I think people who are like me ,
Who think like me ,
Are melting away like snow ,
They have no place to express themselves.
There are horizontal corpses
and vertical corpses perhaps we're second kind .
Kwa Waliopanda SGR Kwenda Dodoma Nakmba Kuulizia Ukbali Kutoka SGR Station Ya Dodoma Mpaka Stand Ya Mabus Au Dodoma Center ni Umbali Gani Na Gharama Kiasi Gan?
@julip202
Consistency ni miezi miwili tu !
Mazoezi .
Lishe (Chakula Chenye Wingi Wa Protini, Zinc , Wanga)
Kunywa Maji Mengi ( At least 5L per day from morning to night)
Kuoga Maji Ya Baridi Kila Baada Ya Mazoezi .
Kupata Muda Mzuri wa kupumzika (Kulala) ' 8hr
Matunda.
Cancel porn
Huwa mnapata Wapi Ujasiri wa kupiga mtu picha kwenye usafirishi wa Umma Au Barabarani na kupost hizo picha social media ?
Hivi Angekuwa Dada/Baba/Mama/Shangazi/Mjomba And other related blood Ungekuwa na Furaha kwa jinsi watu wanavyocomment kuhusu hiyo picha?
Vipi kupostiwa?
Kadri Unavyozidi kuzini ndivyo unavyozidi kupenda na kuona ni jambo la kawaida lakini zinaa ni uchafu na dhambi yenye kulipwa na wazazi wako , Chunguza Wazazi wa vijana wanaozini utajua wazazi wao nao watoka na watu wengine ( nje ya ndoa).
#Achazinaa
@julip202
Usitoe Ushauri kama unaona hautasaidia kitu chochote , Usitukane kwa sababu kila mtu ni mwenye kutenda makosa .
NB; TUBIA KABLA YA KUFANYA MAAMUZI MAGUMU .