Shiggy Profile Banner
Shiggy Profile
Shiggy

@paulshiggy82

Followers
3,115
Following
5,957
Media
35
Statuses
11,522

love good music 🎧/ watch movies 📽️🎥/ But me is Nationalist and volunteers of This Nation

Dar es Salaam, Tanzania
Joined March 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
R.I.P 92 ya mzuka,,Sote tunapita 🌍🫡
Tweet media one
168
143
4K
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA. 1. Wana marafiki wachache sana 2. Wakikuzoea ni waongeaji mno 3. Wana hasira sana 4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao. Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA...✍️
87
229
1K
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
Mungu atubariki halakati zenu zikajipe...
6
6
66
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
@Be_FrankSr Chukua na hii
Tweet media one
5
15
64
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Ngoja leo tujikumbushie kidogo kwa wale ambaoo tuliongopa kuweka miguu kwenye maji muda wa kujisomea usiku,,kama utaitajii kujua iyoo kitu inatumikaje nichek chapuu Inbox nikupe madini sio kila mwaka unashusha 🤰 wanafatana kama Bar Graphs 😂😂
Tweet media one
18
20
53
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Aya twambie ulinyalika kikosi gani hapo 👇 1. 821 kj Bulombora 2. 822 ki Rwamkoma 3. 823 ki msange 4. 824 kj kanembwa 5. 825 kj mtabila 6. 826 kj mpwapwa 7. 830 kj kibiti 8. 831 kj mqulani 9.832 kj Ruvu 10. 833 kj Oljoro 11. 834 kj makutupora 12. 835 kj mgambo 13. 836 kj mbweni
Tweet media one
64
7
52
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Ivii hii wataalamu imekaaje !! Huo mtungii wa gas utakaa kwelii muda mrefu ?? Au ndo wikii tu umekata 😀🤣😎
Tweet media one
8
5
43
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Siku zote binadamu wako hivi akiwa anakufahamu hapendi kuona umefanikiwa anaona bora AFANIKIWE mtu asiyemjua lakini cha ajabu ukifanikiwa anataka umsaidie akiamini kuwa asiyemjua hawezi kumsaidia,RUDIA TENA KUSOMA..✍️
7
18
34
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Ata usipo omba maombi marefu,Sema ata asantee mungu kwa uzima,afya aliyokupatia siku ya leo,kuna wengi walitamani kufika lakini Haijawa ivyoo, kwanini wewe 🤔!!! Salia na mwenyenzi mungu kutimiza Ndoto,Sema Amina ..
7
12
34
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Usijisumbue Kupima DNA Wewe Piga Mtoto Bila Sababu Utasikia Tu Mama Yake Ataropoka tu 😂😂
10
10
34
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Twitter matembezi hapa ni wapi..
Tweet media one
19
6
31
@paulshiggy82
Shiggy
11 months
Ikawe siku njema kwako mwana wa mungu,leo ukatimizee lengo yako wewe pamoja na familia yako kwa ujumla,salia na mwenyenzi mungu hakika tutatimiza ndoto, morning family 🌄
8
21
31
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@ligendii Shiggy🇹🇿
0
0
29
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Sisi ndo wale bila mungu leo hii ingekuwa Fedhea na Aibu kwa Familia zetu, morning watu wa mungu..🙏
7
13
28
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Maajabu ya mungu katupa leo siku nyingine tena, tusichoke wala kukata tamaa,, Morning family
11
11
29
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
Familia ya X Najua nyie ni watu wenye busara na hekima pia,,kuna tukio moja lilitokea siku za hapo nyuma la mama aliyeondokea na mme wake aliyechukuliwa na mamba mtoni,mama alikuwa na majozi kwa kuodokewa na mme wake,video ipo hapo chini 👇,
4
9
28
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@ligendii Shiggy🇹🇿
1
1
27
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
😂 WAZAZI: mtoto wetu uwezii kumchukuaa kwa mahali ya laki tisa,,mtoto mwenyewe sasa duh😂😂
Tweet media one
6
9
27
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Hakuna aliefanikiwa bila ya kuwa na historia ya maumivu ..kudhauraulika kunyanyasika yote ni vionjo vya mafanikio..✍️
4
7
25
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Kuna watu wanatuzalilisha sana wanaumee,hapa mwanetu kaferii,kwa mfano ningekuwa ndo mie hapa dah wagekubarii kazi mbona 😀🤣🤣
12
10
24
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Leo bhana nipo kwenye pitapita zangu nimekutana na Ex wangu kidogo nimuuwee mjinga yule, Ana bahati yake 🙄😀
14
13
24
@paulshiggy82
Shiggy
11 months
Twitter wajuaji location ni wapi ....!? Nimepigaa nikiwa upande wawapi.....??
Tweet media one
Tweet media two
11
5
25
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
pambana usiku&mchana kwaajili ya watoto wako,siku UKIFA ndg,marafiki,jamaa, awawezii kuwasaidia watoto wako kama vile ungefanya wewe,,pia kuzaliwa kwenye Familia masikini sio shida, !! Shida ni kufaa masikini ndo shida,(TUNZAA 🩸🩸 ) salia na mwenyenz mungu kutimiza Ndoto.✍️
Tweet media one
4
9
25
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
''Utii ukizidi unazaa woga na siku zote woga huzaa unafiki na unafiki huzaa kujipendekeza na hivyo huzaa mauti''..Salia na mwenyenzi mungu naye atakubariki, uwe na siku njema..🙏
7
13
25
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
@Arjun_992 Ndo ivyoo tu
0
0
23
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Umasikini sio DHAMBI...japo sio jambo jemaa,,,tusichoke kupambana kwaajili ya family zetu, mungu anaona mapambano yetu🙏🙏
Tweet media one
2
9
23
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
0
2
20
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Kwenye hii mitandao kama hauna point ya kuongea bora ukae kmy tu make inaweza kukuletea shida wewe na familia yako,,watu wangu wanaangamia kwa kukosaa maarifa,, Rudia tena kusoma
0
7
22
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Weka Siri Mambo Haya Saba, Katika Maisha Yako Usimwambie Mtu Utafanikiwa Sana!..
1
5
20
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
NOTE: Tears of the sun
Tweet media one
5
14
19
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@Kirikuu20 Shiggy🇹🇿
0
1
21
@paulshiggy82
Shiggy
11 months
@gallanemma Ebu nipeni App kali ya kuchukulia movie original kwenye simu make sasaiv sina Tv 😎🤣
10
1
20
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Hawapa walioishika ✖️ Dunia yote ukiishii naoo vizurii utafuraii,,Wafollow wanafollow back chapuu sana, muda wote wapoo 🔥🔥👇👇 @TanganyikaKid @moricelazaro @brian_hommie @gallanemma @paulshiggy82 @EngJubel @buteng_alex @deohaule27 @mshobozipeter @QuoteSankara
6
11
20
@paulshiggy82
Shiggy
6 months
UNATAKIWA UMZIDI MKEO MAMBO 3 *Umri *Akili *Pesa MKE WAKO INABIDI AKUZIDI MAMBO 5 *Subra *Usafi *Upendo *Mipango *Maombi NA MNATAKIWA MUWE SAWA KWENYE MAMBO 3 *Maelewano *Uvumilivu *Heshima
3
13
20
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Mungu azibarikii kazi za mikono yetu,,Iwe siku njema watu wa mungu..🙏
3
4
17
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Mungu abarikii kazi za mikono yetu, Iwe siku njema kwako wewe na family yako, morning family
2
7
18
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Tatizo ni Kwamba Walioenda Shule Wanadhani Wana Akili Kuliko Ambao Hawajaenda 😂..✍️
5
7
19
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
@Neypaul01 ♥️♥️
0
0
17
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Good morning family 🌄
5
10
18
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
@lifeof_nono Ajari ya pikipiki
1
0
19
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
0
0
18
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Mungu atupe kibari cha kufanikiwa kwenye halakati zetu pamoja na familia zetu..🙏
3
7
17
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Hakika mungu Anasikia maombi yako, Anaona pia juhudi zako,usikate Tamaa ata kidogo pambana tu siku yakoo nzurii inakujaa,,good day..✍️
3
6
18
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Ikawe jumapili njema,mungu akusaidie maisha ya baraka kutimiza ndoto yako wewe na familia yako kwa ujumla..✍️
4
9
18
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Mwaka unazidii kuisha,wenda umefanikiwa au ujafanikiwa iyo sio sababu ya kushidwa kusema asante mungu,, tumshukuru mungu kwa kila jambo.. morning 🙏
3
3
17
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Note: Your Network is Your Net worth..✍️
6
9
17
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Tumshukuru mungu tena siku nyingine tena katupa uzima,mungu akasaidie mambo yetu yakajipee, morning family
4
9
17
@paulshiggy82
Shiggy
11 months
Kujiuwaa kisa maisha magumu ni Dhambi kubwa sana kwa mungu,pia umewadharirisha wazazi wako au walezi wako, Bora iyo sperm ingetulia zikaigia zingine wenda zingekuwa bora sana kuliko hii yako,Pambana mpaka Jashoo la mwisho mungu akukuleta Duniani utesekee !!KAZA ACHA KULIALIA
Tweet media one
3
9
16
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
*SHULE ILITUDAI AKILI, MITAA IKATUDAI MAFANIKIO, NA WAZAZI WANATUDAI SHUKRANI* Ikitokea umefika kabla yetu, usitie miba katika njia zetu ! Tumebakiwa na mungu tu ✍️
8
10
15
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
0
0
15
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu Mpole, Mtaratibu na Mnyenyekevu. Mtu anaweza kuwa mpole lakini si mtaratibu Mtu anaweza kuwa mpole lakini hana unyenyekevu. Mtu mpole ni yule asiye mkali na si Mgomvi. Ila pia watu wengi wapole wana hekima, Uvumilivu na busara. Kwa upande
1
6
16
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Tumshukuru mungu tena siku nyingine,hakika amefanya makubwa kwenye maisha yetu
3
8
14
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
KUMBUKA:Unapoharibu maisha ya mtu kwa Uwongo wa makusudi,ichukue kama mkopo maana itarudi kwako na riba kamili,RUDIA TENA KUSOMA..✍️
4
9
17
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
Tumshukuru mungu kwa kila jambo, leo siku nyingine tena,happy sunday Family 🙏
4
7
15
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
Nimeigia Instagram yani kama nimepotea njia vile,kumbe kila nyumba inawenyewe,,😂
0
2
17
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Mungu akafanye njia kwenye changamoto zako za maisha, Muombee sana mungu+jitume+tafuta connection kwa watu, utafika mbali sana ...
1
3
15
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@arusha_icon Shiggy🇹🇿
0
1
16
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Sema nyie wahaya mnasifa sana,kweli soda na ndizi 🤣, BUKOBA TO DAR 🙄😀
7
10
15
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
NUKUU YA LEO: "Kama una familia inayokupenda, marafiki sahihi wachache na chakula mezani; Wewe ni tajiri zaidi kuliko unavyofikiri." ..✍️
1
6
16
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Hello...nawakumbusha jamaa mke wa mtu Au mme wa mtu Ni Hatari kuliko maelezo, Acha kabisaa ⚠️
2
1
16
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
@Neypaul01 🔥🔥🔥
0
0
14
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Huu mwaka mpya sidhani kama mtu bado anachokii na mwenzie,,tusameane,tupendane,maisha yaenderee,,huu mwaka lazima tutoboe kila mtu... Happy New Year 2️⃣0️⃣2️⃣4️⃣
1
3
15
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Mungu atubariki halakati zetu zikajipe siku ya leo, morning family
3
2
15
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@arusha_icon1 Shiggy🇹🇿
0
0
13
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
USIDHANI KILA ANAYEJITENGA NA WATU NI MJEURI AU ANAJISIKIA, HAPANA KUNA WATU TUMEPITIA MITIHANI AMBAYO IMETUFANYA TUWE NA HOFU YA KUZOEANA NA KILA MTU.
1
4
13
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Watu walio hatari sana ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu, wala hawana haja kujifunza zaidi. Hii ni tabia mbaya ambayo huzuia kabisa maendeleo...✍️
0
3
14
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Mungu akatubariki tena kwenye miangaiko yetu ya siku,,eéeeh mwenyezi mungu tupe itajii la moyo wetu...🙏
4
5
14
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Wahenga ni wazee wenye akili waliotutangulia maana siyo kila mzee ana akili kwa sababu hata wajinga wanazeeka.Mjinga anazeeka na ujinga wake.Vifo vya wajawazito vilipokithiri enzi hizo, wahenga walibaini chanzo ni ulaji wa mayai kipindi chote cha mimba na kusababisha mtoto,
2
5
13
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
Tumshukuru mungu kwa kila jambo leo siku nyingine tena, morning family
2
6
14
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Kumekucha watu wa mungu, mapambano yaenderee tulipo ishia jana, halakati zetu zikajipe siku ya leo...
2
6
14
@paulshiggy82
Shiggy
8 months
Iwe siku ya mafanikio katika maisha yako,mungu akakufanye uwe bora na shupavu,, morning family
1
3
13
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
CARS....COUNTRY Toyota,JAPAN Bugatti,FRANCE Mercedes,GERMANY Lamborghini,ITALY Ford,AMERICA. Bentley,BRITAIN Volvo,SWEDEN Lexus,JAPAN BMW,GERMANY Tesla,AMERICA Jaguar,BRITAIN Audi,GERMANY Nissan,JAPAN LandRover, BRITAIN Rolls Royce, BRITAIN
2
6
14
@paulshiggy82
Shiggy
6 months
Mungu akabariki halakati zetu tusirudii mikono mitupuu kwenye viota vyetu, morning family
3
7
14
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Hallo waungwana leo sina neno lolote nataka tu mnipush,kampani yenu leo nifikishe ata buku follows,naomba msaada wenu @paulshiggy82
0
8
13
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
Tunakushukuru mungu kwa huu uzima tena, mungu akabariki halakati zenu zikajipe 🙏
4
5
12
@paulshiggy82
Shiggy
7 months
TANESCO..TANESCO..TANESCO..adi huku leo mmekata, mmepata wapi huo ujasili 🙄😂😂
1
2
13
@paulshiggy82
Shiggy
11 months
Siku zote ukitaka kuwa mtu mwenye Amani na Akili iliyotulia basi nyamaza kana kwamba huelewi, na puuza kana kwamba huoni, ila kumbuka Hii, FIKILIA UKIWA MWENYEWE NAAMINI UTAFANYA MAAMZI MAZURI SANA,✍️
Tweet media one
4
6
13
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
📌Hakuna atakaekutoa kwenye hali uliyopo bali wewe mwenyewe. 📌Usiogope kutupa aliekutupa kwa vitendo vyake, maisha ni yako, usiogope kumshusha asiestahili kuendelea safari na wewe. 📌Tambua mapungufu yako, yakubali ili uweze kujibadilisha, usiogope sababu kila mwanadamu ameumbwa
2
4
13
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@jitumaji1 Shiggy🇹🇿
0
0
12
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@alikomaster Shiggy🇹🇿
0
0
12
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
USIDHANI kila anayejitenga na watu ni mjeuri au anajisikia, hapana kuna watu tumepitia mitihani ambayo imetufanya tuwe na hofu ya kuzoeana na kila mtu...
0
5
13
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
2
0
12
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Ni siku nyingine tena tumshukuru mungu kwa kila jambo,kafanya makubwa sana kwenye maisha yetu, morning family 🌄
1
3
12
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Acha uzitoo wewe Fanya chapu chapu kumenongaa hukuu,,mfollow..kacha @gallanemma ,akuadd upate follows wengi mapema unyanyuke na account yako..🔥🔥🔥✍️
5
9
13
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Tunashukuru mungu tena leo siku nyingine,,ndo zile siku za lalaa salama,tumebakiwa na siku 02 ,ebu jiulize ni % ngapi umefanikiwa na % ngapi umefeli kwenye mambo yako !!! Tuseme amina ata kwa uzima tulionao wengi walitamani sana kufika lakini aikuwa ivyoo..🙏
1
4
12
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
Wallpaper Thread..!🔥🔥 Drop the best of yours !❣️👇👇
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
2
7
11
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Siku nyingine tena tumshukuru mungu, mapambano yaenderee 🙏
3
5
11
@paulshiggy82
Shiggy
10 months
Tumshukuru mungu kwa hii siku nyingine tena,, Morning family 🌄
1
3
12
@paulshiggy82
Shiggy
1 year
@zeelanyetii7 Shiggy🇹🇿
0
0
11
@paulshiggy82
Shiggy
9 months
Ikiwa umeamka salama basi mshukuru mungu,ata kama mambo yako ayajafanikiwa adi sasaivi kumbuka ata uzima ulionao basi ni zawadi tosha kwako kutoka kwa mungu... morning family 🙏
2
5
11