MWANAHISABATI Profile Banner
MWANAHISABATI Profile
MWANAHISABATI

@ArthurGeil

Followers
5,608
Following
525
Media
3,631
Statuses
77,227

This is the official account for Arthur Geil, Kua Mpole Unapo Ongea Na Mimi.

Lille, France
Joined January 2022
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 hours
UZI🧵: SIRI KUMI NA MOJA (11) ZA MAISHA USIZOZIJUA SIRI YA KWANZA 01: Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, iko siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza chakula maana "kikulacho kinguoni kwako." Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!...↓
Tweet media one
4
10
21
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
5 months
JINSI YA KUWA MWANAUME MNYAMA NDANI YA MIEZI 6 <Thread> <Uzi>
Tweet media one
46
279
692
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
14 days
@CyancutyTz LIKE 🙏🏾❤
Tweet media one
7
3
588
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
iPhone kali ya muda wote ni ipi?
127
39
427
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Nilipitia wakati mgumu zaidi peke yangu huku kila mtu akiamini nilikuwa sawa. Nikaja kugundua kwamba adui mkubwa wa maisha yetu ni Overthinking yani kuwaza kupita kiasi. Kama na wewe ni mtu wa kuwaza sana fungua huu uzi nimekuwekea tiba yake ya kisaikolojia. <Thread/Uzi>
17
123
405
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
7 months
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA. 1. Wana marafiki wachache sana 2. Wakikuzoea ni waongeaji mno 3. Wana hasira sana 4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao. Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA.
44
110
259
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
13 days
NAMNA YA KUJILINDA HATUPO SALAMA. 1.Usipende kuwasha location ya simu yako kila mara. 2.Usipende kutembea mwenyewe nyakati za usiku. 3.Hakikisha kabla hujalala kuna mtu umempa taarifa au umemtakia usiku mwema na amejua upo wapi. 4.Wakija watu kukukamata hata wakijitamburisha
48
131
237
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
MANENO YA HEKIMA KUTOKA KWA MARTIN LUTHER KING. UZI🧵
Tweet media one
17
96
207
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA. 1. Wana marafiki wachache sana 2. Wakikuzoea ni waongeaji mno 3. Wana hasira sana 4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao. Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA.
24
49
191
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
MWANAUME IKIWA BADO UNAJITAFUTA CHUKUA HIZI SHERIA 10 ILI KUBADILISHA MAISHA YAKO: 1. Acha kukimbiza wanawake, badala yake chakufanya mtafute mwanamke mmoja atakae ridhika na hali yako ya maisha alafu ishi nae. 👇🏿🧵👇🏿
Tweet media one
24
60
170
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
siku hizi tumepunguza kuwatafuta ndugu zetu matajiri kwasababu huwa wanadhani simu zetu ni za shida ya kuomba hela kila wakati na wala si salamu tena
15
54
149
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Dear Mwanaume, kumbuka hizi KANUNI 20 unapokua kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanamke. UZI 🧵
Tweet media one
18
46
143
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
UKWELI MCHUNGU AMBAO KILA MWANAUME ANAHITAJI KUSIKIA. 1) Hakuna mwanamke atakayekukupenda bila masharti. UZI 🧵
Tweet media one
15
51
130
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
Wakikutukana ili wapime imani yako waambie, Mimi ni mtu mzuri lakini msinipe sababu ya kukuonyesheni upande wangu mbaya📌🙏🏾
13
51
125
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
UZI: MAMBO AMBAYO WATU HUJIFUNZA WAMECHELEWA SANA. Asubuhi hujenga kasi, Tumia asubuhi yako kukuweka kwa siku nzima Jenga tabia nzuri asubuhi Kuwa na utaratibu thabiti wa asubuhi. Usiwahi kugonga kusinzia, haijalishi umechoka vipi Amka asubuhi mapema mara moja. 👇🏿👇🏿👇🏿
Tweet media one
16
62
124
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
22 days
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA 1. Wana marafiki wachache sana 2. Wakikuzoea ni waongeaji mno 3. Wana hasira sana 4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe ni vile tu amekuzoea.
36
51
124
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
Ukitaka kuishi kwa amani na furaha kwenye hii dunia mtangulize Mungu katika kila jambo unalolifanya, tafuta pesa kwa njia za halali, samehe walio kukosea, tunza afya yako alafu ishi maisha yako.
13
51
122
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
MAMBO 6 AMBAYO NATAMANI NINGEYAJUA WAKATI NINA MYAKA 25 Haya ni mambo ambayo wewe kijana unaejitafuta ukiyazingatia utawafanya vijana wenzako waamke na wengine wakuite FREEMASON. <Thread/Uzi> Shuka Nayo Kwenye Coment...
9
36
117
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
12 days
@FKihamu Amepotea yule anaetaka kumridhisha mwanamke wake...kwasababu hata wao wanawake hawajui wanataka nini ili waridhike...✍🏿
4
14
140
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
UZI🧵: SIFA ZA MWANAUME IMARA. P.S. ukikuta huna hizi sifa JITATHMINI SANA! Twendeee👇🏿👇🏿👇🏿
Tweet media one
13
38
107
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
Aisee...😂😂✍🏿 Shuka Nayo kwenye coment 👇🏿
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
17
34
111
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Ugumu wa maisha ni kipimo cha akili, unapokosea omba msamaha ni jambo jema🙏🏾
21
40
109
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Maadui ni wengi sana kwenye kivuli cha urafiki. Kuwa makini📌
23
44
107
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
9 months
Kwenye mipango ya maisha yako usisahau kuweka na kifo 🙌.
Tweet media one
12
48
105
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Washeni azam TV niko hewanii😂😂😂👇
Tweet media one
13
23
101
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Wakati mwingine unaweza ukacheka na wengi lakini ukalia na wachache kwasababu wengi watapenda tabasamu lako lakini ni wachache sana watakaothamini chozi lako. Good Morning Familia 👋
34
46
104
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Twitter wanapeana retweet kwa kujuana au wewe ndo hujichanganyi?
15
35
106
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Binamu yako akikupa utapiga au?😀
26
31
107
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
wakati mwengine inabidi ukae kimya kwa sababu hakuna maneno yanayoweza kueleza kile kinachoendelea akilini mwako na moyoni mwako.
10
30
105
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
JINSI YA KUFANYA WATU WAKUOGOPE NA KUKUHESHIMU: <Thread/Uzi>
Tweet media one
11
38
99
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Nikikumbuka kama enzi za nyuma tulikua tunaimba nae kwaya ndo naishiwa asee😂😂😂😁
Tweet media one
11
18
100
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
KUMBUKA HAYA MAMBO 11 KATIKA KILA SIKU ZA UHAI WAKO. UZI 🧵
Tweet media one
9
50
98
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
UZI🧵 TABIA 15 ZA NGUVU ZA WANAUME WA THAMANI YA JUU. PS. Mwanaume mwenye myaka 20-40 kama huna hizi tabia JITATHMINI SANA!!! Shuka nayo...👇🏿
13
35
100
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Kaa kimya katika hali hizi tatu: 1.) Kaa kimya unapokuwa na hasira. 2.) Kaa kimya wakati watu hawathamini maneno yako. 3.) Na kuwa kimya unapotaka kusikiliza watu.
7
31
99
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Ila choper 😂😂😂
Tweet media one
18
21
98
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
mheshimu sana yule rafiki yako ambae hua anakupigia simu ukiwa offline
8
27
98
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
5 months
1. Panga siku inayofuata kabla ya kulala Tengeneza orodha ya mambo ya kufanya kwa siku inayofuata kabla ya kulala Amka na ufanye kila kitu kwenye orodha yako kabla ya kufanya kitu kingine chochote Huu ndio "udukuzi wa tija" pekee unaohitaji.
1
4
96
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
mheshimu sana yule rafiki yako ambae haiwezi kupita siku bila kukutafuta
10
31
95
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Naombeni mnifollow🙄
Tweet media one
23
27
91
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Ugumu haimaanishi kuwa haiwezekani. Amka ukapambane✊🏿
16
37
93
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
maadui ni wengi kwenye kivuli cha urafiki zingatia maneno yao kwenye utani hapo ndio kuna chuki ujifunze
11
39
91
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
UNAPOKUA KWENYE MAHUSIANO YA KIMAPENZI EPUKA HAYA... <Thread/Uzi>
Tweet media one
10
21
92
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
App gani kwenye simu yako unaweza maliza siku nzima hujaingia...!? Nasoma Coment 👇🏿😁
Tweet media one
43
16
90
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
Kila kitu kinawezekana kwenye haya maisha, mtangulize Mungu katika kila hatua yako moja unayopiga, zidisha bidii epuka roho yenye kukata tamaa, mafanikio huja kwa muda wake hakika utafanikiwa katikati ya magumu yote unayopitia🙏🏾
17
33
90
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Mkumbushe mwanao tu kwamba, sio kila aliefanikiwa anafanya kazi kwa bidii na sio kila masikini ni mvivu maisha yana siri kubwa sana😁
Tweet media one
14
13
89
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Kabla ya mechi | baada ya mechi 😂😂😂
Tweet media one
Tweet media two
2
14
86
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
usiwe mwombaji wa mapenzi, kuwa mtoaji wa upendo. watu wazuri sio wazuri kila wakati lakini watu wema daima ni wazuri.
6
24
86
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
sisi sote ni wabaya katika hadithi ya mtu fulani
7
32
86
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
12 days
@CyancutyTz LIKE🙏🏾❤
Tweet media one
0
0
101
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
HAYA MAMBO WAFANYE KUWA SIRI YAKO🤫. -UZI-
Tweet media one
17
34
85
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
SHERIA 10 KWA VIJANA. 1) Kuwa na ucheshi lakini usifanye mzaha kuhusu ndoto na malengo yako. UZI 🧵 👇🏿👇🏿👇🏿
Tweet media one
11
24
84
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Imagine hapa ni kanisani😁
Tweet media one
36
13
83
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Kumbe wanetu hua mnaona tweet zangu mnaruka tuu😢 Huku jobless kichwa kinaniuma nikipeleka akaunti yangu kwa mganga kuangalia kila saa kama nina ban au sina. Aaah...., fresh wanetu kuwa FollowerGhost sio dhambi. Tuishi🤝🏾
11
15
81
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Huyo mchezaji ambae yuko na Ronaldo anaitwaje!?
Tweet media one
17
8
78
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
6 months
Algorithm kama algorithm imeshafanya yake 😂😂😂
Tweet media one
14
8
79
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Mkumbushe mwanao tuu kwamba sio kila masikini ni mvivu na sio kila tajiri anafanya kazi kwa bidii maisha yana siri kubwa sana.
Tweet media one
2
14
82
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Mwenyezi Mungu aendelee kutuepusha na changamoto ambazo pesa haiwezi kutatua 🤲🏿
13
29
81
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Ikiwa unasumbuliwa na HOFU ya jambo lolote au kama unahisi kukata tamaa, fanya hivi...👇🏿 Fungua huu UZI nimekuwekea njia saba za kurudisha uimara wako👇🏿👇🏿👇🏿 <UZI>
Tweet media one
11
50
78
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Kuna wakati....
Tweet media one
11
20
79
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
10 months
Hii imeenda #x @nyuki_malkia aliwahi kuisema.
Tweet media one
1
9
77
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Dear mwanaume tambua kwamba wanawake wanataka kufurahi kila wakati. Haya Hapa Maswali (16) Ya Kuvutia Ambayo Wanawake Wanafurahia Kujibu. 1. Ni kitu gani unaogopa kuuliza mwanaume lakini unataka kujua? UZI 👇🏿👇🏿👇🏿
Tweet media one
6
31
76
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Wakuu nafanyaje hapa😭😭😭
Tweet media one
22
10
77
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
usitafute watu wakupende tafuta watu wakuheshimu sana hakikisha unajifunza ujuzi ambao utakufanya uhitajike kwenye jamii alafu hakikisha kila siku unakua bora zaidi ya ulivyokua jana
9
39
76
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
5 months
2. Amka mapema "Kulala na kuamka mapema Humfanya mtu kuwa tajiri na mwenye hekima" Kuamka mapema hukupa nguvu na wakati wa ziada wa kuanza siku yako kabla ya kila mtu mwingine • Maliza kazi zako muhimu kabla ya wengine kuamka • Furahia siku yako iliyobaki au fanya unachotaka .
1
3
76
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Kuna wakati utu ni bora kuliko umaaarufu
10
24
76
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Mwenyezi Mungu anapotaka kumbariki mwanamume humpa mwanamke bora
8
25
76
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Watu Wakisema Hawaoni Kitu Kizuri Ndani Yako, Wakumbatie Na Kusema Maisha Ni Magumu Kwa Vipofu. Good Morning Familia 🤗
22
33
77
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Shusheni handles zenu mfoliane wakuu. Follow kila handle
Tweet media one
28
16
75
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Sisi wengine maisha yetu yako fresh tu, pesa hatuna na roho mbaya pia hatuna 😇😇
Tweet media one
10
33
74
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Hii haitapata likes nyingi kwasababu haina matusii 🙌
Tweet media one
1
17
75
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Wanaume tuu!!! Imagine una mtoto wako wakike alafu yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mwenye tabia kama zako. Je ungefurahi? Kama jibu ni HAPANA basi BADILIKA.
14
22
72
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Maisha ni yako lakini mazishi ni yetu, punguza majigambo na maringo. Ishi na watu vizuri atakae kuzika humjui...
11
20
73
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Haijalishi wewe ni mzuri kiasi gani, ukiwa mahali pabaya utakua huna thamani.
6
30
75
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Wanawake wanapenda ngono kama vile wanapenda pesa. Wanaume wanapenda amani kama vile wanapenda ngono. Ikiwa unataka uhusiano wako udumu, soma huu uzi👇🏿 🧵
8
25
71
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
Mwanamke akikuuliza umenipendea nini unatakiwa kujibuje...?
11
17
74
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Unaweza kumshauri nini mtu ambae hataki kuingia kwnye Mahusiano.?
13
20
74
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Usilipoteze tabasamu lako la leo kwa kuwaza maumivu yaliokutokea jana.
11
30
73
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Mambo mazuri hutokea unapojitenga na maaovu. Mrudie Mungu wako🙏🏾
9
22
73
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Wanetu nyie muda wote mpo online, hivi mnafanyaga kazi saa ngapi?
13
20
68
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Bro sikia, Mwanamke anaekupenda ukimbip tu lazima akupigie, hata kama awe hana vocha roho yake lazima itakosa amani mpaka ataposikia sauti yako. Sasa wewe fala hapo umempigia zaidi ya mara tatu na meseji kibao na hajapoka alafu unasema kama unapendwa😁 Move on tu hakupendi💔😂
11
24
68
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
SIFA 12 ZA MWANAMKE MZURI 1) Hana marafiki wengi wa kiume. UZI 👇🏿👇🏿👇🏿
Tweet media one
7
16
67
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Siku zote maisha ni mazuri wakati hakuna anayejua chochote kukuhusu wewe. Ishi maisha yako kisiri☝🏿✊🏿
5
17
69
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Yapende maisha yako, chukua picha nzuri, washa mishumaa, soma vitabu, tembea zaidi, cheza kwa muziki unaopenda, jinunulie zawadi, fanya chochote unachotaka ilmradi uwe na furaha. Haya ni maisha yako usiruhusu mtu yeyote akukatishe tamaa.
7
24
72
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Kukataliwa ni baraka, usilie. Wenda Mwenyezi Mungu amekuandalia mtu bora zaidi🤲🏿
12
29
69
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Wakati mwengine tunateseka kwenye maisha sio kwa sababu tumewafanyia ubaya wengine bali ni kwa sababu tumewafanyia wema watu ambao wasiostahili wema wetu.
3
15
70
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Nilijiunga twitter 2022 ↓ Nikaona haieleweki kabisa. ↓ Nikaachana nayo kwa muda mrefu. ↓ Nikaamua kurudi siku moja 2023 ↓ Nikawa addicted hadi leo. Wewe Story yako ipoje?....
8
17
69
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Siri 10 za Kuwa Mgumu na Mwenye Nguvu: 1. Kuwa makini kwa kila mtu na sikiliza zaidi kuliko unavyozungumza.
Tweet media one
8
31
66
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Naitwa Geilart MwanaHisabati Naishi France 😎. Ukisema mimi ni mtoto mdogo nakublock 😂
Tweet media one
14
15
65
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Hapa ukienda kwao wakakuomba mahari ya milioni 200 unaweza kuzotoa!? Nasoma coment wakuu👇👇👇
Tweet media one
Tweet media two
23
10
69
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Mkumbushe mwanao kuwa Mshahara haumfanyi mtu kuwa tajiri bali humpa muhusika fursa ya kushughulikia matatizo na mahitaji yake, asijisahau.
7
25
68
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
4 months
Hivi Alan Walker ni mwanamke au mwanaume!?, maana simuelewagi mimi🤔
25
17
67
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Wakati mwingine unapaswa kufanya uamuzi ambao utavunja moyo wako lakini utaipa roho yako amani 💔
8
29
66
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Unapoona kitu kizuri kwa mtu mwambie, inaweza kuchukua sekunde moja tu kusema lakini kwake ikudumu maisha yake yote.
7
16
68
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
3 months
Boss simu yako inatumia namba ngapi? 😂
Tweet media one
26
12
66
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
Ikiwa anachelea kujibu messages zako mwambie, "hatulazimishi mawasiliano tunaongea na wanao pokea simu zetu kwa hiyo usijione wa maana sana" Linda heshima yako...
3
21
65
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
29 days
usilazimishe kuishi maisha ya juu kuliko kipato chako kutumia pesa zaidi na unayoingiza ni sawa na kujinyonga kiuchumi taratibu
12
29
64
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
1 month
Tunachukiwa....
Tweet media one
6
20
65
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
23 days
wakati mwengine inakubidi uishi na maumivu makali moyoni ili usiwavunje moyo wale wanaokutegemea
19
27
66
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
jitengenezee thamani yako mtu kama hakupendi usimlazimishe na ikiwa atafanya kama anaweza kuishi bila wewe basi msaidie kuifanya hivyo usipende kuonekana mnyonge mbele za watu ili wakuonee huruma, hakuna anaejali maumivu yako nobody cares about your story until you win, so win
5
22
65
@ArthurGeil
MWANAHISABATI
2 months
Usimlilie kamwe mtu aliyekuumiza. Tabasamu tu na useme, ''Asante kwa kunipa nafasi ya kupata mtu bora kuliko wewe'' Tabasamu ni deni
7
17
64