Adonia Damas Profile Banner
Adonia Damas Profile
Adonia Damas

@donrugi

Followers
1,743
Following
1,182
Media
665
Statuses
8,454
Explore trending content on Musk Viewer
Pinned Tweet
@donrugi
Adonia Damas
3 months
AFRICAN MUST WATCH THIS.👇🌍 we will not allow sub saharan africa to escape debt The job of western academics is to convince africans, they have to keep doing what they are doing, and to show them "it's your fault that you're poor, it's not our fault" we can not afford to
16
91
108
@donrugi
Adonia Damas
3 months
Tweet media one
42
10
460
@donrugi
Adonia Damas
3 months
Tweet media one
2
45
136
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@datius_tz Hakuna mchekeshaji wa Stand up comedy East Africa kama huyu dogo. Kama hauna D mbili hauwezi kuelewa 😂
11
1
133
@donrugi
Adonia Damas
5 years
0
0
114
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@moodewji Anaitwa Saira Dewji, Alizaliwa na kukulia Dar es Salaam amesoma India (high school) na USA (BA in marketing ). Yeye ni mama wa watoto watatu. Ni mke halali wa @moodewji Happy birthday kwake 📌
Tweet media one
25
5
112
@donrugi
Adonia Damas
3 months
Tweet media one
4
39
103
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@RSBNetwork What about this 👇🏽😂
Tweet media one
38
8
100
@donrugi
Adonia Damas
2 months
@fbuyobe Wow 😮 nimeipenda sana. Lakini katika hili hata serikali yenyewe ya kenya inatakiwa kupongezwa kwa kujali nankuheshimu wananchi. Hapa Tanzania maandamano yamefanyika kupitia CDM lakini hakuna kilicho badirika, Sina uhakika labda kwakuwa yalikuwa ya amani. Ila kenya wametisha💪
10
3
92
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Nimefatilia kila baada ya dakika 1 kwa kila clip @MsigwaPeter anasisitiza yupo tayari kuachia hata ngazi kama haruhusiwi kuwaza tofauti. Hapa nakumbuka maneno ya @zittokabwe ambayo msigwa kayapigia mstali 👌🏽 ( USIPO ONGOZA UTAONGOZWA, & MTU AKIWAZA TOFAUTI NA WEWE SIO ADUI)📌💜
@kigogo2014
Kigogo Media
3 years
Ngurumo anapigania uhuru wa kujieleza lakini anatishia watu wanaotoa maoni huru Nyie ni kikundi cha ugaidi na hamna sifa ya kujiita chama cha demokrasia mxxxx
11
13
88
2
15
82
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@HKigwangalla HK kila anapo amua kuzungumzia suala la mpira anakuwa na fact, sijajua kwanini wengi wanaamua kumuona kwa jicho baya. Hapa kwa asiye na akili bado ataamini anachuki na Mo lakini analengo zuri na mpira wetu. Hesabu za Yanga na Simba hata kama zinaweza kutofautiana lakini haziwezi
29
6
81
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@godbless_lema Hongereni uchaguzi umeisha salama Sugu kashinda na Msigwa kashindwa inatakiwa kuwa hivi kila chaguzi hata kama watu watasema mambo mengi sijui rushwa sijui nini, kila chaguzi haiyakosi maneno. Sisi tunasubiria huu ukawe mwendelezo hadi kwenye ngazi za juu, Tunategemea kumuona
15
2
82
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@Roma_Mkatoliki Niamini Mimi hii nyimbo unatakiwa uisikilize si chini ya mala 5 ndiyo uielewe vizuri tena ukiwa umetulia TULIII. Rostam hawajawahi niangusha 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
3
1
74
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@elonmuskADO currently am using an iPhone but I think this one will be the best 😂 so the answer is A ( Yes )
Tweet media one
6
1
70
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@Roma_Mkatoliki Mungu kawajalia akili nyingi za kutengeneza vitu na technologies lakini mambo mengine yasiyo ya msingi yenye kipato kidogo kama kucheza tunayahangaikia sisi kwakuwa hatuna namna. Sasa tushindwe kutengeneza simu, gari, ndege tushindwe na kucheza 😂😂 mungu hakipi kila kitu
7
3
73
@donrugi
Adonia Damas
2 months
@eastafricatv Yeye akope tu tena atalipia Rais ajaye. ( mawazo ya kawaida )
6
0
74
@donrugi
Adonia Damas
5 years
0
1
53
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@Sirjeff_D Yani hapo umeamua kwa makusudi kuutukana ukoo mzima wa @godbless_lema 😂😂
9
1
72
@donrugi
Adonia Damas
5 years
0
0
57
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@EduTalkTz @SuluhuSamia @IssaShivji Sad story. Imenifanya niikumbuke na hii video.
2
11
70
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@jakepaul 😃😃😃51-0
0
9
64
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@masoudkipanya Hilo yai nimeshindwa kabisa kulielewa. Ilianzia hapo, yai linapasuka, kifaranga kinataka kutoka, kikarudishwa ndani. Post ya pili baada ya kurudishwa yai likafungwa kamba, Post ya tatu yai likawekwa juu ya meza, kisha likadondoka chini Post ya nne kifaranga kikatoka baada ya
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
Tweet media four
12
7
69
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@godbless_lema Hapo umemweza Lissu sasa, maana anakitaka kiti 🪑 🪑💺🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑🪑 Maswali yangu: 👉Kwanini umeipin hii post? 👉Kwanini umeitoa hii public ( una lengo lipi )? Umemalizia mwisho wa post kwa kusema Nanukuu
36
5
68
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@mangekimambi Duh hatari miti 100 parefu sana. Lakini mange wewe kakuambia nani🤔
4
1
64
@donrugi
Adonia Damas
2 months
@MwijakuBurton Mwijaku niuzie Mjengo wako Milion 100 ongezea kwenye hela ya kumlipa @masoudkipanya
1
0
67
@donrugi
Adonia Damas
3 months
Tweet media one
0
0
66
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@moodewji 😂😂😂😂
10
4
65
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@Sirjeff_D mm nahisi ni kwasababu wanadeal na watu wengi wanao penda kufatilia mambo yao hayo hayo unayo yaona yakipuuzi. Instagram ina watumiaji wengi kuliko X. Na mastar shida yao ni kazi zao ziende haraka. X huku imekaa kama darasani 😀 Siasa sana, na biashara
3
1
62
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Hii ndio @ACTwazalendo Chama kiongozi cha upinzani. Kama hautaki njoo uniue napatikana sumbawanga 😂
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
16
11
60
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Kwa hiari yangu mwenyewe, niliichagua, naichagua na nitaendelea kuichagua na kuipenda @ACTwazalendo
Tweet media one
2
15
62
@donrugi
Adonia Damas
7 years
Mpenzi Nikama udemu 1 Wapenzi ni kama Una dem 2 Kucheet ni kama unadem 3 Nivita ukishikwa na dem wa 4 Na mpila kuvua ni game ya 5 Uterezi ndo utamu wa amri ya 6 Danger days kwa demu ni siku ya 7 Ni hatali ukipiga ile siku ya 8 Ubaba ni baada ya miezi 9.. @nikkwapili @JohMakini
4
6
56
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@mangekimambi Mange kama mange halafu Kimambi
Tweet media one
12
2
58
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@lifeofmshaba Kama kweli aliyasema hayo hata kabla ya uongozi wa Kikwete kupita, ukapita ikawa hivo akaja magufuri kisha Samia. Itakuwa na asilimia kubwa sana kuwa Upinzani wanaenda kuiongoza nchi. Na hapa ndio napata picha kuwa zitto anaenda kuwa rais ajae 📌
Tweet media one
Tweet media two
28
13
59
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Kaka @Naytrueboy kazi yako nzuri, sema kwasababu umedai muda ni mchache ningekuongezea mambo mwngine 😁. Chakufanya tunaomba mwendelezo wake tena. Tufanye hii ni episode 1 OMBI LANGU NINAIMANI LITAKUBALIWA 🤗 👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽 SIKILIZA HAPA
Tweet media one
1
6
54
@donrugi
Adonia Damas
7 years
Wachungaji na mashekhe wanatangaza Kuwa mwaka huu ni mwaka wa neema, hata mimi naamini lakini nchi nayo Nikama haijawa tayari kuyapokea mabadiriko hayo, yanayo tabiliwa na watu wa Mungu. nchi gani ambayo kila siku inaneema ya kupata Hela ya mchango wa marehemu😅😅 . @zittokabwe
3
8
56
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@donrugi
Adonia Damas
3 months
Mwaka 2013. Mugabe: "Kama Obama anataka nihalalishe mapenzi ya jinsia moja, naomba nimuoe yeye kwanza kama mfano" 📌
Tweet media one
0
1
20
0
1
53
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@mangekimambi Kuna kipindi nilikuwa nasikia nyuma ya Samia yupo mstaafu Kikwete, leo nasoma kuhusu Abdul tena. Hii nchi ina mambo mengi sana 😂 Anyway mimi kazi yangu kusoma na kusikiliza
8
1
54
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@jacksonhinklle His mother lives Here 😳😳😳😳
14
0
52
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Askofu Mwamakula, @AdoShaibu (Katibu Mkuu ACT Wazalendo), @SemuDorothy (Kaimu Mwenyekiti, ACT Wazalendo) na @fatma_karume . Kuelekea Zanzibar kwenye Maadhimisho ya Maisha ya Maalim Seif.🙏🏼
Tweet media one
1
19
51
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@kigogo2014 Wanasiasa sio maadui eti wasikutane, wasiongee. Vyama vya siasa sio makundi ya kigaidi eti kwasababu kila mmoja yupo upande wake basi hawatakiwi kukutana na kuongea. Siasa haiwezi kuwa hivo, nitasikitika sana endapo kuna atakaye ielewa hii picha vibaya wakati hao wote wa 🇹🇿 🙏🏼
2
0
45
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@Sirjeff_D Kauli yako imenifanya niikumbuke hii video walahi 👇👇👇👇
@donrugi
Adonia Damas
3 months
AFRICAN MUST WATCH THIS.👇🌍 we will not allow sub saharan africa to escape debt The job of western academics is to convince africans, they have to keep doing what they are doing, and to show them "it's your fault that you're poor, it's not our fault" we can not afford to
16
91
108
3
15
45
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Seven days ahead @ACTwazalendo
Tweet media one
0
7
42
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@CarolPrim3 Painful than losing $1M😂
8
0
44
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@SimbaSCTanzania Admin acha kujitoa ufahamu jibu unalijua vizuri, hakuna mechi ilikiwa bora msimu mzima kama hii 👇👇
Tweet media one
0
0
45
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@donrugi
Adonia Damas
3 months
Aliye fanya hivi sijapenda 😂😂
Tweet media one
0
3
9
2
3
44
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@Roma_Mkatoliki Kwa uelewa wangu nilijua kwa7bu umekaa kwenye game muda mrefu unajua kama mziki ni biashara Yaani unataka kuwachagulia bidhaa ya kuuza watu wenye maduka Wakati kila mtu anawateja wake na namna alivyo amua kuendesha biashara yake. Album kali ila haina maana kila mmoja afanye hivo
8
3
43
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@Sirajitz1 Nimecheka sana ulipo sema Umekuwa ukitoa onyo sana halafu unaona haueleweki 😂😂 wewe kama nani duniani utoe onyo. Anyway maoni yako yapo sahihi sana ni vile tu unajaribu kuingilia biashara za watu. Habari ya kweli inayo sikitisha ni Kanisa imekuwa biashara
0
0
43
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@ExMayorUbungo @Jambotv_ Soon utaona na wao wapo kimya. Kuna kipindi Millard na Global walikuwa hivo lakini sijui nini kilitokea. Media zetu hazina uhuru kuogopa kufungiwa labda. Kuna muda nazichukia lakini ukifikiria upande wa biashara unawaona hawana kosa.
2
1
44
@donrugi
Adonia Damas
3 years
0
0
40
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@datius_tz @iamkizyh Mbona hajakaa kibro
3
0
42
@donrugi
Adonia Damas
3 years
"31/10/2021,Halmashauri Kuu ya Chama Taifa itaketi kwenye kikao cha kawaida katika Ukumbi wa Hoteli ya Landmark uliopo Ubungo,Dar es salaam.Kikao hicho kitatanguliwa na Kamati Kuu itakayoketi 30/10/2021 katika Ukumbi huohuo." N/Katibu wa Uenezi @JaneRithe #ACTHalmashauriKuu2021
Tweet media one
1
16
40
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@Roma_Mkatoliki Nianze kukujibu hili la utani kuhusu Hanscana. Hanscana mwenyewe tarehe 27 mwezi wa kwanza mwaka 2023 aliwapost Kenny na Ivan kuleta mapinduzi ( appriciation ) kama ilivyo kwenye picha nimekuwekea picha kama haukuipata 😀. Kisha tuendelee👇 Hata hivo nashangaa producers na
Tweet media one
2
5
42
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Washiriki wa Mafunzo ya Kuwajengea Wanawake Uwezo Kiuongozi yaliyotolewa na ALN wakiwasilisha miradi binafsi wanayoiendesha @Mwanaishamndeme Katibu @NgomeyaVijana & @BonfasiaMapunda Naibu Katibu wapo Jijini Cape Town Afrika ya Kusini kwa ajili ya Mahafali ya Mafunzo hayo
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
17
39
@donrugi
Adonia Damas
2 months
@godbless_lema “Siwezi kuuza Utu wangu kwa vipande 30 vya fedha au Cheo….Spika Ndugai aliniita akaniambia ndugu yako anataka Uhamie CCM, nikamwambia CCM siendi bora nisiwe Mbunge” Mchungaji Peter Msigwa, Tarehe 30/12/2023.
Tweet media one
5
5
40
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@SimbaSCTanzania Baada ya haya matokeo ya leo. Natamani sana Club ya @SimbaSCTanzania impatie Juma mgunda kabisa mkataba wa ukocha. Mgunda anauwezo mkubwa sana unaochukuliwa poa na uongozi wa Simba. Utashangaa anamaliza msimu vizuri kabisa na atairudisha Simba sehemu yake na kuipeleka Club
Tweet media one
Tweet media two
6
3
41
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@HKigwangalla hivi @HKigwangalla sorry, kama unaikumbuka hii picha. Wakati huu ulikuwa unafanya kazi gani au ulikuwa umejiajiri kwenye jambo gani 🙏
Tweet media one
27
3
39
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@millardayo Labda atakuwa mzuri jimboni kwake, lakini Bungeni kila akisimama anaongeaga utumbo sana. Ni vile ni manager wa msanii ninaye mkubali hadi kufa lakini hamna kiongozi hapo.
5
1
38
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@MwijakuBurton Mwijaku hii post uliiweka zamani, ukaja kuirudia tarehe 20/03/2024. Umeirudisha tena na haujaedit kitu chochote. unapoint nzuri hata kama umedanganya kwenye namba 600k sio $259.167 na 1M sio $431.977 siku nyingine ukumbuke kuedit kwanza 😂 Swali ninalo jiuliza ni kwanini hii
Tweet media one
8
2
39
@donrugi
Adonia Damas
5 years
My playlist 1: Moyo by @VanessaMdee 2: we endelea tu @MwanaFA 3: panga by @Wakazi 4: chuchumaa by @Rayvanny 5: bugana by @bill_nass 6: sumaku by @africanboyJUX 7: Nini shida by @mayungaa 8: Raha by #marioo 9: my boo by @harmonize_tz 10: pusha ft @AslayIsiaka
2
5
37
@donrugi
Adonia Damas
5 years
0
0
27
@donrugi
Adonia Damas
5 years
0
0
32
@donrugi
Adonia Damas
3 years
1
0
32
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Si mara ya kwanza kwa @HESLBTanzania kutoa mkopo wa kiwango kidogo kwa wanafunzi.2016 kuna wanafunzi walipewa hadi elf 5 kama mkopo kwa mwaka.Baada ya wanafunzi kupiga kelele.20/10/2016,saa 2 usiku Waziri Prof.Ndalichako kupitia TBC akaagiza bodi kupanga mikopo upya @abdulnondo2
Tweet media one
1
11
36
@donrugi
Adonia Damas
6 months
@Sirjeff_D Ni kama ilivyo kwa Diamond anamiliki asilimia 45 wasafi media akiwa na wenzake hao wawili.
0
4
36
@donrugi
Adonia Damas
2 months
Tweet media one
4
5
29
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@millardayo Makonda hata kama unaweza umchukie au usimpende vipi, lakini ni mtu mwenye nyota yake, kila anapo kaa, anapowekwa, anapo onekana lazima pachangamke. Lazima media zimfatilie na anajua namna ya kufanya matukio ya kuvutia media zote. Kwa ufupi makonda ili asifatiliwe ni asiwe na
6
2
33
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@AfricaFactsZone Mbwana Samatta 🇹🇿 won the Greek Super League with PAOK FC.
Tweet media one
1
6
31
@donrugi
Adonia Damas
7 months
@ExMayorUbungo Yani kinacho kuumiza hadi sasa ni mlitamani kumuona akiendelea kuongoza miaka yote kama @freemanmbowetz aliye nunua kifurushi cha bila kikomo 😂😂. Mwami anastaafu ndiyo 🤞
7
0
32
@donrugi
Adonia Damas
6 months
@Roma_Mkatoliki Nilijua tu haya yatatokea 😂 @Roma_Mkatoliki kuna ujumbe wako hapa toka kwa Chidi benzi anataka apewe hela. Ile laki uliyo mpatia haitoshi. Anadai jina la wimbo lake, kazi imefanya vizuri ila malipo vi cent 😀. Mfanyie mpango kaka hata miti mitano
8
4
33
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Hotuba kwa Taifa. Usikose kufuatilia. @ACTwazalendo @zittokabwe
Tweet media one
Tweet media two
3
11
32
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Changia mkutano mkuu maalum wa @ACTwazalendo
Tweet media one
0
15
32
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@mangekimambi Hapo utablock wote sasa maana ndio mchezo wa huku 𝕏 unatakiwa kuzoea hilo mapema sana. Hao hao wanaoweka matangazo ndio hao wanaokufatilia pia
2
0
29
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@kigogo2014 MAONI YA SHABIKI WA SIMBA KOCHA AFUKUZWE 🤗🤗🤗
1
5
30
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@Roma_Mkatoliki Kwa matumizi gani sisi uswahilini eti msosi 200k kwa mwezi, kodi 500k, umeme na bill sijui gas eti 140k dah 😂😂😂😂
2
1
30
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@moodewji Hapa umefanana sana na staring la kihindi. Imekosekana sauti ya Juma Khan tu 😀
Tweet media one
3
0
28
@donrugi
Adonia Damas
4 months
@Roma_Mkatoliki Kwahiyo unataka wote tusiwe na adabu kama wewe ambaye mzazi wako kashindwa kukulea vizuri. Hivi mzazi wangu naanzaje kumsalimia kihuni hivo 😂
3
0
26
@donrugi
Adonia Damas
3 months
@ahmed__ally Semaji letu
Tweet media one
0
1
26
@donrugi
Adonia Damas
3 years
Unampa ada mwanafunzi Tsh. 400,500 hadi Tsh. 256,000 kati ya Tsh. 3,000,000 kati ya 2,000,000 kati ya 1,500,000 ambayo mwanafunzi anapaswa lipa chuo, umemsaidia nini huyu mwanafunzi? @abdulnondo2 ✍️✍️✍️
Tweet media one
2
13
29
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@Robkidayo PM 👉🏽 post meridiem AM 👉🏽 ante meridiem
3
2
28
@donrugi
Adonia Damas
2 years
0
0
27
@donrugi
Adonia Damas
2 months
@YoungAfricansSC @Caamil8 Itazame vizuri hii picha halafu niambie ulicho kielewa 🫡
Tweet media one
7
1
28
@donrugi
Adonia Damas
7 years
My playlist 1 _ hesabu from @nikkwapili 2_sumu from @FidQ 3_40 mill from @Tyga 4_mbwa koko from mr blue
0
1
28
@donrugi
Adonia Damas
3 years
@jakepaul Watch this
3
3
24