SIFA 4 ZA WATU WAKIMYA.
1. Wana marafiki wachache sana
2. Wakikuzoea ni waongeaji mno
3. Wana hasira sana
4. Kuna mengi yanaongea vichwani mwao.
Uonapo mtu mkimya anaongea sana na wewe, usiseme ni muongeaji kisa anaongea na wewe, ni vile tu AMEKUZOEA...✍️
Ngoja leo tujikumbushie kidogo kwa wale ambaoo tuliongopa kuweka miguu kwenye maji muda wa kujisomea usiku,,kama utaitajii kujua iyoo kitu inatumikaje nichek chapuu Inbox nikupe madini sio kila mwaka unashusha 🤰 wanafatana kama Bar Graphs 😂😂
Siku zote binadamu wako hivi akiwa anakufahamu hapendi kuona umefanikiwa anaona bora AFANIKIWE mtu asiyemjua lakini cha ajabu ukifanikiwa anataka umsaidie akiamini kuwa asiyemjua hawezi kumsaidia,RUDIA TENA KUSOMA..✍️
Ata usipo omba maombi marefu,Sema ata asantee mungu kwa uzima,afya aliyokupatia siku ya leo,kuna wengi walitamani kufika lakini Haijawa ivyoo, kwanini wewe 🤔!!! Salia na mwenyenzi mungu kutimiza Ndoto,Sema Amina ..
Ikawe siku njema kwako mwana wa mungu,leo ukatimizee lengo yako wewe pamoja na familia yako kwa ujumla,salia na mwenyenzi mungu hakika tutatimiza ndoto, morning family 🌄
Familia ya X Najua nyie ni watu wenye busara na hekima pia,,kuna tukio moja lilitokea siku za hapo nyuma la mama aliyeondokea na mme wake aliyechukuliwa na mamba mtoni,mama alikuwa na majozi kwa kuodokewa na mme wake,video ipo hapo chini 👇,
pambana usiku&mchana kwaajili ya watoto wako,siku UKIFA ndg,marafiki,jamaa, awawezii kuwasaidia watoto wako kama vile ungefanya wewe,,pia kuzaliwa kwenye Familia masikini sio shida, !! Shida ni kufaa masikini ndo shida,(TUNZAA 🩸🩸 ) salia na mwenyenz mungu kutimiza Ndoto.✍️
''Utii ukizidi unazaa woga na siku zote woga huzaa unafiki na unafiki huzaa kujipendekeza na hivyo huzaa mauti''..Salia na mwenyenzi mungu naye atakubariki, uwe na siku njema..🙏
Kwenye hii mitandao kama hauna point ya kuongea bora ukae kmy tu make inaweza kukuletea shida wewe na familia yako,,watu wangu wanaangamia kwa kukosaa maarifa,, Rudia tena kusoma
UNATAKIWA UMZIDI MKEO MAMBO 3
*Umri
*Akili
*Pesa
MKE WAKO INABIDI AKUZIDI MAMBO 5
*Subra
*Usafi
*Upendo
*Mipango
*Maombi
NA MNATAKIWA MUWE SAWA KWENYE MAMBO 3
*Maelewano
*Uvumilivu
*Heshima
Kujiuwaa kisa maisha magumu ni Dhambi kubwa sana kwa mungu,pia umewadharirisha wazazi wako au walezi wako, Bora iyo sperm ingetulia zikaigia zingine wenda zingekuwa bora sana kuliko hii yako,Pambana mpaka Jashoo la mwisho mungu akukuleta Duniani utesekee !!KAZA ACHA KULIALIA
*SHULE ILITUDAI AKILI, MITAA IKATUDAI MAFANIKIO, NA WAZAZI WANATUDAI SHUKRANI*
Ikitokea umefika kabla yetu, usitie miba katika njia zetu ! Tumebakiwa na mungu tu ✍️
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtu Mpole, Mtaratibu na Mnyenyekevu.
Mtu anaweza kuwa mpole lakini si mtaratibu
Mtu anaweza kuwa mpole lakini hana unyenyekevu.
Mtu mpole ni yule asiye mkali na si Mgomvi.
Ila pia watu wengi wapole wana hekima, Uvumilivu na busara.
Kwa upande
Huu mwaka mpya sidhani kama mtu bado anachokii na mwenzie,,tusameane,tupendane,maisha yaenderee,,huu mwaka lazima tutoboe kila mtu... Happy New Year 2️⃣0️⃣2️⃣4️⃣
USIDHANI KILA ANAYEJITENGA NA WATU NI MJEURI AU ANAJISIKIA, HAPANA KUNA WATU TUMEPITIA MITIHANI AMBAYO IMETUFANYA TUWE NA HOFU YA KUZOEANA NA KILA MTU.
Watu walio hatari sana ni wale ambao wanafikiri kuwa wanajua kila kitu, wala hawana haja kujifunza zaidi. Hii ni tabia mbaya ambayo huzuia kabisa maendeleo...✍️
Wahenga ni wazee wenye akili waliotutangulia maana siyo kila mzee ana akili kwa sababu hata wajinga wanazeeka.Mjinga anazeeka na ujinga wake.Vifo vya wajawazito vilipokithiri enzi hizo, wahenga walibaini chanzo ni ulaji wa mayai kipindi chote cha mimba na kusababisha mtoto,
Siku zote ukitaka kuwa mtu mwenye Amani na Akili iliyotulia basi nyamaza kana kwamba huelewi, na puuza kana kwamba huoni, ila kumbuka Hii, FIKILIA UKIWA MWENYEWE NAAMINI UTAFANYA MAAMZI MAZURI SANA,✍️
📌Hakuna atakaekutoa kwenye hali uliyopo bali wewe mwenyewe.
📌Usiogope kutupa aliekutupa kwa vitendo vyake, maisha ni yako, usiogope kumshusha asiestahili kuendelea safari na wewe.
📌Tambua mapungufu yako, yakubali ili uweze kujibadilisha, usiogope sababu kila mwanadamu ameumbwa
USIDHANI kila anayejitenga na watu ni mjeuri au anajisikia, hapana kuna watu tumepitia mitihani ambayo imetufanya tuwe na hofu ya kuzoeana na kila mtu...
Tunashukuru mungu tena leo siku nyingine,,ndo zile siku za lalaa salama,tumebakiwa na siku 02 ,ebu jiulize ni % ngapi umefanikiwa na % ngapi umefeli kwenye mambo yako !!! Tuseme amina ata kwa uzima tulionao wengi walitamani sana kufika lakini aikuwa ivyoo..🙏
Ikiwa umeamka salama basi mshukuru mungu,ata kama mambo yako ayajafanikiwa adi sasaivi kumbuka ata uzima ulionao basi ni zawadi tosha kwako kutoka kwa mungu... morning family 🙏