Caroline  Profile Banner
Caroline  Profile
Caroline 

@CarolineURT

Followers
2,036
Following
957
Media
43
Statuses
507

Beauty with Brain | I pay my Bills

Dar es Salaam, Tanzania
Joined September 2023
Don't wanna be here? Send us removal request.
Explore trending content on Musk Viewer
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Wasafi wapimeni watu akili kabla ya Interview
Tweet media one
8
18
68
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Mke mzuri na mwenye Heshima hubeba Salary yake na kupiga goti mbele ya mme wake kisha husema “Sweetheart hizi hapa pesa zetu”
10
27
61
@CarolineURT
Caroline 
1 year
2023/24 Qualified teams for CAF CL from Tanzania 🇹🇿 Feisal alikuwa mbele ya muda na kuona mbali sana 🤣🤣
Tweet media one
2
2
47
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Nyie Utopolo hapa ni wapi kwani si ndiyo 𝐊𝐢𝐠𝐚𝐥𝐢😂
Tweet media one
4
7
36
@CarolineURT
Caroline 
9 days
Boni Yai ana nyumba nzuri kuliko HQ ya CHADEMA
5
3
38
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Duuh Ukweli kabisa Yanga SC hatutoboi hapa!🥴
Tweet media one
3
1
35
@CarolineURT
Caroline 
9 days
Mme au mke akikucheat unatakiwa ufanyeje?
6
2
26
@CarolineURT
Caroline 
8 days
Mapenzi ni nini? Eleza kwa kifupi tu. Acha misifa😉
4
7
24
@CarolineURT
Caroline 
1 year
CAF CL Group stages, Yanga SC itavuta mkia kama tunavyoona!😅
Tweet media one
0
0
21
@CarolineURT
Caroline 
1 year
________MJADALA_____ Baada ya Billionea Elon kuibadili Twitter na kuwa 𝕏, kaiongezea au kaipunguzia mvuto? Tujadili
Tweet media one
Tweet media two
1
1
20
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Kesho 𝗧𝗮𝗶𝗳𝗮 𝗦𝘁𝗮𝗿𝘀 tukiwa ugenini tutaifunga Algeria na kufuzu kucheza AFCON 2024. Baada ya kufuzu tutatwaa hiyo ndoo kwa mara ya kwanza katika Historia. Sema Amen!
Tweet media one
1
1
20
@CarolineURT
Caroline 
9 days
Lema anamtukana Rais kupitia stori za mama yake. Ndio nimeamini haka kajamaa hakanaga Shukrani. Hopeless kabisa!
3
1
18
@CarolineURT
Caroline 
11 days
@iamcleopatricia Mimi nilianza 2021 kwa laki 8 tu na Friji la Depot. Saivi Liquor store yangu ina thamani ya 20M
1
0
18
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Hamjambo Ndugu zetu wa Mtwara - 𝐆𝐚𝐬 𝐂𝐢𝐭𝐲!
Tweet media one
0
0
14
@CarolineURT
Caroline 
11 months
🖐️"Ayubu ni bora kuliko Manula" - Discuss
Tweet media one
0
1
14
@CarolineURT
Caroline 
21 days
Hapa ni Moshi Mjini, Uchagani kubaya sana. Wao kuringa sana 🤭🙌
Tweet media one
0
0
15
@CarolineURT
Caroline 
8 days
Dear Men, zunguka mtafutie kazi mke/mpenzi wako. Usimruhusu azunguke yeye atavuliwa Chupi. Zingatia!
Tweet media one
1
4
15
@CarolineURT
Caroline 
9 days
_______Good morning____Amka______ Jitume ujenge kama Boni yai. Usizurure kama Lema.
5
6
16
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Sijui kitu kuhusu Siasa ila naungana na Mhe. Dkt. @HKigwangalla amehusisha falsafa sio hulka. Ngorongoro wanastahili makazi na huduma safi!🌍
Tweet media one
0
0
15
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Kama nia yako ni vurugu sio mwenzetu!🇹🇿
Tweet media one
0
0
11
@CarolineURT
Caroline 
11 days
Mwaka Jana nilienda Bar, muda natoka nikaokota Elfu 10. Sikutaka kuwaza sana, nilifungua Biashara ya kuchemsha mahindi kwa mtaji wangu Elfu 10. Leo nashuhudia hapa X kuwa ile Elfu 10 imekuwa Million 10. Nguvu ya Elfu 10, Pigia Yesu Makofi 👏
Tweet media one
3
3
15
@CarolineURT
Caroline 
16 days
Google nayo inashangaa 😀
Tweet media one
3
4
12
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Habari yako kaka yetu na Tajiri @moodewji Uwezo wa kaka yetu Ayubu tunampongeza kwa uwezo wake wa kutuvusha na kuingia Group stages CAF CL. Ila ombi langu ni moja tu. Sio kwa nia mbaya lakini. Kwa maslahi ya Taifa aishie hii mechi ya Leo!
0
0
11
@CarolineURT
Caroline 
9 days
Why Jeshi la Polisi hu-search kwa Boni yai tu. Sijawahi sikia waki-search kwa Mdude au Lema. Nimegundua nyumba nzuri inavitia watu. Lema Jenga acha kelele..
1
1
12
@CarolineURT
Caroline 
16 days
Hizi ndio Remote zangu Home. Onesha zako tuone!🤭
Tweet media one
1
0
11
@CarolineURT
Caroline 
11 days
Baraza la Mawaziri: Kwenye hawa wateule wa Mama. Nani umemtambua? Ukikutana nae una lipi la kumshauri
Tweet media one
0
2
11
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Mnaomtukana CR 7 kwa kutokuwepo kwenye haya makaratasi wote ni wasenge tu. Mbwa nyie 😀
Tweet media one
2
0
11
@CarolineURT
Caroline 
3 months
@PMadeleka Wakili unawapa faraja dakika za jioni chaaaka 🤣
1
0
10
@CarolineURT
Caroline 
9 days
@rollymsouth Angalia post yake ya mwisho. Imejaa uongo, uchochezi, dharau, kejeli na ufedhuli.
5
1
10
@CarolineURT
Caroline 
23 days
Wachezaji wa Yanga SC ni wabovu sana. Imagine Mzize alivokuwa anatoa pande (Assist) , Bora Simba SC iwe National team tu! Fukuza akina Mzize pale Stars!🤒
Tweet media one
0
4
9
@CarolineURT
Caroline 
7 days
Benki nzuri ni mama yako. Mpe mama hela atunze 😀
@MsomiKhan18
Msomi Khan
7 days
Bank gani nafuu kutunza Pesa? 1. NMB 2. CRDB 3. Exim Bank 4. NBC Bank Nasoma Comments Wanangu 🙏
44
16
167
3
1
10
@CarolineURT
Caroline 
12 days
Hebu Tuwe Serious kidogo, Unakuja Dar kuandamana🤷🏻‍♂️Unakatwa?🤒
Tweet media one
0
2
8
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Nina Million 37 kamili. Njoo tuandikishane!👊
@rickrealestatet
rickrealestatetz
1 year
NYUMBA INAUZWA NYASAKA -ina vumba vitatu vya kulala vyote ni self contained, sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet -ukubwa wa kiwanja ni (40X30) = 1,200 SQM -ina hati miliki -umeme, maji na barabara vipo -umbali toka barabara kuu ya lami ni mita 300 tu -bei Mil 50
0
0
1
1
0
6
@CarolineURT
Caroline 
12 days
Una kipi cha kumshauri Shishi Baby na Muziki wake🤷🏻‍♂️
Tweet media one
0
1
8
@CarolineURT
Caroline 
7 days
@Paullyker Usilipie kifurushi Test! Huyo ashapoteza hamu na wewe Tena. Mpe taraka utakufa kifala mbwa wewe.
4
0
22
@CarolineURT
Caroline 
12 days
Nilijuaga ukiwa na iPhone hukosi Pisi. Wewe unadhani wenye iPhone hawakosi nini 🤷🏻‍♂️COMMENT🔥
Tweet media one
1
2
7
@CarolineURT
Caroline 
8 days
Wajiheshimu Mbwa hawa. Koma Kabisa!
Tweet media one
1
3
8
@CarolineURT
Caroline 
12 days
@MsomiKhan18 Hizo wilaya zote ni makao makuu ya mikoa husika. Taja wilaya maarufu na hazipo makao makuu ya mikoa. Mfano Kahama.
3
0
6
@CarolineURT
Caroline 
2 months
Apewe THANK YOU huko huko SAUZI 😁
@Mzungu_pori1
MZUNGU PORI💪
2 months
Mzize hakuna forwadi hapo
3
6
28
0
0
6
@CarolineURT
Caroline 
9 days
Angalia post yake ya mwisho. Imejaa uongo, uchochezi, dharau, kejeli na ufedhuli.
1
0
6
@CarolineURT
Caroline 
7 days
Tumia akili bro. Kodi za mabango ya Biashara zipo kisheria. Usifikiri kugomagoma tu utadhani unatekwa. Mabango ya huduma za Afya na Elimu (Shule) pekee yalipata msamaha wa kodi.
63
5
219
@CarolineURT
Caroline 
16 days
Nimepokea simu ya Rafiki yangu mzito pale Brentford EPL, kanambia nisuke Dili la Fei kumwaga wino Brentford. Nimemwambia nasikilizia ofa ya Madrid ikibuma namrejea!
Tweet media one
1
2
6
@CarolineURT
Caroline 
12 days
Huyu Mchezaji kwanini anafungua ivo Bakuli 🤷🏻‍♂️
Tweet media one
0
2
6
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Yale tulisahihishiwa mara mbili😁 mara ya kwanza niligonga Division One kali waliporudia sasa😢
@__abdulazack
𝐃𝐫.𝐙𝐚𝐜𝐤™🇹🇿
1 year
Ghafla nimekumbuka matokeo ya kidato cha nne 2012.
Tweet media one
100
35
504
1
1
6
@CarolineURT
Caroline 
23 days
Kuna Form six hapa anasema kwa Elimu yake hakai sana mtaani kwa kukosa ajira 😂
0
2
5
@CarolineURT
Caroline 
9 days
@ze_mandevu Twende Burundi 😀
1
0
5
@CarolineURT
Caroline 
9 days
Taarifa ya Habari ya Kiingereza TBC Saa 4 Usiku🔥
0
0
5
@CarolineURT
Caroline 
23 days
Kwenye list hiyo simu ni iPhone tu. Zingine ni simu kama iPhone haipo kwenye list. Kununa ni ruksa kama mtu hana!😀
@Sirajitz1
Headboy wa mtaa
23 days
Hivi kati ya 👉🏿 Samsung 👉🏿 Pixel 👉🏿 iPhone 👉🏿 Haisence 👉🏿 Cut 👉🏿 Infinix Simu gani kali na nzuri ya kununua na inayodumu kwa muda mrefu Nasoma comment wakuu ✊
54
14
127
0
0
5
@CarolineURT
Caroline 
8 days
Hapa ni kijiji cha Mbezi kwa Msakuzi kwa Boni yai😀
@kstar_one9
Star_one🎖️
8 days
Wakali wa Location hapa ni wapi ? 🤔🤔
Tweet media one
3
4
9
1
1
5
@CarolineURT
Caroline 
4 months
🧯BREAKING NEWS 🔥 Yanga SC yapokwa ushiriki CAF CL 2024/25 kwa adhabu yake ya kuzuiwa kusajili. Azam FC na Simba SC zinaenda CAF CL huku Coastal Union na KMC zinaenda CAF CC.
Tweet media one
Tweet media two
0
0
4
@CarolineURT
Caroline 
1 year
Ni watu wasojulikana & Katiba Mpya!😀
@nyuki_malkia
Malkia Nyuki 👑
1 year
Hii ndoa nani aliharibu ?
Tweet media one
275
128
3K
2
1
4
@CarolineURT
Caroline 
13 days
Kinyozi kafeli au mteja miyeyusho🤷🏻‍♂️ Umemtambua huyu mchezaji? Taja majina..
Tweet media one
0
0
4
@CarolineURT
Caroline 
17 days
Juhudi za ziara za Rais wetu SSH zimezaa matunda!👏
0
1
3
@CarolineURT
Caroline 
8 days
@arusha_icon Mamae zao mashoga
0
0
3
@CarolineURT
Caroline 
1 year
@Watu_Mikeka @OffSantos26 Njoo DM yangu mjomba 🙏
0
0
3
@CarolineURT
Caroline 
16 days
@Sativa255 @georgeambakisye Game ya kwanza weka under 1.5 utanishukuru baadae
1
0
3
@CarolineURT
Caroline 
3 months
Nani kagoma Kariakoo. Acheni kupotosha. Hapa ni wapi 🤷‍♂️
Tweet media one
0
0
4
@CarolineURT
Caroline 
21 days
Soon Tanzania inakuwa Tajiri kama China. Maarifa🧠
@manywele_ze
The Manywele
21 days
Rais Samia Suluhu amekutana na wafanyabiashara na viongozi mbalimbali kwa minajili ya kuwavutia kuja kuwekeza nchini Tanzania. Mama anafanikisha
Tweet media one
Tweet media two
Tweet media three
3
12
14
0
0
2
@CarolineURT
Caroline 
13 days
@freemanmbowetz Hatutaki maandamano tunampa mitano Samia
Tweet media one
3
0
2
@CarolineURT
Caroline 
1 year
@ImranKb_ 😀😀
1
0
1
@CarolineURT
Caroline 
12 days
Mention any two God’s plan (2 marks) 🇹🇿🇰🇪🇺🇬
Tweet media one
0
0
3
@CarolineURT
Caroline 
6 months
YANGA YAVUNJIWA REKODI Yanga SC kutoka Tanzania ni Timu ya kwanza kutolewa Robo Fainali CAF CL msimu wa 2023/24. Ilitolewa mapema zaidi Ijumaa 5, April 2024. Kelele ziko wapi🤣
0
0
2
@CarolineURT
Caroline 
1 year
@HamisUniversal Kwetu Mars 😀
1
0
2
@CarolineURT
Caroline 
1 year
0
0
2
@CarolineURT
Caroline 
11 days
@MaxTz255_ yule Co-host wa Mbeya mwenye nywele nyingi kichwani. Anazingua sana
1
0
2
@CarolineURT
Caroline 
9 days
Invest Kwenye Biashara sio kwa wanawake. Akili 🧠
@IdrisSultan
Idris
9 days
Usivamie vamie tu wanawake, watu wame-invest.
134
111
1K
0
0
2
@CarolineURT
Caroline 
10 days
Okoa Kitu sio Replaceable tu. Only Mama & Mtoto!
@kapeto98
KAPETO🇹🇿
10 days
Chagua Viwili vya Kuviokoa Hapa Nyumba inaungua..! 1 ~ ATM card yenye billion 80 💳 2 ~ Mama yako mzazi🙍🏻‍♀️ 3 ~ mtoto wako👶🏻 4 ~ Mke/mume👩🏻‍🤝‍👨🏾 5 ~ Biblia Takatifu / Quran Takatifu 6 ~ Hati ya kiwanja Au Card ya Gari. UTAOKOA NINI NA NINI____..?
25
9
50
1
0
2
@CarolineURT
Caroline 
9 days
@iamcleopatricia Morocco is in Spain 😀
0
0
2
@CarolineURT
Caroline 
19 days
@rollymsouth Pole sana Comrade, umeandika kwa uchungu!
0
0
2
@CarolineURT
Caroline 
9 days
@itsomondi1 Follow me @MzuriCaroline for follow back 💪 Let’s do this ✅✅🔥🔥
0
0
1
@CarolineURT
Caroline 
23 days
@HastaRuego Babu yangu ana miaka 68 hadi leo anaweka 😳
1
0
1
@CarolineURT
Caroline 
2 months
Huna point wana Quality gani sasa. Ungepewa Stuttgart wewe si ungelia kabisa. Hii Timu haina uwezo wa kufunga 10 Highly ranked clubs by CAF....
@privaldinho
Privaldinho
2 months
Ila jamaa wa stamina na Physic yao ni hali ya juu. Wanatengeneza mashimo kwa rula zao usipokuwa na timu imara unaweza kufa hata 10. Hii mechi inakuonesha Yanga ndio timu bora kwa sasa Afrika Mashariki na kati. Kama tunaweza kuhimili presha ya quality yao basi tuna timu bora sana
224
32
1K
0
0
1