanya mtafute mwanamke mmoja atakae ridhika na hali yako ya maisha alafu ishi nae.
👇🏿🧵👇🏿
UZI: MAMBO AMBAYO WATU HUJIFUNZA WAMECHELEWA SANA.
Asubuhi hujenga kasi, Tumia asubuhi yako kukuweka kwa siku nzima Jenga tabia nzuri asubuhi Kuwa na utaratibu thabiti wa asubuhi. Usiwahi kugonga kusinzia, haijalishi umechoka vipi Amka asubuhi mapema mara moja.
👇🏿👇🏿👇🏿
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe ni vile tu amekuzoea.
Ukitaka kuishi kwa amani na furaha kwenye hii dunia mtangulize Mungu katika kila jambo unalolifanya, tafuta pesa kwa njia za halali, samehe walio kukosea, tunza afya yako alafu ishi maisha yako.
MAMBO 6 AMBAYO NATAMANI NINGEYAJUA WAKATI NINA MYAKA 25
Haya ni mambo ambayo wewe kijana unaejitafuta ukiyazingatia utawafanya vijana wenzako waamke na wengine wakuite FREEMASON.
<Thread/Uzi>
Shuka Nayo Kwenye Coment...
Wakati mwingine unaweza ukacheka na wengi lakini ukalia na wachache kwasababu wengi watapenda tabasamu lako lakini ni wachache sana watakaothamini chozi lako.
Good Morning Familia 👋
Kaa kimya katika hali hizi tatu:
1.) Kaa kimya unapokuwa na hasira.
2.) Kaa kimya wakati watu hawathamini maneno yako.
3.) Na kuwa kimya unapotaka kusikiliza watu.
1. Panga siku inayofuata kabla ya kulala Tengeneza orodha ya mambo ya kufanya kwa siku inayofuata kabla ya kulala Amka na ufanye kila kitu kwenye orodha yako kabla ya kufanya kitu kingine chochote Huu ndio "udukuzi wa tija" pekee unaohitaji.
Kila kitu kinawezekana kwenye haya maisha, mtangulize Mungu katika kila hatua yako moja unayopiga, zidisha bidii epuka roho yenye kukata tamaa, mafanikio huja kwa muda wake hakika utafanikiwa katikati ya magumu yote unayopitia🙏🏾
Kumbe wanetu hua mnaona tweet zangu mnaruka tuu😢
Huku jobless kichwa kinaniuma nikipeleka akaunti yangu kwa mganga kuangalia kila saa kama nina ban au sina.
Aaah...., fresh wanetu kuwa FollowerGhost sio dhambi.
Tuishi🤝🏾
Ikiwa unasumbuliwa na HOFU ya jambo lolote au kama unahisi kukata tamaa, fanya hivi...👇🏿
Fungua huu UZI nimekuwekea njia saba za kurudisha uimara wako👇🏿👇🏿👇🏿
<UZI>
Dear mwanaume tambua kwamba wanawake wanataka kufurahi kila wakati.
Haya Hapa Maswali (16) Ya Kuvutia Ambayo Wanawake Wanafurahia Kujibu.
1. Ni kitu gani unaogopa kuuliza mwanaume lakini unataka kujua?
UZI
👇🏿👇🏿👇🏿
usitafute watu wakupende tafuta watu wakuheshimu sana hakikisha unajifunza ujuzi ambao utakufanya uhitajike kwenye jamii alafu hakikisha kila siku unakua bora zaidi ya ulivyokua jana
2. Amka mapema
"Kulala na kuamka mapema Humfanya mtu kuwa tajiri na mwenye hekima" Kuamka mapema hukupa nguvu na wakati wa ziada wa kuanza siku yako kabla ya kila mtu mwingine • Maliza kazi zako muhimu kabla ya wengine kuamka • Furahia siku yako iliyobaki au fanya unachotaka .
Wanaume tuu!!!
Imagine una mtoto wako wakike alafu yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwenye tabia kama zako.
Je ungefurahi?
Kama jibu ni HAPANA basi BADILIKA.
Wanawake wanapenda ngono kama vile wanapenda pesa.
Wanaume wanapenda amani kama vile wanapenda ngono.
Ikiwa unataka uhusiano wako udumu, soma huu uzi👇🏿
🧵
Bro sikia,
Mwanamke anaekupenda ukimbip tu lazima akupigie, hata kama awe hana vocha roho yake lazima itakosa amani mpaka ataposikia sauti yako.
Sasa wewe fala hapo umempigia zaidi ya mara tatu na meseji kibao na hajapoka alafu unasema kama unapendwa😁
Move on tu hakupendi💔😂
Yapende maisha yako, chukua picha nzuri, washa mishumaa, soma vitabu, tembea zaidi, cheza kwa muziki unaopenda, jinunulie zawadi, fanya chochote unachotaka ilmradi uwe na furaha. Haya ni maisha yako usiruhusu mtu yeyote akukatishe tamaa.
Wakati mwengine tunateseka kwenye maisha sio kwa sababu tumewafanyia ubaya wengine bali ni kwa sababu tumewafanyia wema watu ambao wasiostahili wema wetu.
Nilijiunga twitter 2022
↓
Nikaona haieleweki kabisa.
↓
Nikaachana nayo kwa muda mrefu.
↓
Nikaamua kurudi siku moja 2023
↓
Nikawa addicted hadi leo.
Wewe Story yako ipoje?....
Ikiwa anachelea kujibu messages zako mwambie,
"hatulazimishi mawasiliano tunaongea na wanao pokea simu zetu kwa hiyo usijione wa maana sana"
Linda heshima yako...
jitengenezee thamani yako
mtu kama hakupendi usimlazimishe na ikiwa atafanya kama anaweza kuishi bila wewe basi msaidie kuifanya hivyo
usipende kuonekana mnyonge mbele za watu ili wakuonee huruma, hakuna anaejali maumivu yako
nobody cares about your story until you win, so win