Kesho 𝗧𝗮𝗶𝗳𝗮 𝗦𝘁𝗮𝗿𝘀 tukiwa ugenini tutaifunga Algeria na kufuzu kucheza AFCON 2024. Baada ya kufuzu tutatwaa hiyo ndoo kwa mara ya kwanza katika Historia. Sema Amen!
Mwaka Jana nilienda Bar, muda natoka nikaokota Elfu 10. Sikutaka kuwaza sana, nilifungua Biashara ya kuchemsha mahindi kwa mtaji wangu Elfu 10. Leo nashuhudia hapa X kuwa ile Elfu 10 imekuwa Million 10. Nguvu ya Elfu 10, Pigia Yesu Makofi 👏
Habari yako kaka yetu na Tajiri
@moodewji
Uwezo wa kaka yetu Ayubu tunampongeza kwa uwezo wake wa kutuvusha na kuingia Group stages CAF CL. Ila ombi langu ni moja tu. Sio kwa nia mbaya lakini. Kwa maslahi ya Taifa aishie hii mechi ya Leo!
Why Jeshi la Polisi hu-search kwa Boni yai tu. Sijawahi sikia waki-search kwa Mdude au Lema. Nimegundua nyumba nzuri inavitia watu. Lema Jenga acha kelele..
Wachezaji wa Yanga SC ni wabovu sana. Imagine Mzize alivokuwa anatoa pande (Assist) , Bora Simba SC iwe National team tu! Fukuza akina Mzize pale Stars!🤒
NYUMBA INAUZWA NYASAKA
-ina vumba vitatu vya kulala vyote ni self contained, sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet
-ukubwa wa kiwanja ni (40X30) = 1,200 SQM
-ina hati miliki
-umeme, maji na barabara vipo
-umbali toka barabara kuu ya lami ni mita 300 tu
-bei Mil 50
Tumia akili bro. Kodi za mabango ya Biashara zipo kisheria. Usifikiri kugomagoma tu utadhani unatekwa. Mabango ya huduma za Afya na Elimu (Shule) pekee yalipata msamaha wa kodi.
Nimepokea simu ya Rafiki yangu mzito pale Brentford EPL, kanambia nisuke Dili la Fei kumwaga wino Brentford. Nimemwambia nasikilizia ofa ya Madrid ikibuma namrejea!
Hivi kati ya
👉🏿 Samsung
👉🏿 Pixel
👉🏿 iPhone
👉🏿 Haisence
👉🏿 Cut
👉🏿 Infinix
Simu gani kali na nzuri ya kununua na inayodumu kwa muda mrefu
Nasoma comment wakuu ✊
🧯BREAKING NEWS 🔥
Yanga SC yapokwa ushiriki CAF CL 2024/25 kwa adhabu yake ya kuzuiwa kusajili. Azam FC na Simba SC zinaenda CAF CL huku Coastal Union na KMC zinaenda CAF CC.
YANGA YAVUNJIWA REKODI
Yanga SC kutoka Tanzania ni Timu ya kwanza kutolewa Robo Fainali CAF CL msimu wa 2023/24. Ilitolewa mapema zaidi Ijumaa 5, April 2024. Kelele ziko wapi🤣
Chagua Viwili vya Kuviokoa Hapa Nyumba inaungua..!
1 ~ ATM card yenye billion 80 💳
2 ~ Mama yako mzazi🙍🏻♀️
3 ~ mtoto wako👶🏻
4 ~ Mke/mume👩🏻🤝👨🏾
5 ~ Biblia Takatifu / Quran Takatifu
6 ~ Hati ya kiwanja Au Card ya Gari.
UTAOKOA NINI NA NINI____..?
Ila jamaa wa stamina na Physic yao ni hali ya juu. Wanatengeneza mashimo kwa rula zao usipokuwa na timu imara unaweza kufa hata 10. Hii mechi inakuonesha Yanga ndio timu bora kwa sasa Afrika Mashariki na kati. Kama tunaweza kuhimili presha ya quality yao basi tuna timu bora sana